Si wawili tena bali ni mwili mmoja Isaac Abraham Nyanda na Janet Jilungu Yemba sasa ni Mr&Mrs Isaac Nyanda mara baada ya ndoa yao takatifu iliyofungwa leo katika kanisa la AIC Njiro mkoani Arusha.
Maadhari tulivu kanisani.
Sehemu umma waliohudhuria ibada hiyo ya ndoa.
Isaac akimvisha pete Janet.
Janet akimvisha pete Isaac.
Sahihi ya bwana harusi.
Sahihi ya bi harusi.
Maharusi wakitoka kanisani.
Taswira zaidi.
Wanameremetajeeeee!!!!!
Safu ya wapambe.
Mara nkabaaaaa!!! Ukumbini.
Moja kati ya burudani za ukumbini zilizotikisa ile kinomanoma chekshia...hapa ni Mama Paul na Jeremiah.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.