• HOME

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, May 21, 2026

DKT. MWIGULU ATAKA ULINZI NA UHIFADHI WA ZIWA VICTORIA.

Thursday, May 21, 2026  HABARI  No comments


WAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Nchemba amesema nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki zina wajibu wa kuendelea kushirikiana kwa karibu katika kulinda na kuhifadhi mazingira ya Ziwa Victoria ili kuhakikisha rasilimali hiyo muhimu inaendelea kuwa chanzo cha maisha, ajira na maendeleo kwa mamilioni ya wananchi wa ukanda huo.

Akizungumza leo Alhamisi Mei 21, 2026 wakati wa uzinduzi rasmi wa Siku ya Ziwa Victoria na kufunga kilele cha maadhimisho ya kwanza yaliyofanyika katika Viwanja vya Nanenane Nyamhongolo jijini Mwanza, Dkt. Nchemba amesema Ziwa Victoria si mali ya taifa moja pekee bali ni hazina ya pamoja inayounganisha nchi za Afrika Mashariki kiuchumi, kijamii na kimazingira.

Amesema kauli mbiu ya maadhimisho hayo isemayo “Maji Yetu, Mustakabali Wetu: Tuungane kwa Uendelevu wa Bonde la Ziwa Victoria” inapaswa kuwa chachu ya kuongeza uwajibikaji wa pamoja katika usimamizi wa rasilimali za maji, ulinzi wa mazingira pamoja na kuimarisha mshikamano wa kikanda.

“Ziwa Victoria ni uti wa mgongo wa maisha ya watu wetu. Linatoa ajira kupitia uvuvi, usafiri wa majini, biashara na shughuli nyingine za kiuchumi, hivyo ni lazima tulinde mazingira yake kwa nguvu zote,” amesema Dkt. Nchemba.

Aidha amesema Serikali itaendelea kushirikiana na nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika kuimarisha usalama majini, kudhibiti uharibifu wa mazingira na kutumia teknolojia za kisasa katika usimamizi wa shughuli zinazofanyika ndani na pembezoni mwa ziwa hilo.

Katika hotuba yake, Waziri Mkuu pia amesisitiza umuhimu wa kuimarisha mifumo ya uokoaji majini ili kuzuia ajali pamoja na matumizi ya mifumo ya kidijitali kufuatilia shughuli za uvuvi, ubora wa maji na athari za mabadiliko ya tabianchi ambazo zimeendelea kuwa tishio kwa mazingira ya Ziwa Victoria.

Kadhalika, ametoa rai kwa taasisi za utafiti na wadau wa mazingira kuendelea kufanya tafiti zitakazosaidia kupatikana kwa suluhisho la changamoto mbalimbali zinazoikabili Ziwa Victoria ikiwemo ongezeko la magugu maji, uchafuzi wa mazingira na uharibifu wa vyanzo vya maji.

“Sote tunawajibika kuhakikisha Ziwa Victoria linaendelea kuwa salama na lenye manufaa kwa kizazi cha sasa na vizazi vijavyo,” amesisitiza Dkt. Nchemba.

Kwa upande wake, Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema Tanzania itaendelea kuwa mstari wa mbele katika juhudi za kulinda na kuhifadhi Ziwa Victoria kutokana na mchango wake mkubwa katika uchumi, usalama wa chakula na maendeleo ya wananchi wa ukanda wa ziwa.

Maadhimisho hayo yamewakutanisha viongozi wa Serikali, wadau wa mazingira, taasisi za utafiti pamoja na wananchi kwa lengo la kujadili namna bora ya kuhifadhi na kutumia kwa uendelevu rasilimali za Bonde la Ziwa Victoria.

      

Albert G.Sengo
Tweet

AIRTEL YAZINDUA DUKA LAKE LA KISASA JIJINI MWANZA

Thursday, May 21, 2026  HABARI  No comments

 NA ALBERT G. SENGO/ MWANZA

Airtel Tanzania imefunguwa duka lake jipya katika Soko la Kabwalo kata ya Buswelu wilayani Ilemela jijini Mwanza, kiwa ni sehemu ya ahadi ya kuwafikia Watanzania #AirtelKilaKona. Kupitia duka hilo, wateja wataweza kupata huduma za mawasiliano, intaneti ya kasi, usajili wa laini pamoja na huduma za Airtel Money kwa ukaribu na urahisi zaidi. Mkuu wa wilaya ya Ilemela Amir Mohamed Mkalipa ndiye aliyekuwa mgeni rasmi wa uzinduzi huo. Fuatilia yote yaliyojiri, kusudio na dhamira yake kupitia hapa......
Njoo tukukwamue sasa, na uendelee kufurahia huduma za kidijitali kiganjani mwako.






#AirtelTanzania #StepUp2026/27 #AirtelKilaKona #Tanzania
Albert G.Sengo
Tweet

Tuesday, May 19, 2026

KAFITI ATEMBELEA UKAGUZI UJENZI WA JENGO LA KISASA LA ABIRIA KIWANJA CHA NDEGE MWANZA

Tuesday, May 19, 2026  HABARI  No comments


Mbunge wa Jimbo la Ilemela, Kafiti William Kafiti ametembelea na kukagua eneo la Ujenzi wa jengo la kisasa la Abiria katika kiwanja cha ndege cha Mwanza.


Katika Ziara iliyofanyika Leo Mei 19,2026 Kafiti, Amesema Ujenzi huo utasaidia Kiwanja cha ndege cha Mwanza kuwa na Jengo la Kisasa la Abiria lenye uwezo wa kuhudumia ndege zote za ndani na za nje ya Nchi.

Amebainisha kuwa Upanuzi wa kiwanja hicho utasaidia kukamilisha mahitaji ya Wananchi wanaotumia uwanja huo Kutokana na uwanja huo kuwa kilio Cha wakazi wa Mwanza Kwa Muda mrefu.


Katika hatua nyingine amesema Kukamilishwa Kwa Ujenzi wa jengo la kisasa la Kuhifadhia mizigo katika Kiwanja hicho kutarahisisha Shughuli za kiuchumi kama vile uvuvi, Viwanda na Biashara huku Kiwanja hicho kikipata Fursa ya kupokea ndege  za kimataifa za mizigo kutokana na Jengo hilo kuwa na uwezo wa kupokea zaidi ya Tani 52,000 Hali itakayoinua uchumi wa Mkoa wa Mwanza na Nchi Kwa Ujumla.

Kwa Upande wake Meneja wa Uwanja wa ndege Mwanza, Rose Comino amempongeza Mbunge huyo Kwa kukipambania kiwanja hicho huku akibainisha kuwa kukamilisha Kwa jengo hilo kutawezesha utoaji wa huduma Kwa ndege za kimataifa na zaidi ya Abiria milioni mbili Kwa Mwaka.


Kwa mujibu wa Kafiti William Kafiti, Mbunge wa Jimbo la Ilemela amesema Ujenzi wa jengo hilo la Abiria unatarajia kuanza mapema mwezi Julai.




Albert G.Sengo
Tweet

Monday, May 18, 2026

FIRST LAKE VICTORIA DAY KUFANYIKA MWANZA WAZIRI MKUU NDIYE MGENI RASMI

Monday, May 18, 2026  HABARI  No comments

 Maadhimisho ya Siku ya Ziwa Victoria 2026 yanakuja kwa kishindo jijini Mwanza kuanzia tarehe 18 hadi 21 Mei 2026!

Kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda ambaye alipata kuzungumza na vyombo mbalimbali vya habari amesema kuanzia tarehe 18 Mei 2026 Kutakuwa na: - Upandaji miti - Uhamasishaji wa utunzaji wa maji - Jukwaa la wadau - Uzinduzi wa Kituo cha Kikanda cha Utafutaji na Uokoaji - Maonesho makubwa ya biashara, huduma na bidhaa mbalimbali katika viwanja vya Nanenane Nyamhongolo.

Nchi mbalimbali za Afrika Mashariki na Ukanda wa Ziwa Victoria zitashiriki pamoja na Tanzania kuwa mwenyeji. Kauli mbiu: "𝗠𝗔𝗝𝗜 𝗬𝗘𝗧𝗨, 𝗠𝗨𝗦𝗧𝗔𝗞𝗔𝗕𝗔𝗟𝗜 𝗪𝗘𝗧𝗨: 𝗧𝗨𝗨𝗡𝗚𝗔𝗡𝗘 𝗞𝗪𝗔 𝗨𝗘𝗡𝗗𝗘𝗟𝗘𝗩𝗨 𝗪𝗔 𝗕𝗢𝗡𝗗𝗘 𝗟𝗔 𝗭𝗜𝗪𝗔 𝗩𝗜𝗖𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔” . 📍 Mwanza ndiyo mahali pake!
#LakeVictoriaDay2026 #Mwanza #ZiwaVictoria #Tanzania #EastAfrica Environment Nyamhongolo VictoriaLake
Albert G.Sengo
Tweet

Friday, May 15, 2026

JAMBO KUBWA LINAKUJA ZIWA VICTORIA - MWANZA

Friday, May 15, 2026  HABARI  No comments


 

  • 🎙️ IJUMAA HII ndani ya #DriveMix 🔥

    Tunapata nafasi ya kipekee kuzungumza na Dkt. Renatus Shinhu — Mkurugenzi wa Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Victoria 💧

    🗓 MAY 15
    ⏰ Saa 10 Jioni – Saa 1 Jioni
    📻 LIVE ON Jembe FM

    Tutaangazia masuala muhimu kuelekea siku ya ziwa Viktoria Usikose kushiriki nasi kupitia simu na mitandao yetu ya kijamii 📲

    #JembeFM #DriveMix #LiveInterview #LVBWB RenatusShinhu Mwanza JembeNiJembe

    1h
Albert G.Sengo
Tweet

MMILIKI WA UWANJA WA YANGA HUYU HAPA | RAIS ENG. HERSI AFUNGUKA

Friday, May 15, 2026  MICHEZO  No comments

 

Albert G.Sengo
Tweet

Thursday, May 14, 2026

MCHUNGAJI ANASHIKILIWA KWA TUHUMA ZA KUHUSIKA NA MAUAJI YA MKEWE

Thursday, May 14, 2026  HABARI  No comments


Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia na linaendelea kumhoji mchungaji wa Kanisa la Habari Njema, Kasese Gervas Bilalo (47), kwa tuhuma za kumuua mke wake, Martha Faustine (45).


Tukio hilo limebainika Mei 12, 2026 majira ya saa 6:00 mchana katika Kijiji cha Nyarututu, Kata ya Bwanga, Wilaya ya Chato, mkoani Geita, ambapo marehemu alikutwa amefariki ndani ya nyumba yao katika mazingira ambayo Jeshi la Polisi limebaini kuwa ni ya kutengenezwa. Uchunguzi wa awali umeonesha kuwa mtuhumiwa alimvizia mkewe akiwa amelala, kisha akamkaba shingoni kwa kutumia kamba ya katani kabla ya kumning’iniza juu ya kenchi ili tukio hilo lionekane kama kujinyonga.


Chanzo cha tukio hilo kinadaiwa kuwa marehemu alikuwa akimtuhumu mumewe kuwa na mahusiano ya nje ya ndoa yao, hali iliyosababisha migogoro ya mara kwa mara katika familia hiyo. 


Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Chato kwa ajili ya uchunguzi, huku taratibu nyingine za kisheria zikiendelea kukamilishwa ili mtuhumiwa afikishwe katika mamlaka husika za kisheria.


Jeshi la Polisi linatoa wito kwa wananchi kutumia njia za amani na za kisheria katika kutatua migogoro badala ya kujichukulia sheria mkononi, jambo linaloweza kusababisha madhara makubwa au kupoteza maisha.


Imetolewa na:

SACP Safia Jongo

Kamanda wa Polisi

Mkoa wa Geita

Albert G.Sengo
Tweet

WANAODAIWA KUMUUA MTEJA KWA KIPIGO WAPANDISHWA KIZIMBANI

Thursday, May 14, 2026  HABARI  No comments



Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limewafikisha Mahakamani mlinzi (baunsa) pamoja na mfanyakazi wa usafi waliokuwa wakifanya kazi katika baa ya Las Vegas, wakituhumiwa kwa mauaji ya Mkazi wa Mwanza, Mzafuru Faisal Yunusu.

Washtakiwa hao ni Yohana Paul Peter (22), ambaye ni mlinzi wa eneo lilipotokea tukio hilo na Hamis Juma Mussa (27), mfanyakazi wa usafi. 


Wawili hao wamepandishwa kizimbani leo Alhamisi Mei 14, 2026, katika Mahakama ya Wilaya ya Ilemela na kusomewa shtaka la mauaji.


​Akisoma shauri hilo la jinai namba 10492 la mwaka 2026 mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Ilemela, Mhe. Christian Mwalimu, Wakili wa Serikali Clara Muhando, akisaidiana na Evance Kaiza, aliieleza mahakama kuwa washtakiwa walitenda kosa hilo mnamo tarehe 05.02.2026 katika baa ya Las Vegas iliyopo eneo la Kona ya Bwiru, mtaa wa Nyamanoro, wilaya ya Ilemela.


​Washtakiwa wote wawili, wakiwa katika baa hiyo ya Las Vegas, wanadaiwa kumshambulia na kumuua Mzafuru Faisal Yunusu kinyume na kifungu cha 196 na 197 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marejeo mwaka 2023.

Hata hivyo, watuhumiwa hao hawakutakiwa kujibu chochote kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kisheria ya kusikiliza mashauri ya mauaji.


​"Mahakama haina mamlaka ya kusikiliza shauri hili, kwa hiyo hamtatakiwa kujibu chochote juu ya tuhuma zenu. Vilevile, kesi inayowakabili haina dhamana, hivyo mtaendelea kuwa mahabusu hadi pale upelelezi utakapokamilika," alisema Hakimu Mwalimu.

​Kesi hiyo imeahirishwa hadi Mei 28, 2026, na washtakiwa wamerejeshwa rumande.

