"Nilikuwa na ndoto siku moja nyimbo zangu zipigwe makanisani katika kumtukuza Mungu, Taifa letu linamalezi na makuzi ya kipekee tangu mwasisi wetu Baba wa Taifa hadi Rais wa awamu ya 6, Samia Suluhu Hassan, nashukuru hilo limetimia" Harmonize akijibu swali la mtangazaji wa Jembe Fm Mwanza, Natty E Brandy baada ya kuulizwa alijisikiaje Mtumishi wa Mungu Geor Devie kuucheza wimbo wake madhabahuni kwenye kanisa lake huku akimtabiria makuu na waumini wakishangilia
MWANASHERIA MKUU ATOA WITO KWA MAWAKILI WA SERIKALI: “TUFANYE KAZI KWA
HARAKA NA UBORA”
-
Na Pamela Mollel, Arusha
*Arusha, Machi 25, 2025* — Mwanasheria Mkuu wa Serikali, *Hamza Said Johari*,
ametoa wito maalum kwa Mawakili na Wanasheria wot...
5 hours ago