Shirika la Reli Tanzania limekanusha taarifa zinazosambaa atika mitandao ya kijamii kuhusu fursa za ajira zaidi ya 200 zilizotangazwa na Shirika la Reli Tanzania - TRC.
MADIWANI HANDENI MJI WAASWA KUZINGATIA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA
-
Na Mwandishi Wetu, Handeni TC
Madiwani wa Halmashauri ya Mji Handeni wameaswa kuzingatia miiko ya
viongozi wa umma na kudumisha uadilifu katika utekel...
8 hours ago