Albert G.Sengo
Tweet

Wednesday, May 13, 2026

SIKU YA ZIWA VICTORIA 2026 KUFANYIKA JIJINI MWANZA NA MAONESHO KUANZIA TAREHE 18 HADI 21 MEI 2026

Wednesday, May 13, 2026  HABARI  No comments

 

 

NA ALBERT G.SENGO 🌍 KARIBU MWANZA 🇹🇿 Maadhimisho ya Siku ya Ziwa Victoria 2026 yanakuja kwa kishindo jijini Mwanza kuanzia tarehe 18 hadi 21 Mei 2026! Kutakuwa na: Upandaji miti Uhamasishaji wa utunzaji wa maji Jukwaa la wadau Uzinduzi wa Kituo cha Kikanda cha Utafutaji na Uokoaji Maonesho makubwa ya biashara, huduma na bidhaa mbalimbali katika viwanja vya Nanenane Nyamhongolo. Nchi mbalimbali za Afrika Mashariki na Ukanda wa Ziwa Victoria zitashiriki pamoja na Tanzania kuwa mwenyeji. Kauli mbiu: “MAJI YETU, MUSTAKABALI WETU: TUUNGANE KWA UENDELEVU WA BONDE LA ZIWA VICTORIA” 📍 Mwanza ndiyo mahali pake! #LakeVictoriaDay2026 #Mwanza #ZiwaVictoria #Tanzania #EastAfrica #Environment #Nyamhongolo #VictoriaLake
Albert G.Sengo
Tweet

MANISPAA YA KIBAHA KUCHELE YAPANIA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA ZA MITAA, MAJI, NA FYA

Wednesday, May 13, 2026  HABARI  No comments

 


Na Victor Masangu, Kibaha

 
Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha katika kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuleta chachu ya maendeleo imeamua kutumia fursa ya makusanyo ya fedha za mapato yake ya ndani katika kuhakikisha inakabiliana na changamoto mbali mbali zinazowakabili wananchi ikiwemo suala la kuboresha  miundombinu ya  barabara za mitaa zilizopo katika kata zote 14.

Hayo yamebainishwa na Mstahiki meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha Dr. Nicas Mawazo wakati wa kikao cha kikanuni cha  baraza la madiwani robo ya tatu  ya kuanzia mwezi januari mwaka huu wa 2026 hadi kufikia Machi ambapo amebaini lengo kubwa ni kuhakikisha wanawaletea mabadiliko chanya ya kimaenndeleo katika nyanja mbali mbali kupitia mapato ya ndani.
 
Mstahiki Meya amebainisha kwamba katika kikao hicho wamemeweza kupata fursa ya kupokea taarifa mbali mbali kutoka katika baadhi ya taasisi ikiwemo Dawasa, Tanesco, Bima ya afya, Tarura, pamoja na nyinginezo kwa lengo la kujadili mambo mbali mbali ambayo yataweza kuletaa tija zaidi katika kutatua changamoto mbali mbali za wananchi katika maeneo ambayo wanaishi.

"Tumefanya  kikao chetu cha kikanuni cha baraza letu la  madiwani   na kwamba tumejadili mambo mbali mbali ikiwemo suala la  upatikanaj  wa huduma ya maji safi na salama, kuboresha miooundombinu ya barabara za mitaa ambapo tumeweza kutenga kiasi cha shilingi milioni 50 kwa kila mtaa na hii itaweza kusaidia kwa kiais kikubwa katika kuboresha miundombinu ya barabara sekta ya elimu na afya ,"amebainisha  Dr. Nicas

Kwa upande  Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha Dkt. Rogers Shemwelekwa amesema kwamba lengo kubwa niu kuzidi kuendelea kuongeza kasi zaidi katika suala zima  ukusanyaji wa mapato ya ndani ambayo pia yataweza  kusaidia  katika  kutekeleza  baadhi ya miradi mbali mbali ya maendeleo.

Shemwelekwa  ameahidi kuendelea kushirikiana bega kwa bega na viongozi pamoja na  madiwani kwa lengo la kuweza   kuleta dhana pana ya ushirikishwaji  ambayo   itaweza  kuleta matokeo chanya kataika suala zima la maendeleo.

Nao baadhi ya madiwani wa viti maalumu akiwemo Selina Wilson katika kupambana naa maambukizi mapya ya virusi vya ukimvi (VVU) hakusita kuwahimiza wakinababa kutumia kinga kwa lengo la kuweza kuepukana na maambukizi mapya na kwamba ni vema sasa kuwahimiza umuhimu wa kutumia kondomu katika tendo la ndoa na kuacha na ngono zembe.


Naye Diwani wa viti maalumu Shufaa Mshana pamoja na Sara  Uledi wamesema wameomba juhudi za makusudi zifanyika katika kuboresha sekta ya afya hasa kwa upande wa wakinamama wajawazito ambao wamekuwa wakitembea umbari mrefu katika baadhi ya maeneo kwa ajili ya kwenda  kupata huduma ya kujifungua.

Kikao cha kikanuni  cha baraza la madiwani robo ya tatu ya kuanzia Januari hadi machi mwaka huu kimeweza kujadili mambo mbali mbali ikiwemo suala la kuimarisha miundombinu ya barabara za mitaa, kuboresha huduma ya maji safi na salama, upatikanaji wa bima ya afya kwa wote, suala la afya, elimu  pamoja na mambo  mengine yaa msingi kwa ajili ya maslahi ya wananchi kwa ujumla.
Albert G.Sengo
Tweet

Monday, May 11, 2026

BONGE MOJA LA MPINI WA INJILI TOKA KWA FRED RUSHAKA - MY BABA

Monday, May 11, 2026  INJILI  No comments

 

Albert G.Sengo
Tweet

Saturday, May 9, 2026

YANGA SC DHIDI YA COASTAL UNION NI GAME NZURI YA KUTIZAMA.

Saturday, May 09, 2026  MICHEZO  No comments

 

Yanga SC leo Mei 9, 2026 inatarajiwa kushuka dimbani kuikaribisha Coastal Union katika mchezo wa kusisimua wa NBC Premier League utakaopigwa majira ya saa 12:15 jioni kwenye KMC Complex.

Kuelekea mchezo huo, benchi la ufundi la Yanga SC limeweka wazi kuwa mashabiki wanapaswa kutarajia soka la kuvutia lenye ushindani mkubwa ndani ya dakika 90.

Wananchi wanaingia kwenye mchezo huo wakiwa na morali kubwa baada ya kupata ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya KMC FC katika mchezo uliopita, bao pekee likifungwa na Allen Okello dakika ya 65.

Akizungumza kuelekea mchezo huo, Kocha Mkuu wa Yanga SC, Ahamid Moallin amesema kikosi chake kinaiheshimu Coastal Union lakini hakitabadilisha falsafa yake ya kucheza soka la kumiliki mpira na kulitawala dimba.

“Kitu ninachoweza kuwaahidi mashabiki wa Yanga ni mchezo mzuri. Sisi kama Yanga tuna namna yetu ya kucheza, msingi wetu ni kumiliki mchezo. Tunaiheshimu Coastal Union lakini hatuwezi kuacha utamaduni wetu.

Tunataka kumiliki mchezo kwa dakika zote 90, si kwa vipindi fulani. Kila mchezaji anapaswa kutoa kiwango chake cha juu kuhakikisha tunatawala mchezo na kupata matokeo mazuri,” amesema Moallin.

Kwa sasa Yanga SC inaendelea kuongoza msimamo wa ligi ikiwa na pointi 51 baada ya kucheza mechi 21, huku Coastal Union ikishika nafasi ya 13 ikiwa na pointi 22, hali inayoufanya mchezo huo kuwa na presha tofauti kwa kila upande.

Albert G.Sengo
Tweet

JUMUIYA YA WAZAZI KIBAHA MJI YAMUUNGA MKONO RAIS DKT. SAMIA KWA KUPANDA MITI BUNDIKANI

Saturday, May 09, 2026  ELIMU  No comments

 


Na Victor Masangu, Kibaha

 
Jumuiya ya wazazi ya chama cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kibaha mjini katika kusherekea miaka 48 ya maadhimisho ya wiki yao ya wazazi ngazi ya Wilaya  imeamua kufanya shughulio mbali mbali za kijamii  katika shule ya sekondari Bundikani ikiwemo kufanya zoezi laa upandaji wa miti ikiwa pamoja na kutoa zawadi na tuzo  mbali mbali kwa walimu pamoja na wanafunzi wanaofanya vizuri katika masomo yao.

