ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, February 15, 2014

PART ONE YA RED CARPET YA SKYLIGHT BEACH RESORT MWANZA NA FOOLMOON YA VALENTINE'S DAY.

FlowerZ.
Ma Broo Victor with my shemejiiiiii.
Mikato dizaini.
G's thing.
'We Prizenhe'
Jembe ni Jembe brothers.
Chichii.
White n' Black.
Yep..!
Shingo feni'''' dizain.
hip hop.
Mafuvu line'
Where to....

RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOKUTANA NA MWANA MFALME WA UINGEREZA PRINCE CHARLES NA KUJADILI VITA DHIDI YA BIASHARA HARAMU YA WANYAMAPORI NCHINI UINGEREZA.

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mwana mfalme wa Uingereza Prince Charles wakati wa mkutano uliojadili  vita dhidi ya biashara haramu ya wanyamapori huko Clarence House London nchini Uingereza.Mkutano huo uliandaliwa na Prince Charles.(picha kwa hisani ya Clarence House)

TIGO YATAMBULISHA HUDUMA YA TIGO KILIMO NDANI YA KONGAMANO LA UWEKEZAJI KANDA YA ZIWA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Mohamed Gharib Bilal akipokea zawadi ya ya simu kwaajili ya kuzifurahia huduma mpya za Tigo kwa wakulima, aliyozawadiwa na Mkurugenzi wa Kanda ya Ziwa kutoka Tigo Bw. Ally Maswanya juzi wakati wa Mkutano wa Uwekezaji Kanda ya Ziwa unaomalizika leo jijini Mwanza.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Mohamed Gharib Bilal akizungumza na Mkurugenzi wa Kanda ya Ziwa kutoka Tigo Bw. Ally Maswanya juzi wakati wa Mkutano wa Uwekezaji Kanda ya Ziwa unaomalizika leo jijini Mwanza.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Mohamed Gharib Bilal akisalimiana na mmoja wa maafisa wa Tigo makao Makao Makuu Irine Kiwia, mara baada ya kutembelea banda la Tigo na kubainishiwa huduma mbalimbali zilizoingia sokoni ikiwepo huduma ya mtandao wa internet inayojulikana kwa jina la TIGO KILIMO ambayo kwayo mkulima anapata fursa ya kujua bidhaa na pembejeo mbalimbali za kilimo anazo hitaji ikiwemo bei ya manunuzi kwa pembejeo hizo pamoja na maduka, huduma za waghani (maafisa kilimo), masoko na kadhalika. 
Mkurugenzi wa Kanda ya Ziwa kutoka Tigo Bw. Ally Maswanya akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kufafanua huduma mbalimbali za TIGO hususani huduma mpya ya TIGO KILIMO wakati wa Mkutano wa Uwekezaji Kanda ya Ziwa unaomalizika leo jijini Mwanza.


Mkurugenzi wa Kanda ya Ziwa kutoka Tigo Bw. Ally Maswanya (wa pili kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania walio shiriki Mkutano wa Uwekezaji Kanda ya Ziwa unaomalizika leo jijini Mwanza.


Japo kiduchu na moja ya engo, maadhari ya nje ya Banda la Huduma za Tigo katika viwanja vya Hoteli Malaika jijini Mwanza.
Press Release
Tigo joins effort to lure investors to Lake Zone regions 
Mwanza, 13th February 2014 - The lake zone, home to six resource rich regions in Tanzania has the potential not only to be the country’s economic hub but East Africa’s if proper investment plans are made to tap the vast economic potentials present.   

This was said by Tigo Lake Zone Region Director Ally Maswenya yesterday at the ongoing Lake Zone Region Investment Forum taking place in Mwanza.

“With the abundance of natural resources that the regions of Simiyu, Mwanza, Shinyanga, Kagera, Geita and Mara have to offer, there is no reason why we cannot turn this region into an economic hub for not only Tanzania but the entire East African Community,” he said. “However, this can only be done if we provide the proper infrastructure for investment, without forgetting the importance and key role of telecommunications,” Maswanya said.

Tigo, he said, is delighted to support the Lake Zone Investment Forum because it will provide an important opportunity for dialogue and knowledge exchange on the existing investment opportunities in the region.
“Bringing international and local investors together to debate partnership and investment opportunities is more critical than ever for those looking to expand successful businesses in the current business climate of the Lake Zone and East African integration,” he said.

Meanwhile, Mwanza Regional Commissioner and Chair of the Forum Mr. Ernest Ndikilo, has paid tribute Tigo for being the main sponsor of this year’s event which hedescribed a right move towards unlocking the region’s economic potentials.

“Thisthree-day conference is a unique opportunity for our region as it brings together various strategic partners whom we believe will help us set an investment agenda for the lake regions,” Ndikilo said.
Tigo is recognized as an important telecom provider in the lake zone region with significant infrastructure and innovative affordable services and products. It is leading the delivery of digital lifestyle and content solutions across the country through its digital migration focus. 

