AWALI NGOMA YA FIESTA 2010 ILIPANGWA KUMALIZIKA MWANZA TAREHE 7 AUGUST 2010 PALE YATCH CLUB, LAKINI KWA MUJIBU WA KIKAO CHA KAMATI YA FIESTA KILICHOKETI JANA USIKU NAKUMALIZIKA MIDA IKIWA IMEENDA SANA. HATIMAYE PEPA LIMEPENYEZWA NA RATIBA KUSOMEKA KUWA WAKAZI WA MWANZA KUHUSIKA NA BURUDANI ZA FIESTA JIPANGUSE! TAREHE 31 JULY (YATCH CLUB) NA TAREHE 1 AUGUST CCM KIRUMBA. MKAZI WA KANDA YA ZIWA KAA TAYARI KWA BURUDIKO HILO LA ROHO, MWILI NA NAFSI HUKU TUKIHAMASISHANA KATIKA SUALA ZIMA LA UWAJIBIKAJI KUIJENGA NCHI.
SERIKALI YAAHIDI KUBORESHA MIUNDOMBINU KING LION
-
Prof.Mkumbo katikati akisikiliza maelekezo kutoka kwa Meneja wa King Lion
Arnold Lyimo.
Waziri Mkumbo akiwa kwenye picha ya pamoja na wawekezaji wa ...
SERIKALI YAAHIDI KUBORESHA MIUNDOMBINU KING LION
-
Prof.Mkumbo katikati akisikiliza maelekezo kutoka kwa Meneja wa King Lion
Arnold Lyimo.
Waziri Mkumbo akiwa kwenye picha ya pamoja na wawekezaji wa ...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.