Katika  sherehe za maadhinmisho hayo ambazo zilikwenda sambamba na matukio mbali mbali ya ugawaji wa zawadi kwa wanafunzi  wenye mahitaji maalumu zilihudhuliwa na viongozi mbali mbali wa Chama pamoja na jumuiya zake ikiwemo viongozi wa serikali wakimwemo wanafunzi, walimu pamoja na wazazi na walezi.

Katibu wa Jumuiya hiyo ya wazazi  Latifa Semweza amesema kwamba  wameamua kutumia wiki hiyo kwa kwenda kutembelea shule ya sekondari Bundikani kwa lengo la kuweza kuwapa motisha zaidi walimu pamoja na wanafunzi kwani wamekuwa wakifanya vizuri sana katika sekta ya elimu katika Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha.


"Tupo katika sherehe za maadhimisho ya kuzaliwa kwa jumuiya yetu ya wazazi na tumetimiza miaka 48 tangu ilipozaliwa na leo hii tymeongozana na viongozi wenzangu mbali mbali n atumekuja katika shule ya Sekondari Bundikani na tumeweza kuendesha zoezi laa kupanda miti mbali mbali ikiwemo ya maatunda pamojaa na miti ya kivuli ikiwa sambamba na kutoa  motisha ya zawadi kwa walimu na wanafunzi waliofanya vizuri katika masoma," amebainisha Katibu Latifa.

Kadhalika Katibu huyo amebainisha kuwa katika wiki yao ya wazazi kata zote 14 zilizopo katika Wilaya ya Kibaha mjini tayari zimeshafanya maadhimisho yao na kwamba katika ngazi ya Wilaya wao wameamua kufanya sherehe hizo katika shule ya sekondari Bundikani na lengo kubwa ni kuweza kuboresha sektya ya  elimu pamoja na suala zima la upandaji wa miti ambayo itasaidia kuboresha utunzaji wa  mazingira.

Katika hatua nhyingine Katibu huyo amesema kwamba katika jumuiya  yao wamepewa malengo mbali mbali kwa ajili ya kuyatekeleza ikiwemo suala la kusimamia elimu kuanzia ngazi ya msingi, sekondari,pamoja na vyuo,ikiwa pamoja na kusimamia sekta ya afya, elimu pamoja na malezi.
 
 Naye Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi Wilaya ya Kibaha mjini Yahaya Mtonda amesema kwamba  waatendelea kushirikiana bega kwa bega na walimu na wanafunzi wa shule mbali mbali za msingi na sekondari lengo kubwa ikiwa ni kuweza kuleta mabadiliko chanya ya kimaeneleo katika kuongeza kasi ya ufaulu kwa wanafunzi.
 
Kwa upande wake Mwenyekiti   wa chama cha mapinduzi (CCM) Mwalimu Mwajuma Nyamka aliwahimiza wanafunzi wa shule hiyo ya bundikani kuweka misingi imara katika kuingeza juhudi ya kufanya vizuri katika masomo yao ikiwemo kusoma kwa bidii kwa lengo la kufanya vizurii katika mitihani yao.

Nao baadhi ya wanafunzi wanaosoma kaatika shule hiyo ya sekondari Bundikani pamoja naa walimu wao hawakusita kutoa shukrani  zao za kipekee kwa Jumuiya hiyo ya wazazi kwa kuona umuhimu mkubwa wa kwenda kutimia wiki ya sherehe za maadhimisho yao kwa kuwatembelea na kuwapa motisha ya zawadi mbali mbali hali amabyo wamesema imewapa molali zaidi katika kufanya vizuri katika elimu.

Jumuiya ya wazazi inasherekea maadhimisho ya miaka 48 tangu ilipozaliwa  rasmi na kauli mbiu ya mwaka huu  wa 2026 ikiwa inasema kwamba malezi bora na uzalendo ni msingi wa Taifa.
Albert G.Sengo
Tweet

Friday, May 8, 2026

WAZIRI MCHENGERWA ALIVYOIKOMALIA VITA YA SERIKALI DHIDI YA VIFO VYA MAMA NA MTOTO NCHINI TANZANIA

Friday, May 08, 2026  AFYA  No comments

 NA ALBERT G.SENGO/MWANZA

Afya ya mama na mtoto ndiyo msingi wa taifa lenye nguvu. Kila maisha yanayopotea wakati wa ujauzito, kujifungua au baada ya kujifungua ni kengele inayotukumbusha wajibu wetu kama jamii na wataalam wa afya. Ndiyo maana vikao vya mara kwa mara kwa wahudumu na wataalam wa afya vinaendelea kuwa silaha muhimu katika kupunguza vifo vya mama na mtoto nchini Tanzania. Leo tunaangazia sababu 10 zinazoonesha kwa nini mikutano hii ya kitaalam ni muhimu katika kuokoa maisha, kuboresha huduma na kujenga kizazi salama kwa taifa letu. Moja kati ya sababu hizo ni pamoja na kuhuisha maarifa na miongozo ya tiba Sekta ya afya hubadilika mara kwa mara kutokana na tafiti na maboresho ya kitabibu. Vikao huwasaidia wahudumu wa afya kuendelea kutumia mbinu sahihi za kuhudumia wajawazito, wajifungua na watoto wachanga. 2. Kupunguza makosa ya kitabibu Kukumbushana wajibu, taratibu na tahadhari muhimu husaidia kupunguza uzembe, kuchelewa kutoa huduma au maamuzi yasiyo sahihi ambayo yanaweza kusababisha vifo. 3. Kuimarisha huduma za dharura za uzazi Kupitia vikao, wahudumu hukumbushwa namna ya kushughulikia haraka changamoto kama kutokwa damu nyingi, kifafa cha mimba, uchungu wa muda mrefu na matatizo ya mtoto mchanga. 4. Kujenga ushirikiano wa timu Huduma za mama na mtoto zinahitaji ushirikiano wa madaktari, wauguzi, wakunga, maabara na famasia. Vikao huongeza mawasiliano mazuri na mshikamano kazini. 5. Kuchambua sababu za vifo vilivyotokea Kupitia tathmini za vifo vya mama na mtoto, wataalam hujifunza makosa yaliyotokea ili yasijirudie tena katika vituo vingine vya afya. 6. Kuongeza uwajibikaji kazini Vikao huwafanya wahudumu wa afya kukumbuka kuwa maisha ya wananchi yako mikononi mwao hivyo kuwajibika zaidi katika utoaji wa huduma. 7. Kuboresha huduma kwa wananchi Elimu na ukumbusho wa mara kwa mara huwasaidia wahudumu kutoa huduma zenye utu, upendo na kuwahudumia wajawazito kwa haraka na usalama zaidi. 8. Kusaidia kufikia malengo ya taifa na dunia Tanzania inaendelea kupambana kupunguza vifo vya mama na mtoto kwa mujibu wa malengo ya maendeleo endelevu (SDGs). Vikao ni sehemu muhimu ya kufanikisha azma hiyo. 9. Kuibua changamoto za vifaa na mazingira ya kazi Kupitia mikutano, wahudumu hupata nafasi ya kueleza changamoto kama uhaba wa dawa, damu salama, vitanda au watumishi ili hatua zichukuliwe mapema. 10. Kujenga moyo wa kujituma na kupeana hamasa Wataalam wanapokutana mara kwa mara hupata hamasa mpya, kubadilishana uzoefu na kuendelea kufanya kazi kwa ari ya kuokoa maisha ya mama na mtoto.
Albert G.Sengo
Tweet

WAZIRI MKUU ATAKA WATENDAJI SERIKALINI WATUMIE USHAWISHI BADALA YA UDHIBITI KWA WAWEKEZAJI

Friday, May 08, 2026  UTALII  No comments


_Azindua Hoteli ya Mikumi Wildlife

_Asema Serikali imetoa sh. bilioni 35 kuboresha uwanja wa Kikoboga, Mikumi

Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba amewataka watendaji katika taasisi na mamlaka za Serikali wawe tayari kuwawezesha wawekezaji badala ya kuwadhibiti ili wavutiwe kuwekeza zaidi na zaidi.


