Si wawili tena bali ni mwili mmoja Isaac Abraham Nyanda na Janet Jilungu Yemba sasa ni Mr&Mrs Isaac Nyanda mara baada ya ndoa yao takatifu iliyofungwa leo katika kanisa la AIC Njiro mkoani Arusha.
Maadhari tulivu kanisani.
Sehemu umma waliohudhuria ibada hiyo ya ndoa.
Isaac akimvisha pete Janet.
Janet akimvisha pete Isaac.
Sahihi ya bwana harusi.
Sahihi ya bi harusi.
Maharusi wakitoka kanisani.
Taswira zaidi.
Wanameremetajeeeee!!!!!
Safu ya wapambe.
Mara nkabaaaaa!!! Ukumbini.
Moja kati ya burudani za ukumbini zilizotikisa ile kinomanoma chekshia...hapa ni Mama Paul na Jeremiah.
Jografia ya ukumbi.
ULEGA ZIARANI KUKAGUA MIUNDOMBINU ILIYOATHIRIWA NA MAFURIKO MKURANGA
-
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga ambaye pia ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe.
Abdallah Ulega leo Aprili 27, 2024 ametembelea maeneo yalioathiriwa na
mafuriko...
2 hours ago