










1.Kuunganisha waendesha biashara ya utalii katika mkoa wa Mwanza ili kuweza kulitangaza eneo la ukanda huu kwa pamoja.
2.Kuongeza utangazaji wa utalii katika mwambao wa ziwa Victoria ili kuongeza biashara ya utalii katika eneo lililopo jimboni.
3.Kuvutia uwekezaji wa mahoteli katika mwambao wa ziwa Victoria na pembeni mwa vilima jimboni, na kuhamasisha michezo ya majina na meli za starehe.
4.Kubainisha mambo ya kale na shughuli za kiutamaduni zilizopo jimboni zinazofaa kutumika kama kivutio cha utalii.
5.Kufundisha wananchi ili waweze kushiriki katika biashara ya utalii.