“Nitoe wito kwa taasisi na mamlaka za Serikali, tumieni muda mwingi kuwawezesha wawekezaji badala ya kuwadhibiti. Washawishini waongeze uwekezaji badala ya kuwafanya waonekane wanaomba. Tumieni vivutio zaidi ili washawishike zaidi na zaidi,” amesema.


Ametoa wito huo leo (Ijumaa, Mei 8, 2026) wakati akizungumza na wadau waliohudhuria uzinduzi wa hoteli ya Mikumi Wildlife katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, wilayani Kilosa, mkoani Morogoro.

Amesema hoteli hiyo ambayo zamani ilikuwa inamilikiwa na serikali lakini ikapata janga la kuungua moto, ina historia ya miaka mingi; na ana imani na uwekezaji uliofanyika kwani umesaidia kuongeza ajira na kipato kwa wananchi.


“Sina shaka uwekezaji huu utaongeza mvuto kutokana na viwango vilivyopo kwenye hoteli hii. Viwango vya hoteli hii ni vya juu sana, ninaamini vitasaidia kuongeza muda wa watalii kukaa ndani ya hifadhi na uwepo wa malazi mazuri pia utaongeza idadi ya watalii,” amesema.


Akielezea juhudi za serikali kuboresha hifadhi ya Mikumi, Waziri Mkuu amesema Serikali imetoa sh. bilioni 35 za kuboresha uwanja wa ndege wa Kikoboga na ifikapo Oktoba mwaka huu, utakuwa umekamilika.


Amezitaka Wizara ya Maliasili na Utalii, TANAPA washirikiane na mamlaka nyingine za Serikali na kutumia fursa ya stesheni ya Kilosa ili kufungua njia na kuboresha miundombinu itakayorahisisha watalii kuingia katika Hifadhi ya Mikumi na hivyo kuongeza idadi ya watalii.


Ameitaka Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kubuni mikakati ya kwa kuhamasisha sekta binafsi iwekeza katika maeneo ya utalii huku akizitaka taasisi zote za umma ikiwa ni pamoja na mikoa yenye maeneo yaliyo na fursa za utalii ziendelee kuboresha mazingira ya uwekezaji ili kuvutia wawekezaji wengi zaidi. “Suala hili litekelezwe sambamba na kutangaza vivutio vilivyopo.”


Waziri Mkuu amewataka wadau wa utalii waweke mipango ya kuendeleza mazao mapya ya utalii yatakayochochea ongezeko la watalii na kuwahamasisha kuchagua kutembelea vivutio vilivyopo katika Kanda ya Utalii Kusini.


Ametumia fursa hiyo kumwelekeza Waziri wa Maliasili na Utalii aangalie namna ya kuongeza programu za utalii kwenye Chuo cha Ufundi (VETA) kilichopo Mikumi. “Waziri wa Utalii tuongeze programu nyingi za utalii ili vijana wa hapa wanufaike na rasilimali zilizopo katika eneo lao. Kwa maono ya Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, alitaka hivi vyuo vinapojengwa viweke programu kulingana na shughuli za kiuchumi za eneo husika kama vile utalii, uvuvi ili viwasaidie vijana wa maeneo husika.”


Mapema, akimkaribisha Waziri Mkuu kuzungumza na washiriki wa hafla hiyo, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji alisema miaka ya nyuma hifadhi ya Mikumi ilikuwa ikipokea watalii 60,000 kwa mwaka lakini mwaka jana idadi ya watalii iliongezeka sana kufikia 174,808.


“Mapato yanayotokana na utalii yalikuwa sh. milioni 2.5 lakini nayo kwa mwaka jana yaliongezeka na kufikia sh.milioni 9.81. Hadi kufikia tarehe 31 Machi, 2026 idadi ya watalii waliofika kwenye hifadhi ya Taifa ya Mikumi walikuwa 151,275 na mapato yaliyokusanywa yalikuwa yamefikia sh. milioni 10.12,” alisema.


Alisema tayari sh. bilioni nne za kujenga geti upande wa Kilosa zimeshatolewa na ziko hifadhini tayari kuanza kazi hiyo ambapo mtu akishuka Kilosa kwa treni ya SGR atatumia dk.20 tu kuingia hifadhini.


Naye Bw. Simon Nguka, akisoma taarifa kuhusu mradi huo, alisema ujenzi na ukarabati wa hoteli hiyo yenye vyumba 48 na ambayo inamilikiwa na Watanzania kwa asilimia 100, umetumia sh. bilioni 26.8.


Alisema mradi huo ni miongoni mwa miradi 24 waliyonayo. Wellworth Group inamiliki mahoteli, loji, resorts na kambi za kitalii zenye uwekezaji wa thamani ya sh. bilioni 640.




Albert G.Sengo
Tweet

Thursday, May 7, 2026

JE KWANINI KOCHA PEDRO AMEFUTWA KAZI?/MSIKIE ALLY KAMWE HAPA.

Thursday, May 07, 2026  MICHEZO  No comments

 

 


Albert G.Sengo
Tweet
Newer Posts Older Posts
Subscribe to: Posts (Atom)

SIKILIZA JEMBE FM LIVE

CRDB

CRDB

MATANGAZO

AZAM TV LIVE

AZAM TV LIVE

TANZANIA MISS WORLD

TANZANIA MISS WORLD

SIKILIZA LIVE JEMBE FM

http://tun.in/sfi0U

Become a Fan

Followers

HABARI MPYA

HABARI MPYA

KARIBU MWANZA

KARIBU MWANZA

Popular Posts

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013-2014 HAYA HAPA.
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2014-2015
  • MAPINDUZI MAKUBWA UCHAGUZI WA MZFA YAFANYIKA MWENYEKITI APETA, KADUTU AUKWAA UWAKILISHI VILABU KWA ASILIMIA 100
  • MAUAJI YA KUTISHA MKOANI MWANZA, BABA, MAMA NA MTOTO WAUAWAWA KINYAMA BILA HURUMA.
  • ILIVYOKUWA HARUSI YA H.BABA NA FLORA MVUNGI
  • WATU ZAIDI YA 35 WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA BASI ILIYOTOKEA LEO MKOANI MARA
  • DRINKINGS SUPPLY FOR CEREMONIES AND SPECIAL FUNCTION
  • NGOMA MPYA YA VANESSA MDEE ft BARNABA - SIRI
  • NGOMA MPYA YA NEY LEE ft NEY WA MITEGO - USINIKATAE.
  • MBUNGE WA ILEMELA ABAINISHA UBABAISHAJI MKUBWA ULIOFANYWA UJENZI WA BARABARA MPYA YA BUZURUGA, PASIANSI, SANGA, KILOLELI.

