Shirika la Reli Tanzania limekanusha taarifa zinazosambaa atika mitandao ya kijamii kuhusu fursa za ajira zaidi ya 200 zilizotangazwa na Shirika la Reli Tanzania - TRC.
KATIBU MKUU TRAMEPRO,CHIFU MSANGIA MKOA WA MARA WAJADILI MAENDELEO RORYA
-
Na Mwandishi Wetu
KATIBU Mkuu wa Shirika la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira
Tanzania(TRAMEPRO) Boniventura Mwalongo amekutana na kufanya mazungumzo na...
4 hours ago











