Si wawili tena bali ni mwili mmoja Isaac Abraham Nyanda na Janet Jilungu Yemba sasa ni Mr&Mrs Isaac Nyanda mara baada ya ndoa yao takatifu iliyofungwa leo katika kanisa la AIC Njiro mkoani Arusha.
Maadhari tulivu kanisani.
Sehemu umma waliohudhuria ibada hiyo ya ndoa.
Isaac akimvisha pete Janet.
Janet akimvisha pete Isaac.
Sahihi ya bwana harusi.
Sahihi ya bi harusi.
Maharusi wakitoka kanisani.
Taswira zaidi.
Wanameremetajeeeee!!!!!
Safu ya wapambe.
Mara nkabaaaaa!!! Ukumbini.
Moja kati ya burudani za ukumbini zilizotikisa ile kinomanoma chekshia...hapa ni Mama Paul na Jeremiah.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.