In recent years, the company has made massive expansion programs in the market which include investing heavily on the network, opening up points of sale countrywide and conducting staff training program. These efforts, according to Maswanya, have enabled the telecom company to significantly improve the quality of its services and broaden its customer subscription base.

MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ALIPO TEMBELEA MAONYESHO YA UWEKEZAJI MWANZA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Mohamed Gharib Bilal akizungumza na wadau wa banda la  Halmashauri ya Jiji la Mwanza kulia akionekana Mmoja kati ya Maafisa wa ofisi za jiji Dr. Kaaya ambaye ndiye msemaji wa banda hilo la maonyesho wakati wa Mkutano wa Uwekezaji Kanda ya Ziwa unaomalizika leo jijini Mwanza.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Mohamed Gharib Bilal akimpa mkono wa pongezi Afisa Habari wa Jiji la Mwanza Joseph Mlinzi mara baada ya kupata ufafanuzi wa kina na juhudi za halmashauri kuendelea na mikakati ya kulinda mazingira na kuboresha usafi. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Mohamed Gharib Bilal ndani ya banda la TANAPA.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Mohamed Gharib Bilal akipata maelezo ndani ya banda la Benki ya Standard Charterd .
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Mohamed Gharib Bilal akipata habari za wawekezaji wa zao la Samaki kiwanda cha VIC FISH Mwanza.
Nyuso za furaha na bashasha za wadau wa Halmashauri ya jiji la Mwanza.
Wadau wa NMB.
Ni kama anasema "Aaaah hiyo ni saizi yako mwanangu" Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Mohamed Gharib Bilal sambamba na meza kuu akifurahia hatua ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Injinia Evarist Ndikilo wakati akijipima moja kati ya mashati ya vitambaa asili yanayopatikana katika banda hili la Mama Donata Swai.
Mama Donata Swai akionesha moja kati ya pochi zilizo tengenezwa kiufundi kwa kutumia bidhaa za vitambaa na ngozi asili.
Dr. Hozee Hebarist akitoa ufafanuzi wa dawa zake asilia kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Mohamed Gharib Bilal, pindi alipo tembelea banda lake katika maonyesho ya wawekezaji jijini Mwanza.

JANUARY MAKAMBA NA WASSIRA NAO WAHOJIWA NA KAMATI NDOGO YA MAADILI YA CCM

Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Ndugu January Makamba akizungumza na waandishi wa habari nje ya Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi baada ya kuhojiwa zaidi ya saa moja na nusu na Kamati Ndogo ya Maadili. 

Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Ndugu January Makamba akiondoka nje ya ofisi za Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi baada ya kumaliza kuhojiwa kwa  zaidi ya saa moja na nusu na Kamati Ndogo ya Maadili.Picha na Adam Mzee
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Ndugu Stephen Wassira akzungumza na waandishi wa habari baada ya kuhojiwa na kamati ya maadili ambapo alisema hakukuwa na tuhuma zozote zaidi ya mashauriano na alisisitiza yeye kamwe hawezi shiriki kukivunja chama.

Friday, February 14, 2014

PICHA ZAILIZOVUJA HII LEO MAANDALIZI YA VALENTINE MWANZA SKYLIGHT BEACH RESORT.

Dj Mafuvu tayari kesha tinga Rock City na hapa akiwa eneo la tukio Skylight Beach Resort Malimbe Mwanza na mambo ya sound check kwaajili ya tukio la leo usiku mambo Valentine's day na Foolmoon Party.
Ni moja kati ya taa zilizofungwa katika moja ya kona za kiota hiki cha burudani tegemea kubadilika na kuwa spesho usiku huu.
Mkare Front bar ni moja kati ya viunga vitakavyo tambulishwa usiku huu.
Dj Denis ni mmoja kati ya wakali watakao sababisha manukato ya burudani akishow love kwa kamera mbele ya Jembe's Speakers zinazotoa mtwango ile kinyama.
Si utani....!!!!!!!
Kaunta imesheheni vyoooote vimiminika halafu kwa bei nafuu huwezi amini.
Mzigo wa ukweli ... tulisha kwambia mlangoni utakutana na Coctails za hatariiiiii...!!!!
Kamata kitu 'soma lebo'
Toka kaunta ya 'Mkare Bar' his is yours.
Maandalizi ya Red Carpet kwaajili ya mapicha ya kutupia kwa Instagram, Face book, Twitter, Blogs, Badoo na kwingineko..... 


the area na siti yako...
Dj Nelly Hope wajua mavituz yake akikaa on the one and two.
Ni baadhi tu ya watoa service Jembe.
Mafuvu is waitting 4 you.
Yukiiiiiiii ndukiiiii...moko.
Ze area.
Toka sakafuni.
Kitalii zaidi na Big Screen kwaajili.
Kiingilio na nini na nini soma 'lebo'