Leo ni Leo Mwanza... maana wakazi wa jiji La Mwanza na vitongoji vyake wamejitokeza kwa wingi kumpokea mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli. Huku Maelfu ya watu wamejitokeza kwenda CCM Kirumba jijini Mwanza kuhudhuria mkutano wa kufunga kampeni leo Oktoba 24, 2015.
Kila mmoja akijikaza kujongea CCM Kirumba, Mwanza.
NEMC YAFUTURISHA SERENA
-
-Mwanasheria Mkuu wa Serikali -Mgeni rasmi
-Aahidi Ushirikiano wa Kisheria katika Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira
Nchini*
Baraza la Taifa la Hifadhi n...
NEMC YAFUTURISHA SERENA
-
-Mwanasheria Mkuu wa Serikali -Mgeni rasmi
-Aahidi Ushirikiano wa Kisheria katika Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira
Nchini*
Baraza la Taifa la Hifadhi n...