Ni katika michuano ya CRDB Federation Cup, ushindi wa goli 5-0 unapatikana dhidi ya Copco FC ya jijini Mwanza ambapo magoli ya Yanga Sc yamefungwa na:-
1. Sheikhan Rashid
2. Dube
3. Max Nzengeli
4. Abuya
5. Mudathir Yahaya
Ni katika michuano ya CRDB Federation Cup, ushindi wa goli 5-0 unapatikana dhidi ya Copco FC ya jijini Mwanza ambapo magoli ya Yanga Sc yamefungwa na:-
1. Sheikhan Rashid
2. Dube
3. Max Nzengeli
4. Abuya
5. Mudathir Yahaya

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa pamoja na Watumishi wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari wakifuatilia wasilisho la utekelezaji wa uandaaji wa nyaraka mbalimbali za uanzishwaji wa Bodi kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi hiyo Wakili Patrick Kipangula, wakati wa ziara ya kwenye ofisi za Bodi leo tarehe 23 Januari, 2025 zilizopo Mtaa wa Jamhuri Posta jijini Dar es Salaam.
“Kwanza mimi niwapongeze sana kwa hatua mliyofikia, lakini Kaimu Mkurugenzi hakikisha unasimamia hizi nyaraka zote mlizozitaja zifanyiwe kazi kwa haraka sana na kukamilika, umuhimu wa kuanza kazi kwa bodi hii unaujua na bahati nzuri wewe ni mtu wa Sheria, ulishiriki tangu mchakato wa uandaaji wa Sheria na kanuni zake, hivyo unayafahamu majukumu yake na unafahamu kwa nini tunahitaji Bodi ya Ithibati,” amesema Bw. Msigwa na kusisitiza; 
Bofya Hapa chini kutazama matokeo
NA ALBERT G.SENGO/MWANZA
MAMLAKA ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) inaendesha Mafunzo kuhusu Sheria mpya ya Ununuzi pamoja na Moduli mpya za Mfumo wa NeST kwa watumishi wa umma kutoka kada na Taasisi mbalimbali nchini,
Mafunzo hayo yaliyoanza rasmi hii leo Januari 20, 2025 katika ukumbi wa mikutano wa jengo la Rock City Mall Jijini Mwanza, yamehudhuriwa na washiriki zaidi ya 200 wa kada mbalimbali wakiwemo Maafisa Ununuzi, Maafisa Sheria, Wakuu wa Vitendo vya Ununuzi, na wengineo.
Meneja wa Kujenga Uwezo na Huduma za Shauri PPRA Gilbert C. Kamnde amesema, muendelezo wa utoaji mafunzo hayo ni utekelezaji wa jitihada za Serikali kupitia Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma, ya kuhakikisha wanawajengea uwezo wadau wa Ununuzi wakiwemo Maafisa wa Serikali pamoja na wazabuni ili kuhakikisha weledi na uzoefu wa matumizi ya mfumo unaongezeka ili kurahisisha utendaji kazi katika michakato ya Ununuzi wa Umma Nchini.
MWANDISHI NA. VICTOR MASANGU/PWANI
SAUTI NA. ALBERT G.SENGO
NA ALBERT GSENGO/MWANZA
WAKATI Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu, Mohamed Ramadhani akitoa maagizo kwa kitengo cha lishe katika halmashauri hiyo kuandaa program maalumu ya upandaji wa miti ya matunda katika kila shule za msingi na sekondari zilizopo wilayani humo ili kuwezesha wanafunzi kupata virutubisho mbalimbali ndani ya eneo lao la shule.