Si wawili tena bali ni mwili mmoja Isaac Abraham Nyanda na Janet Jilungu Yemba sasa ni Mr&Mrs Isaac Nyanda mara baada ya ndoa yao takatifu iliyofungwa leo katika kanisa la AIC Njiro mkoani Arusha.
Maadhari tulivu kanisani.
Sehemu umma waliohudhuria ibada hiyo ya ndoa.
Isaac akimvisha pete Janet.
Janet akimvisha pete Isaac.
Sahihi ya bwana harusi.
Sahihi ya bi harusi.
Maharusi wakitoka kanisani.
Taswira zaidi.
Wanameremetajeeeee!!!!!
Safu ya wapambe.
Mara nkabaaaaa!!! Ukumbini.
Moja kati ya burudani za ukumbini zilizotikisa ile kinomanoma chekshia...hapa ni Mama Paul na Jeremiah.
Jografia ya ukumbi.
Polisi waendelea kuwabana wanavunja Sheria, Wananchi waomba operesheni 3D
iendele.
-
Na Abel Paul, Jeshi la Polisi-Arusha.
Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Kimeendelea na operesheni ya
kutoa elimu na kuwakamata wale wote wanaoe...
1 hour ago