TAARIFA RASMI KUTOKA CHAMA CHA NLD
TAARIFA RASMI KUTOKA CHAMA CHA NLD
Karibu nyote nyumbani mwa Bwana tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
Toa sadaka yako kupitia MBEZI BEACH LUTHERAN HUDUMA". MAENDELEO BANK 014154966021, CRDB 0150080095503, M-PESA+255769217618.
NA VICTOR MASANGU/PWANI. IMESOMWA NA ALBERT G.SENGO Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani katika kutekeleza agizo la Rais Dkt. Samia Suluhu Hasana la kutunza na kuhifadhi mazingira ambapo imefanikiwa kupanda miti zaidi ya mia 500 katika eneo la mnada wa mbuzi na ng'ombe uliopo katika Kata ya Zinga kwa mtoro lengo ikiwa ni kuweza kurudisha uoto wa halisi uliopotea pamoja na kupambana na wimbi la na ukataji wa miti ovyo ambao unasabisha hali ya ukame.
MABINGWA watetezi, Yanga SC wamefanikiwa kuingia Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB baada ya ushindi wa mabao 8-1 dhidi ya Stand United jioni ya leo Uwanja wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, KMC Complex, Mwenge, Dar es Salaam.
Nyota wa mchezo wa leo ni kiungo mshambuliaji wa Kimataifa wa Burkina Faso aliyehusika kwenye mabao saba kwa kusaidia upatikanaji mabao matatu na yeye mwenyewe kufunga manne.