"Nilikuwa na ndoto siku moja nyimbo zangu zipigwe makanisani katika kumtukuza Mungu, Taifa letu linamalezi na makuzi ya kipekee tangu mwasisi wetu Baba wa Taifa hadi Rais wa awamu ya 6, Samia Suluhu Hassan, nashukuru hilo limetimia" Harmonize akijibu swali la mtangazaji wa Jembe Fm Mwanza, Natty E Brandy baada ya kuulizwa alijisikiaje Mtumishi wa Mungu Geor Devie kuucheza wimbo wake madhabahuni kwenye kanisa lake huku akimtabiria makuu na waumini wakishangilia
DKT. MWIGULU AONGOZA KIKAO KAZI KUHUSU UJENZI WA MIRADI YA BARABARA ZA
HARAKA KWA UBIA WA MFUMO WA PPP
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 17, 2026 ameongoza kikao cha
kazi kuhusu ujenzi wa miradi ya barabara za haraka (Express Ways) kwa ubia
kup...
32 minutes ago