KIJIJI NDANI YA JIJI.
UNAPOTINGA MUSOMA MKOANI MARA, LIPO ENEO MOJA MAARUFU SANA KWA MASUALA YA MAAKULI, MAPOKOPOKO NA MANJALI, ENEO LINAITWA MARA DISHES MISOSI AINA ZOTE, UJI FULL TIME HATA SAA TISA MCHANA UA SITA USIKU UNAKAMATA BAKULI LAKO SAAAFI... TEHE!
EEE KWA PEMBENI KUSHOTO HIVI SI MAKUFULI DIZAINI? ENHE! BASI HAPO HAPO NDO NAPIGA MZIGO CHAMAA LANGU..
KILICHOKUWA KITUO CHA EXPRESS ZIENDAZO NYEGEZI - BUHONGWA, JAMAA ALISHINDA KESI AKACHUKUA KIWANJA CHAKE TOKA MIKONONI MWA HALMASHAURI YA JIJI. KWA HIVI SASA HAKUNA KITUO KATIKATI YA JIJI..
Je, ni umri gani sahihi wa kuwa mama na madaktari wanasema nini kuhusu hili?
-
Baadhi ya maswali hayana majibu ya uhakika. Yana majibu mengi. Hutofautiana
kutoka kwa mtu hadi mtu. Hata hivyo, maswali hayaishi na hivyo kufanya
majibu y...
36 minutes ago