"Nilikuwa na ndoto siku moja nyimbo zangu zipigwe makanisani katika kumtukuza Mungu, Taifa letu linamalezi na makuzi ya kipekee tangu mwasisi wetu Baba wa Taifa hadi Rais wa awamu ya 6, Samia Suluhu Hassan, nashukuru hilo limetimia" Harmonize akijibu swali la mtangazaji wa Jembe Fm Mwanza, Natty E Brandy baada ya kuulizwa alijisikiaje Mtumishi wa Mungu Geor Devie kuucheza wimbo wake madhabahuni kwenye kanisa lake huku akimtabiria makuu na waumini wakishangilia
SOUWASA YATOA TUZO KWA WATEJA KINARA WA MALIPO YA ANKARA ZA MAJI.
-
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Songea (SOUWASA) imewatunukia
tuzo wateja wake kinara katika makundi matatu ambayo ni majumbani, maeneo
ya biasha...
6 minutes ago