Mkanganyiko waibuka baada ya kuvuja kwa mazungumzo ya siri ya timu ya
usalama wa taifa ya Trump
-
Mwandishi wa habari wa Marekani amefichua siri za matukio ya kiusalama
baada ya kuingizwa kimakosa katika kikundi cha mazungumzo ya usalama wa
taifa
1 hour ago