Rais Jakaya Kikwete akimwapisha rasmi Balozi Yohana Sefue kuwa Katibu Mkuu Kiongozi katika hafla iliyofanyika leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akisisitiza jambo kwa viongozi wakuu, Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal (wa tatu kulia), Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (wa pili kulia), Katibu Mkuu Kiongozi mpya, Balozi Ombeni Sefue (wa pili kushoto) na Katibu Mkuu Kiongozi aliyemaliza muda wake, Phillemon Luhanjo muda mfupi baada ya kumwapisha Balozi Ombeni Sefue kuwa Katibu Mkuu mpya, Ikulu, Dar es Salaam. (Picha na Fadhili Akida).
RAIS SAMIA APONGEZWA KWA KUKWAMUA UJENZI WA KITEGA UCHUMI CHA NSSF MWANZA
-
Na. Mwandishi wetu, Mwanza
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imempongeza Rais
Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia Mfuko wa Hifadhi ya ...
6 hours ago