Amka Na BBC
-
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa
moja asubuhi Afrika Mashariki
2 hours ago
Jumla ya warembo 45 wanaotaraji kushiriki katika kinyang'anyiro cha kumsaka miss utalii Tanzania mwishoni mwa wiki ijayo tarehe 5 march 2011,wakiwa katika picha ya pamoja leo jijini Dar es salaam baada ya kutambulishwa mbele ya waandishi wa habari na Rais wa Miss Utalii Tanzania Gideon Chipungahelo. Mshindi wa shindano hilo anataraji kuondoka na mkataba wenye thamani ya shilingi milioni 150 ambao utajumuisha kusomeshwa chuo kikuu, gari, fedha za kujikimu na naulishindano hilo litafanyika wilayani Bagamoyo jumamosi ijayo.
Sheshe lilikuja mara baada ya wawili hao kuzama katika majibizano yaliyo jaa kejeli yaliyotokana na mteja huyo mwenye sikiong'atwa hapo juu kunyimwa kwa maksudi njiti hizo za kusafishia meno aka 'tuthi piki'.
Katika hutuba aliyotoa kupitia simu, mahsusi kwa ajili ya wakazi wa mji wa al-Zawiya, Kanali Gaddafi amesema vijana wanadanganywa kwa kupewa dawa za kulevya na pombe ili washiriki katika "uharibifu na hujuma".
Mmoja wa waandamanaji akichoma picha ya Gaddafi
Osama bin Laden
Bao hilo limefungwa na Dirk Kuyt katika dakika ya 86, kufuatia mpira wa kona uliopigwa na Raul Meireles. Katika mchezo wa mwanzo timu hizo mbili zilitoka sare. Huu ni Ushindi wa kwanza Ulaya kwa kocha Daglish.
HABARI zinasema kuwa Summer Dee (summer dance) amefariki dunia leo majira ya saa 12 asubuhi, katika hospitali ya rufaa ya Bugando jijini Mwanza ambapo alilazwa tangu siku ya jumanne ya wiki iliyopita mara baada ya kuzidiwa kwa maradhi ya ini. DJ Summer Dee aliyejinyakulia sifa na kufahamika zaidi wakati akifanya kazi miaka ya nyuma kama Dj ndani ya Clouds Fm Arusha na Dar es salaam. Mpaka anafariki dunia marehemu alikuwa mwajiriwa katika Kampuni inayojihusisha na Uchimbaji wa madini ya Dhahabu mkoani Mwanza iliyopo wilayani Geita iitwayo 'Geita Gold Mine'.
MNYONGE Mtanzania na zigo la Dowans kwa Tanesco katika mtazano wa Katuni.
Miliki wa Dowans, Suleiman Al Adawi ameibua mjadala mzito nchini tangu alipotua na kufanya mkutano na wahariri wa magazeti matano Jumapili iliyopita, akigoma kupigwa picha pia akizuia televisheni na redio, huku akificha sura yake na sauti.
Hata hivyo, mbio hizo za Al Adawi kukwepa kamera za waandishi jana ziliishia ukingoni baada ya kunaswa na kamera za gazeti la Mwananchi wakati akikagua mali zake zilizopo Ubungo.