JIPANGUSEEEEE-Rrrrraaaaa!
Friday, July 16, 2010
YATCH CLUB ENEO LA USIKU WA FIESTA MWANZA.
JIPANGUSEEEEE-Rrrrraaaaa!
WANG'ATUKA.

Wabunge, Bw. Paul Kimiti (Sumbawanga Mjini) kushoto na Bw. Chrisant Mzindakaya (Kwela) wakitoka nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma huku wakipunga mikono kuashiria ukomo wa ubunge wao wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kabla ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Wabunge wote hao wameshatangaza kutowania tena nafasi hizo baada ya kutumikia kwa muda mrefu.
(Picha na Peter Twite)
GAZETI LA MAJIRA.
Thursday, July 15, 2010
MWANZA KUJIPANGUSA TRH 31JULY NA 1 AUGUST

MKAZI WA KANDA YA ZIWA KAA TAYARI KWA BURUDIKO HILO LA ROHO, MWILI NA NAFSI HUKU TUKIHAMASISHANA KATIKA SUALA ZIMA LA UWAJIBIKAJI KUIJENGA NCHI.
NIKISEMA - Jipanguseeeeee!
UNASEMA - Rrrrrrraaaaaaaa!
Wednesday, July 14, 2010
ZA MWANZA MWANZA ASUBUHI YA LEO !
MWANDISHI WA HABARI ATANGAZA NIA KANDA YA ZIWA!
AKIZUNGUMZA NAMI HIVI MAJUZI MJINI MUSOMA BI. EVA-SWEET MUSIBA AMESEMA KUWA PAMOJA NA KUTANGAZA NIA HIYO, UWEZO ANAO , SIFA ANAZO HIVYO KILICHOBAKI NI MUDA NA WAKATI UFIKE NAE ACHUKUWE FOMU, KISHA KUHUSIKA NA MCHAKATO MZIMA.
MWISHO BI EVA-SWEET AMEOMBA BARAKA ZA KILA MTANZANIA MPENDA MAENDELEO.
BAADA YA UTABIRI WC, NI WAKATI SASA KWA PWEZA PAULO KUTENGENEZA FWEZA.

WATU WENGI HUSUSANI WACHEZA KAMALI WALIKUWA WAKIWEKA FEDHA KATIKA KAMALI MARA BAADA YA KUSIKIA UTABIRI WA PWEZA HUYO WA UJERUMANI ANASEMA NINI ILI NAO WATABIRI NAYE. NI AJABU LAKINI AMEKUWA AKIPATIA KILA SIKU.
Tuesday, July 13, 2010
UKANDA MAALUM WA BOMU WAKUTWA UGANDA.

Wamesema kuna watu ambao idadi yao haijajulikana wamekamatwa.

Kundi la wapiganaji la Kisomali la al-Shabab limesema linahusika na mashambulio hayo kwasababu Uganda inaiunga mkono serikali ya Somalia mjini Mogadishu.

Polisi wamesema, ukanda huo ulikutwa kwenye mfuko mweusi kama ule unaotumika kubebea lap-top kwenye klabu ya usiku Jumatatu mchana.
Mfuko huo ulikuwa na milipuko na mabomu.
Mataifa ya watu hao waliokamatwa hayajatajwa lakini maafisa wamesema kichwa kimoja kilichopatikana karibu na eneo moja lilipotokea mlipuko huo kinaonekana kuwa cha Msomali, ambaye huenda alikuwa amejitoa mhanga.
CHANZO CHA HABARI BBC SWAHILI.
STAR MAX HOTEL &TOURS FEEL AT HOME WHILE YOU ARE AWAY.
INAPATIKANA KIRUMBA MTAA WA MAGOMENI NA DAR ES SALAAM JIJINI MWANZA.
KWA MAELEZO ZAIDI TEL. 0685 211 333 OR 254 2597
E MAIL star.max47@yahoo.com
Sunday, July 11, 2010
AJALI MBAYA NJIANI.
CHANZO CHA AJALI INASEMEKANA NI MWENDO KASI WA GARI HILO.
MAREHEMU ALIKUWA AKITOKA KILABU CHA POMBE KUELEKEA NYUMBANI.HATIMAYE MWILI ULIPELEKWA HOSPITALI YA MKOA KWA UCHUNGUZI.
MIAKA 10 KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MAMA.
16/JULY/1959- 10/JULY/2000.
HAKIKA UMETUACHA NA SIMANZI KUBWA, UMETUACHA NA MAJONZI EWE MPENDWA ULIYEKUWA KIUNGO KATIKA FAMILIA.
UNAKUMBUKWA SANA NA MARAFIKI ZAKO, UNAKUMBUKWA NA NDUGU ZAKO NA ZAIDI MTOTO WAKO WA PEKEE OLIVER J. RYANNA (OLIVER G.SENGO).
IBADA YA SHUKURANI IMEFANYIKA LEO KATIKA KANISA LA MENONITE MUSOMA MJINI NA BAADAE JUMUIKO LA NYUMBANI.
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE.
AMINA .
Subscribe to:
Posts (Atom)