![]() |
Mwanamuziki Christian Bella usiku wa kuamkia leo amepiga bonge la show jijini Mwanza ikiwa ni uzinduzi wa Album yake mpya 'Nani kama mama', shughuli ikifanyika katika ukumbi wa Buzuruga Plaza. |
![]() |
Akisema na mashabiki wake wa Mwanza. |
![]() |
Stage ilikamilika kwa nakshi za wakali hawa. |
![]() |
Hatari |
![]() |
Sauti za nguvu. |
![]() |
Ni mmoja kati ya wapenzi wakubwa wa burudani mkoani Mwanza 'Afande Abou' akimtunza mmoja kati ya wanamuziki wa Malaika Band. |
![]() |
ShigiDi'''' |
![]() |
Live toka kwenye stage hadi kwa mashabiki. |
![]() |
Pamependeza mahala hapa. |
![]() |
Mashabiki wa Gsengo blog. |
![]() |
Mkurugenzi wa Myway Entertainmaent Paul Maganga (kushoto) akishow love na rapa namba moja wa Malaika Band Totoo ze Bingwa. |
![]() |
The nyomi. |
![]() |
Nice. |
![]() |
Imbaaaa... |
![]() |
Watu wanapenda kumbukumbu...!! |
![]() |
Nani kama mama? |
![]() |
Mpiga kinanda namba moja wa Malaika Band Andrew Sekedia akituzwa na wanamuziki wenzake. |
![]() |
Bella na shabiki wake. |
![]() |
Kila kazi ya Christian Bella kwa jukwaa hili ilikuwa na mvuto wake. |
![]() |
Mashabiki wakiwatunza wanamuziki wa Malaika Band. |
![]() |
Rappa Totoo ze Bingwa ni Balla mkali ile mbaya. |
![]() |
Sikiliza mziki mwingine...Ha...ha...ha |
![]() |
Za kichina china...!! |
![]() |
Milipuko ya Rapa BombeX |
![]() |
Kutoka kushoto ni Afande Jose aka Mzee wa Boma ya Ng'ombe,Bella na Gsengo |
![]() |
Peace. |
![]() |
Kabago na meza ya wadau wake. |
![]() |
Brothers na Cheza kidansi. |
![]() |
Hisani kubwa ya Pepsi yote haya yamefanyika. |