Sheshe lilikuja mara baada ya wawili hao kuzama katika majibizano yaliyo jaa kejeli yaliyotokana na mteja huyo mwenye sikiong'atwa hapo juu kunyimwa kwa maksudi njiti hizo za kusafishia meno aka 'tuthi piki'.Mteja :: Utaniambia nini wewe si k..a tu!
Muhudumu :: Wewe Ms..e unasemaje?
Haikuchukuwa raundi kwa mhudumu kuimiliki shingo ya mteja kwa kumpiga roba (kabali), nyonga-nyonga, niga-niga....!!...!!
Mteja :: 'aaagh NIACHIE'
Mhudumu :: 'SIKUACHII'. Hamadi sikio hili hapa mhudumu akapata 'aNaZa aIdIa' akaling'ata akilisigina kwa meno hadi likakatika 'nkwachu' kisha akalitema ppTuU!!
Tupe maoni yako
Duh! ni hatari kwenda kwenye hiyo bar kama mambo yanyewe ndo hivyo. Pole kwa kungátwa na sikio....
ReplyDeleteUkitaka kula nenda mgahawani, Bar kuna mengiii. Pole sana.
ReplyDelete