Shirika la Reli Tanzania limekanusha taarifa zinazosambaa atika mitandao ya kijamii kuhusu fursa za ajira zaidi ya 200 zilizotangazwa na Shirika la Reli Tanzania - TRC.
MVUA KUBWA ZAHARIBU MIUNDOMBINU, USAFIRI WA SGR NA BARABARA WAATHIRIKA
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya mwenendo wa Mvua
Kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
Imeeleza ku...
2 hours ago











