ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, October 5, 2019

BODABODA WAFUNGUKA SAKATA LA KUTAJWA KUWAPIGA MIMBA WANAFUNZI



Tabia mbaya za malezi na makuzi, vishawishi na changamoto za mazingira kama vile umbali kutoka majumbani hadi shuleni ni moja ya sababu zinazotajwa kuchangia ongezeko la idadi ya wanafunzi wanaopata mimba wakiwa mashuleni.

Ingawa ni vigumu kupata takwimu sahihi kujua kundi gani la wanaume linaloongoza kutajwa katika mimba hizo lakini wengi wanawanyooshea vidole madreva wa pikipiki al-maarufu 'bodaboda'. 

Kutoka kata ya Lumiji wilayani Magu mkoani Mwanza Bodaboda wamefunguka haya katika kongamano la Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto wilayani humo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.