ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, February 26, 2022

HARMONIZE - 'NILIKUWA NA NDOTO SIKU MOJA NYIMBO ZANGU ZIPIGWE MAKANISANI KATIKA KUMTUKUZA MUNGU.

 "Nilikuwa na ndoto siku moja nyimbo zangu zipigwe makanisani katika kumtukuza Mungu, Taifa letu linamalezi na makuzi ya kipekee tangu mwasisi wetu Baba wa Taifa hadi Rais wa awamu ya 6, Samia Suluhu Hassan, nashukuru hilo limetimia" Harmonize akijibu swali la mtangazaji wa Jembe Fm Mwanza, Natty E Brandy baada ya kuulizwa alijisikiaje Mtumishi wa Mungu Geor Devie kuucheza wimbo wake madhabahuni kwenye kanisa lake huku akimtabiria makuu na waumini wakishangilia