Latest Tweets

 

HASHEEM THABEET

HASHEEM THABEET

BABA WA TAIFA JK.

BABA WA TAIFA JK.

VIEWERS

MITANDAO MINGINE

  • MTAA KWA MTAA BLOG
    TAEC Yajadili Mustakabali wa Nishati ya Nyuklia Rwanda - *Na Mwandishi Wetu-Kigali, Rwanda* *TUME ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) imeshiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali kuhusu Uvumbuzi wa Nishati ya N...
    43 minutes ago
  • LIBENEKE LA KASKAZINI
    TANESCO YAENDELEA KUIMARISHA MATUMIZI YA TEHAMA KUBORESHA HUDUMA - Na Woinde Shizza, Arusha Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeendelea kuonesha dhamira yake ya kuendana na kasi ya maendeleo ya teknolojia duniani ...
    2 hours ago
  • MICHUZI BLOG
    AIRTEL YAFUNGUA DUKA LA KIDIJITALI KUIMARISHA HUDUMA ZA MAWASILIANO NA FEDHA MTANDAONI - KAMPUNI ya Airtel Tanzania imezindua Duka la Kidijitali (Smart Shop) katika Mkoa wa Mwanza, hatua inayolenga kusogeza karibu zaidi huduma za mawasilian...
    14 hours ago
  • JIACHIE
    RAIS DKT SAMIA ATUMA UJUMBE MAALUM KWA RAIS WA CHINA - Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Waziri wa Idara ya Kimataifa ya Chama cha Kikomunisti cha China Mhe....
    1 day ago
  • BBCSwahili.com | Habari
    Dira Ya Dunia - Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
    1 day ago
  • HABARI NA MATUKIO
    CRDB Yaongeza Ushirikiano na Majeshi Kupitia Mkutano wa Kimataifa - MONACO - Benki ya CRDB imeendelea kudhihirisha dhamira yake ya kuunga mkono maendeleo ya Taifa kupitia sekta mbalimbali kwa kushiriki katika Mkutano Mkuu...
    1 day ago
  • BUKOBAWADAU
    WAZIRI WA ARDHI AWAASA WAHITIMU ARIMO KUJIEPUSHA NA MATENDO MAOVU - Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa chuo cha Ardhi Mor...
    5 months ago
  • MATUKIO UK
    KATUNI YA LEO -
    7 years ago
  • ChingaOne
    Pata taarifa ya sakata la Madawa ya kulevya linavyoendelea - MAKONDA AKAMIWA: MBUNGE CCM ATAKA ACHUNGUZWE MALI ZAKE, WEMA AKWAMA VITA iliyoanzishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ya kupambana na bias...
    9 years ago
  • MSUMBANEWS.COM
    -
  • BUKOBA SPORTS
    -

CATEGORIES

  • +HABARI (2)
  • 88.1FM Mwanza. (23)
  • 93.7 JEMBE FM (9)
  • AFY (1)
  • AFYA (541)
  • AFYA. (5)
  • aHABARI (1)
  • AIR TANZANIA (1)
  • AJALI (50)
  • ARDHI (1)
  • ARUSHA (13)
  • BANGO (423)
  • BANGO. (1)
  • BANGU (1)
  • BIASHARA (442)
  • BIASHARA. (2)
  • BUNGENI (2)
  • bur (1)
  • buriani (22)
  • buriani michael (5)
  • BURUDA (1)
  • BURUDANI (1162)
  • BURUDANI. (301)
  • BURUDANI. JEMBE GOSPEL (1)
  • BURUDDANI (2)
  • BWISYA (1)
  • CCM (46)
  • CHAKULA (17)
  • CHANGA LA MACHO (37)
  • CHEREKO (118)
  • chunguza mjomba utabaini (2)
  • chunguza mjomba utabaini 007 (21)
  • chunguza mjomba utabaini. (385)
  • CLOUDS FM (4)
  • DAR ES SALAAM (14)
  • DINI (1)
  • EDUCATION / ELIMU (8)
  • ELIM (1)
  • ELIMU (479)
  • ELIMU. (8)
  • ENZI ZA KALE (5)
  • FIESTA (70)
  • FYA (1)
  • GABARI (1)
  • GABARI. (1)
  • GOSPEL (4)
  • GOSPEL TANZANIA (5)
  • Gospel traxx na G.Sengo (57)
  • HABA (1)
  • HABAFRI (2)
  • habar (3)
  • HABARI (6022)
  • HABARI MWANZA (2)
  • HABARI. (257)
  • HABAROI (1)
  • HABATRI (1)
  • hali ya hewa (18)
  • HBARI (1)
  • HISTORIA (6)
  • HUZU (1)
  • huzuni (222)
  • IBADA (22)
  • IKULU (1)
  • INJILI (4)
  • JEMBE (4)
  • Jembe Gospel (34)
  • Jembe Gospel. (14)
  • JEMBEKA (8)
  • JINSIA (1)
  • KAZI DARASA (1)
  • KENYA (1)
  • KIFUATACHO (9)
  • KILIMO (100)
  • KILIMO. (6)
  • KISIWA CHA SAA NANE (1)
  • KUMBUKUMBU (26)
  • kutoka kushoto (1)
  • limu (1)
  • M (2)
  • MABARI (2)
  • MADINI (1)
  • MAGAZETI (2)
  • MAGUFULI (1)
  • MAHAKAMANI (29)
  • MAHUSIANO (22)
  • MAJI (1)
  • Mapishi (1)
  • MARA (1)
  • mawasi (1)
  • MAWASILANO (1)
  • MAWASILIA (1)
  • MAWASILIANO (247)
  • MAWASILIANO. (4)
  • MAZINGIRA (24)
  • MCHEZO (4)
  • MGOMO (2)
  • MI (1)
  • MICH (1)
  • miche (1)
  • MICHEO (3)
  • MICHEZO (1996)
  • MICHEZO. (32)
  • MICHOEZO (1)
  • MIFUGO (1)
  • MILA NA DESTURI (1)
  • miti (1)
  • MITINDO (94)
  • MKICHEZO (1)
  • MSAADA (18)
  • MSIBA (5)
  • MUSOMA (8)
  • MUSUKUMA (1)
  • MUZIKI (4)
  • MUZIKI WA DANSI (1)
  • MWANZA (158)
  • NANE NANE (1)
  • ndani ya 88.1FM Mwanza. (7)
  • NDOA (1)
  • NYERERE DAY (2)
  • POLISI (1)
  • REKODI (1)
  • SAFARI (16)
  • SANAA (22)
  • SENSA (2)
  • SENSA 2022 (10)
  • SHERIA (2)
  • SHINYANGA (8)
  • SIASA (295)
  • SIsa (1)
  • SOMA (11)
  • TAMISEMI (1)
  • TANGAZO (1)
  • TANZANIA (2)
  • TEKNOLOJIA (8)
  • TIGO F (1)
  • TUTAFIKA (76)
  • tz oyeee (72)
  • U (1)
  • UCHAGUZI (26)
  • UCHAGUZI 2015 (218)
  • UCHAGUZI 2024 (11)
  • UCHAGUZI CCM (12)
  • UCHAGUZI KENYA 2022 (24)
  • UCHAGUZI MKUU 2025 (44)
  • UCHAGUZI MKUU UGANDA 2026 (1)
  • UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA (7)
  • UCHU (1)
  • UCHUMI (624)
  • UCHUMI. (11)
  • UJASILIAMALI (6)
  • UJENZI (5)
  • UKARA (1)
  • UKEREWE (1)
  • USAFIRI NA USAFIRISHAJI (1)
  • utabaini 007 (1)
  • UTALII (172)
  • UTALII. (5)
  • UTAMADUNI (1)
  • UVUVI (1)
  • UWEKEZAJI (8)
  • UZIMA (2)
  • WAISLAMU (1)
  • WIZARA YA UVUVI NA MIFUGO (1)
  • ZAMA (1)
  • ZAMA ZA SIKUKUU (222)
  • ZIMAMOTO (1)

