Dira Ya Dunia
-
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na
mbili unusu jioni Afrika Mashariki
1 hour ago
![]() |
| Hapa ni ndani ya eneo la uzalishaji ambapo kundi la sanaa la The Great Zone Entertainment lilipata fursa ya kutembelea kujionea yaliyomo na yanayojiri. |
![]() |
| Dirisha la kuelekea eneo jingine la chemba ya uzalishaji ndani ya kampuni ya Bia TBL Mwanza. |
![]() |
| Haya ndiyo yanayosomeka toka dirishani hapo panapo chunguliwa. |
![]() |
| Afisa Bia Ubora Kwenye soko wa Kampuni ya TBL Mwanza Mr. kamambi akitoa maelekezo juu ya shughuli nzima ya uzalishaji kiwandani hapo kwa wasanii wa kundi la The Great zone Entertainment. |
![]() |
| Viambatanisho elekezi vilivyo muhimu kwa ajili ya uzalishaji bora na makini viko kwenye eneo la ufungaji bia. |
![]() |
| Umakini unazingatiwa kuanzia ndani ya kiwanda hivyo ufungaji si wa vizibo pekee bali hata upachikaji lebo makini unapewa kipaumbele. |
![]() |
| Afisa Bia Ubora Kwenye soko wa Kampuni ya TBL Mwanza Mr. kamambi akitoa maelekezo katika seksheni ya ugongaji vizibo. |
![]() |
| Sasa bia imekamilika na inapakiwa kwenye gari kuelekea kwenye soko. |
![]() |
| Wasanii walipata fursa pia kutembelea ghala ya kuhifadhi bia zilizo kamilika kuelekea sokoni. |
![]() |
| Wasanii wa The Great Zone wakipata flash eneo la ghala kabla ya kwenda kupata vinywaji na chakula walichoandaliwa.. |
![]() |
| Wadau wa TBL Mwanza wakiburudika mara baada ya kazi ndani ya bar iliyoko ndani ya kiwanda hicho eneo la Bwiru wilayani Ilemela. |
![]() |
| Picha na kinywaji vya TBL. |
![]() |
| Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Montage (iliyoandaa hafla hiyo),Teddy Mapunda akimpa zawadi ya heshima Mgeni Rasmi,Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete mara baada ya kuifanikisha vyema tafrija hiyo maalum ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia wanawake wenye matatizo ya afya hapa nchini kupitia mfuko wa Montage Charity Ball,iliyofanyika jioni ya leo kwenye Hoteli ya Serena,jijini Dar es Salaam,aidha katika tafrija hiyo iliyofana sana kiasi cha shilingi milioni 142 na laki tano zimepatikana. |
![]() |
| Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Montage (iliyoandaa hafla hiyo),Teddy Mapunda pichani kushoto akizungumza machache mbele ya meza kuu kabla ya kumpa zawadi ya heshima Mgeni Rasmi,Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete mara baada ya kuifanikisha vyema tafrija hiyo maalum ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia wanawake wenye matatizo ya afya hapa nchini kupitia mfuko wa Montage Charity Ball,iliyofanyika jioni ya leo kwenye Hoteli ya Serena,jijini Dar es Salaam,aidha katika tafrija hiyo iliyofana sana kiasi cha shilingi milioni 142 na laki tano zimepatikana.Kulia ni Mke wa Makamu wa Rais,Mama Asha Bilal. |
![]() |
| Mgeni Rasmi,Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete akimkabidhi Bwa.Charles Stith ambaye aliwahi kuwa balozi wa Marekani nchini Tanzania cheti chake cha heshima ,mara baada ya kuchangia $ 10,000 kwenye hafla ya kukusanya kiasi cha fedha zaidi ya shilingi milioni 100 kwa ajili ya kusaidia matibabu ya Wanawake wenye matatizo mbali mbali,Anaeshuhudia pichani kulia ni Mke wa Makamu wa Rais,Mama Asha Bilal,aidha katika tafrija hiyo iliyofana sana kiasi cha shilingi milioni 142 na laki tano zimepatikana usiku huu,ndani ya hoteli ya Serena,jijini Dar. |
