![]() |
| Mwanamuziki Christian Bella usiku wa kuamkia leo amepiga bonge la show jijini Mwanza ikiwa ni uzinduzi wa Album yake mpya 'Nani kama mama', shughuli ikifanyika katika ukumbi wa Buzuruga Plaza. |
![]() |
| Akisema na mashabiki wake wa Mwanza. |
![]() |
| Stage ilikamilika kwa nakshi za wakali hawa. |
![]() |
| Hatari |
![]() |
| Sauti za nguvu. |
![]() |
| Ni mmoja kati ya wapenzi wakubwa wa burudani mkoani Mwanza 'Afande Abou' akimtunza mmoja kati ya wanamuziki wa Malaika Band. |
![]() |
| ShigiDi'''' |
![]() |
| Live toka kwenye stage hadi kwa mashabiki. |
![]() |
| Pamependeza mahala hapa. |
![]() |
| Mashabiki wa Gsengo blog. |
![]() |
| Mkurugenzi wa Myway Entertainmaent Paul Maganga (kushoto) akishow love na rapa namba moja wa Malaika Band Totoo ze Bingwa. |
![]() |
| The nyomi. |
![]() |
| Nice. |
![]() |
| Imbaaaa... |
![]() |
| Watu wanapenda kumbukumbu...!! |
![]() |
| Nani kama mama? |
![]() |
| Mpiga kinanda namba moja wa Malaika Band Andrew Sekedia akituzwa na wanamuziki wenzake. |
![]() |
| Bella na shabiki wake. |
![]() |
| Kila kazi ya Christian Bella kwa jukwaa hili ilikuwa na mvuto wake. |
![]() |
| Mashabiki wakiwatunza wanamuziki wa Malaika Band. |
![]() |
| Rappa Totoo ze Bingwa ni Balla mkali ile mbaya. |
![]() |
| Sikiliza mziki mwingine...Ha...ha...ha |
![]() |
| Za kichina china...!! |
![]() |
| Milipuko ya Rapa BombeX |
![]() |
| Kutoka kushoto ni Afande Jose aka Mzee wa Boma ya Ng'ombe,Bella na Gsengo |
![]() |
| Peace. |
![]() |
| Kabago na meza ya wadau wake. |
![]() |
| Brothers na Cheza kidansi. |
![]() |
| Hisani kubwa ya Pepsi yote haya yamefanyika. |










