Blog Archive

  • 05/17 - 05/24 (4)
  • 05/10 - 05/17 (7)
  • 05/03 - 05/10 (12)
  • 04/26 - 05/03 (10)
  • 04/19 - 04/26 (5)
  • 04/12 - 04/19 (8)
  • 04/05 - 04/12 (13)
  • 03/29 - 04/05 (8)
  • 03/22 - 03/29 (11)
  • 03/15 - 03/22 (9)
  • 03/08 - 03/15 (14)
  • 03/01 - 03/08 (11)
  • 02/22 - 03/01 (14)
  • 02/15 - 02/22 (15)
  • 02/08 - 02/15 (15)
  • 02/01 - 02/08 (1)
  • 01/25 - 02/01 (5)
  • 01/18 - 01/25 (7)
  • 01/11 - 01/18 (15)
  • 01/04 - 01/11 (3)
  • 12/28 - 01/04 (3)
  • 12/21 - 12/28 (4)
  • 12/14 - 12/21 (7)
  • 12/07 - 12/14 (12)
  • 11/30 - 12/07 (6)
  • 11/23 - 11/30 (5)
  • 11/16 - 11/23 (5)
  • 10/26 - 11/02 (1)
  • 10/19 - 10/26 (6)
  • 10/12 - 10/19 (16)
  • 10/05 - 10/12 (4)
  • 09/28 - 10/05 (4)
  • 09/21 - 09/28 (4)
  • 09/14 - 09/21 (21)
  • 09/07 - 09/14 (8)
  • 08/31 - 09/07 (6)
  • 08/24 - 08/31 (15)
  • 08/17 - 08/24 (6)
  • 08/10 - 08/17 (12)
  • 08/03 - 08/10 (11)
  • 07/27 - 08/03 (11)
  • 07/20 - 07/27 (15)
  • 07/13 - 07/20 (5)
  • 07/06 - 07/13 (1)
  • 06/29 - 07/06 (19)
  • 06/22 - 06/29 (19)
  • 06/15 - 06/22 (8)
  • 06/08 - 06/15 (11)
  • 06/01 - 06/08 (7)
  • 05/25 - 06/01 (7)
  • 05/18 - 05/25 (5)
  • 05/11 - 05/18 (18)
  • 05/04 - 05/11 (6)
  • 04/27 - 05/04 (14)
  • 04/20 - 04/27 (7)
  • 04/13 - 04/20 (13)
  • 04/06 - 04/13 (11)
  • 03/30 - 04/06 (6)
  • 03/23 - 03/30 (15)
  • 03/16 - 03/23 (12)
  • 03/09 - 03/16 (10)
  • 03/02 - 03/09 (14)
  • 02/23 - 03/02 (21)
  • 02/16 - 02/23 (10)
  • 02/09 - 02/16 (14)
  • 02/02 - 02/09 (6)
  • 01/26 - 02/02 (17)
  • 01/19 - 01/26 (10)
  • 01/12 - 01/19 (11)
  • 01/05 - 01/12 (9)
  • 12/29 - 01/05 (1)
  • 12/22 - 12/29 (3)
  • 12/15 - 12/22 (13)
  • 12/08 - 12/15 (8)
  • 12/01 - 12/08 (19)
  • 11/24 - 12/01 (16)
  • 11/17 - 11/24 (21)
  • 11/10 - 11/17 (12)
  • 11/03 - 11/10 (12)
  • 10/27 - 11/03 (11)
  • 10/20 - 10/27 (10)
  • 10/13 - 10/20 (17)
  • 10/06 - 10/13 (8)
  • 09/29 - 10/06 (10)
  • 09/22 - 09/29 (8)
  • 09/15 - 09/22 (11)
  • 09/08 - 09/15 (10)
  • 09/01 - 09/08 (9)
  • 08/25 - 09/01 (22)
  • 08/18 - 08/25 (10)
  • 08/11 - 08/18 (9)
  • 08/04 - 08/11 (8)
  • 07/28 - 08/04 (6)
  • 07/21 - 07/28 (7)
  • 07/14 - 07/21 (11)
  • 07/07 - 07/14 (8)
  • 06/30 - 07/07 (2)
  • 06/23 - 06/30 (13)
  • 06/16 - 06/23 (11)
  • 06/09 - 06/16 (10)
  • 06/02 - 06/09 (8)
  • 05/26 - 06/02 (14)
  • 05/19 - 05/26 (9)
  • 05/12 - 05/19 (12)
  • 05/05 - 05/12 (7)
  • 04/28 - 05/05 (16)
  • 04/21 - 04/28 (2)
  • 04/14 - 04/21 (6)
  • 04/07 - 04/14 (8)
  • 03/31 - 04/07 (8)
  • 03/24 - 03/31 (12)
  • 03/17 - 03/24 (9)
  • 03/10 - 03/17 (16)
  • 03/03 - 03/10 (9)
  • 02/25 - 03/03 (5)
  • 02/18 - 02/25 (12)
  • 02/11 - 02/18 (6)
  • 02/04 - 02/11 (4)
  • 01/28 - 02/04 (9)
  • 01/21 - 01/28 (12)
  • 01/14 - 01/21 (7)
  • 01/07 - 01/14 (7)
  • 12/31 - 01/07 (8)
  • 12/24 - 12/31 (1)
  • 12/17 - 12/24 (6)
  • 12/10 - 12/17 (9)
  • 12/03 - 12/10 (7)
  • 11/26 - 12/03 (14)
  • 11/19 - 11/26 (8)
  • 11/12 - 11/19 (15)
  • 11/05 - 11/12 (7)
  • 10/29 - 11/05 (10)
  • 10/22 - 10/29 (12)
  • 10/15 - 10/22 (3)
  • 10/08 - 10/15 (12)
  • 10/01 - 10/08 (3)
  • 09/24 - 10/01 (7)
  • 09/17 - 09/24 (6)
  • 09/10 - 09/17 (6)
  • 09/03 - 09/10 (6)
  • 08/27 - 09/03 (12)
  • 08/20 - 08/27 (6)
  • 08/13 - 08/20 (5)
  • 08/06 - 08/13 (6)
  • 07/30 - 08/06 (3)
  • 07/23 - 07/30 (11)
  • 07/16 - 07/23 (16)
  • 07/09 - 07/16 (12)
  • 07/02 - 07/09 (8)
  • 06/25 - 07/02 (3)
  • 06/18 - 06/25 (11)
  • 06/11 - 06/18 (16)
  • 06/04 - 06/11 (9)
  • 05/28 - 06/04 (7)
  • 05/21 - 05/28 (13)
  • 05/14 - 05/21 (19)
  • 05/07 - 05/14 (18)
  • 04/30 - 05/07 (20)
  • 04/23 - 04/30 (19)
  • 04/16 - 04/23 (10)
  • 04/09 - 04/16 (24)
  • 04/02 - 04/09 (27)
  • 03/26 - 04/02 (22)
  • 03/19 - 03/26 (27)
  • 03/12 - 03/19 (17)
  • 03/05 - 03/12 (20)
  • 02/26 - 03/05 (20)