![]() |
| Mgeni Rasmi,Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete akimkabidhi Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BOT),Bwa.Benno Ndulu cheti chake cha heshima ,mara baada ya kuchangia Milioni Kumi kwenye hafla ya kukusanya kiasi cha fedha zaidi ya shilingi milioni 100 kwa ajili ya kusaidia matibabu ya Wanawake wenye matatizo mbali mbali,Anaeshuhudia pichani kulia ni Mke wa Makamu wa Rais,Mama Asha Bilal,aidha katika tafrija hiyo iliyofana sana kiasi cha shilingi milioni 142 na laki tano zimepatikana usiku huu,ndani ya hoteli ya Serena,jijini Dar. |
![]() |
| Mke wa Makamu wa Rais,Mama Asha Bilal pichani kulia akizungumza machache,ambaye pia alichangia kiasi cha shilingi Milioni mbili katika hafla hiyo. |
![]() |
| Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete wakipeana mkono wa pongezi na Mke wa Makamu wa Rais,Mama Asha Bilal kwa kuchangia kwake. |
![]() |
| Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete wakipeana mkono wa pongezi na kumkabidhi cheti cha heshima Mke wa Makamu wa Rais,Mama Asha Bilal kwa kuchangia kwake |
![]() |
| Mgeni Rasmi,Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete akimkabidhi cheti cha heshim mmoja wa watangazaji wa kipindi cha Powerbreakfast kutoka Clouds FM,Said Bonge a.k.a Bonge Barabarani ambaye pia alichangia kiasi cha shilingi laki tisa. |
![]() |
| Makofi ya pongezi na shukurani kwa Bonge Barabarani yakipigwa. |
![]() |
| Mama Salma Kikwete akimkabidhi mmoja wa Wakilishi wa Kampuni ya ndege ya Flight Link cheti chake cha heshima ,mara baada ya kuchangia kiasi cha fedha kwenye hafla hiyo. |
![]() |
| Mgeni Rasmi,Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza machache mbele ya wageni waalikwa (hawapo pichani) mara baada ya kuifanikisha hafla hiyo kwa kiasi kikubwa. |
![]() |
| Mmoja wa Waratibu wa hafla ya Montage Charity Ball,Barbra Hassan akiwakaribisha baadhi ya viongozi mbalimbali wa kiserikali,mabalozi na wageni waalikwa wengine waliofika kwenye hafla hiyo ndani ya hotel ya Serena jijini Dar. |
![]() |
| Pichani juu ni wageni waalikwa kutoka makampuni mbalimbali wakishuhudia yaliyokuwa yakijiri kwenye hafla hiyo,ambapo mgeni rasmi alikuwa Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete. |
![]() |
| Kalunde Band wakitumbuiza jukwaani |
![]() |
| Msanii wa muziki wa kizazi kipya Barnaba akipewa kampani na baadhi ya wanamuziki wenzake jukwaani,wakitumbuiza mbele ya wageni waalikwa (hawapo pichani),ndani ya hotel ya Serena jijini Dar. |
![]() |
| Baadhi ya Wafanyakazi wa kampuni ya bia ya Serengeti wakiongozwa na MKurugenzi wao Mtendani (wa tatu kulia),Steve Gannon wakiwa katika picha ya pamoja,aidha kampuni hiyo pamoja na kudhamini hafla hiyo pia ilichangia kiasi cha shilingi milioni tano |
![]() |
Baadhi ya magauni yakinadiwa kwa staili ya kipekee kabisa,kwa ajili ya kuchangia mfuko huo wa kuwasiadia wanawake wenye matatizo ya afya hapa nchini kupitia mfuko wa Montage Charity Ball.
PICHA ZOTE NA Michuzijr Blog.
|
| Pistorius amesema kuwa hakuua mchumba wake kwa maksudi. |
| Carl ambaye ni kaka wa Oscar pistorius akikumbatiana na baba yake mzazi mara baada ya maamuzi ya dhamana kwa mdogo wake. (Reuters) |
| Nani kati ya hawa abiria yuko salama? |
| Akinamama Mwanza mmejiandaandaaje? |
![]() |
| Masupa staa wa kesho na michezo yao. |
![]() |
| Katangazo ka Miti dawa. |
