Watoto hawa walikuwa wakitega samaki kwa kutumia ndoano hatimaye wamenasa kuku maji.
Mie katika kijiji cha wavuvi wilayani Nyamikoma Magu mkoani Mwanza.
Michezo ya watoto ufukweni.
Pozi la kurejea toka shambani baba jembe mkononi mama kuni kichwani na mbwa mlinzi.
Wavuvi bado hawajatia utii nyavu zisizo ruhusiwa.
Usafishaji nyavu na uanikaji.
Nyavu anikoni.
Enzi za NCU Bandari hii ilikuwa bize kwa kusafirisha pamba nchi mbalimbali afrika mashariki lakini hii leo eneo hili limegeuka sehemu ya kuanikia dagaa.
Style ya kuanika dagaa.
TFS WAJIVUNIA MIAKA MITATU YA UONGOZI WA RAIS SAMIA, WATAJA MAFANIKIO
LUKUKI YALIYOPATIKANA
-
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania(TFS)umesema katika kipindi cha miaka
mitatu ya uongozi wa Rais Dk.Samia Suluhu Hassan...
26 minutes ago