"Nilikuwa na ndoto siku moja nyimbo zangu zipigwe makanisani katika kumtukuza Mungu, Taifa letu linamalezi na makuzi ya kipekee tangu mwasisi wetu Baba wa Taifa hadi Rais wa awamu ya 6, Samia Suluhu Hassan, nashukuru hilo limetimia" Harmonize akijibu swali la mtangazaji wa Jembe Fm Mwanza, Natty E Brandy baada ya kuulizwa alijisikiaje Mtumishi wa Mungu Geor Devie kuucheza wimbo wake madhabahuni kwenye kanisa lake huku akimtabiria makuu na waumini wakishangilia
NEWTA YAZINDULIWA DAR, KULETA MAGEUZI SEKTA YA UJENZI
-
Makamu wa Rais wa Huaxin Group (mwenye koti) Wang Jiajun akiongoza
watendaji wengine katika uzinduzi rasmi wa cement mpya ya Newta Jijini Dar
es Salaam
...
1 hour ago