  • 02/19 - 02/26 (24)
  • 02/12 - 02/19 (29)
  • 02/05 - 02/12 (21)
  • 01/29 - 02/05 (9)
  • 01/22 - 01/29 (18)
  • 01/15 - 01/22 (26)
  • 01/08 - 01/15 (14)
  • 01/01 - 01/08 (20)
  • 12/25 - 01/01 (7)
  • 12/18 - 12/25 (13)
  • 12/11 - 12/18 (9)
  • 12/04 - 12/11 (10)
  • 11/27 - 12/04 (26)
  • 11/20 - 11/27 (25)
  • 11/13 - 11/20 (8)
  • 11/06 - 11/13 (30)
  • 10/30 - 11/06 (31)
  • 10/23 - 10/30 (21)
  • 10/16 - 10/23 (12)
  • 10/09 - 10/16 (16)
  • 10/02 - 10/09 (18)
  • 09/25 - 10/02 (17)
  • 09/18 - 09/25 (16)
  • 09/11 - 09/18 (16)
  • 09/04 - 09/11 (15)
  • 08/28 - 09/04 (11)
  • 08/21 - 08/28 (12)
  • 08/14 - 08/21 (21)
  • 08/07 - 08/14 (17)
  • 07/31 - 08/07 (9)
  • 07/24 - 07/31 (7)
  • 07/17 - 07/24 (7)
  • 07/10 - 07/17 (13)
  • 07/03 - 07/10 (20)
  • 06/26 - 07/03 (14)
  • 06/19 - 06/26 (12)
  • 06/12 - 06/19 (13)
  • 06/05 - 06/12 (14)
  • 05/29 - 06/05 (15)
  • 05/22 - 05/29 (8)
  • 05/15 - 05/22 (9)
  • 05/08 - 05/15 (4)
  • 05/01 - 05/08 (10)
  • 04/24 - 05/01 (9)
  • 04/17 - 04/24 (7)
  • 04/10 - 04/17 (23)
  • 04/03 - 04/10 (19)
  • 03/27 - 04/03 (8)
  • 03/20 - 03/27 (26)
  • 03/13 - 03/20 (15)
  • 03/06 - 03/13 (22)
  • 02/20 - 02/27 (1)
  • 02/13 - 02/20 (1)
  • 02/06 - 02/13 (1)
  • 01/30 - 02/06 (3)
  • 01/23 - 01/30 (9)
  • 01/16 - 01/23 (9)
  • 01/09 - 01/16 (2)
  • 01/02 - 01/09 (9)
  • 12/26 - 01/02 (2)
  • 12/19 - 12/26 (5)
  • 12/12 - 12/19 (16)
  • 12/05 - 12/12 (22)
  • 11/28 - 12/05 (20)
  • 11/21 - 11/28 (23)
  • 11/14 - 11/21 (14)
  • 11/07 - 11/14 (1)
  • 10/31 - 11/07 (3)
  • 08/22 - 08/29 (1)
  • 08/15 - 08/22 (13)
  • 08/08 - 08/15 (17)
  • 08/01 - 08/08 (11)
  • 07/25 - 08/01 (1)
  • 07/18 - 07/25 (1)
  • 07/11 - 07/18 (1)
  • 11/08 - 11/15 (1)
  • 04/26 - 05/03 (1)
  • 03/29 - 04/05 (5)
  • 03/22 - 03/29 (9)
  • 03/15 - 03/22 (16)
  • 03/08 - 03/15 (10)
  • 03/01 - 03/08 (13)
  • 02/23 - 03/01 (12)
  • 02/16 - 02/23 (10)
  • 02/09 - 02/16 (12)
  • 02/02 - 02/09 (15)
  • 01/26 - 02/02 (8)
  • 01/19 - 01/26 (6)
  • 01/12 - 01/19 (9)
  • 01/05 - 01/12 (18)
  • 12/29 - 01/05 (20)
  • 12/22 - 12/29 (8)
  • 12/15 - 12/22 (5)
  • 12/08 - 12/15 (18)
  • 12/01 - 12/08 (21)
  • 11/24 - 12/01 (15)
  • 11/17 - 11/24 (20)
  • 11/10 - 11/17 (21)
  • 11/03 - 11/10 (32)
  • 10/27 - 11/03 (16)
  • 10/20 - 10/27 (31)
  • 10/13 - 10/20 (28)
  • 10/06 - 10/13 (16)
  • 09/29 - 10/06 (9)
  • 09/22 - 09/29 (12)
  • 09/15 - 09/22 (17)
  • 09/08 - 09/15 (17)
  • 09/01 - 09/08 (14)
  • 08/25 - 09/01 (6)
  • 08/18 - 08/25 (13)
  • 08/11 - 08/18 (18)
  • 08/04 - 08/11 (12)
  • 07/28 - 08/04 (17)
  • 07/21 - 07/28 (27)
  • 07/14 - 07/21 (18)
  • 07/07 - 07/14 (24)
  • 06/30 - 07/07 (19)
  • 06/23 - 06/30 (20)
  • 06/16 - 06/23 (20)
  • 06/09 - 06/16 (23)
  • 06/02 - 06/09 (12)
  • 05/26 - 06/02 (21)
  • 05/19 - 05/26 (16)
  • 05/12 - 05/19 (20)
  • 05/05 - 05/12 (20)
  • 04/28 - 05/05 (15)
  • 04/21 - 04/28 (11)
  • 04/14 - 04/21 (17)
  • 04/07 - 04/14 (20)
  • 03/31 - 04/07 (23)
  • 03/24 - 03/31 (22)
  • 03/17 - 03/24 (20)
  • 03/10 - 03/17 (19)
  • 03/03 - 03/10 (7)
  • 02/24 - 03/03 (10)
  • 02/17 - 02/24 (1)
  • 02/10 - 02/17 (3)
  • 12/16 - 12/23 (1)
  • 12/09 - 12/16 (5)
  • 12/02 - 12/09 (36)
  • 11/25 - 12/02 (36)
  • 11/18 - 11/25 (37)
  • 11/11 - 11/18 (26)
  • 11/04 - 11/11 (26)
  • 10/28 - 11/04 (29)
  • 10/21 - 10/28 (26)
  • 10/14 - 10/21 (26)
  • 10/07 - 10/14 (40)
  • 09/30 - 10/07 (37)
  • 09/23 - 09/30 (19)
  • 09/16 - 09/23 (27)
  • 09/09 - 09/16 (33)
  • 09/02 - 09/09 (31)
  • 08/26 - 09/02 (42)
  • 08/19 - 08/26 (33)
  • 08/12 - 08/19 (34)
  • 08/05 - 08/12 (34)
  • 07/29 - 08/05 (35)
  • 07/22 - 07/29 (29)
  • 07/15 - 07/22 (35)
  • 07/08 - 07/15 (47)
  • 07/01 - 07/08 (42)
  • 06/24 - 07/01 (43)
  • 06/17 - 06/24 (39)
  • 06/10 - 06/17 (42)
  • 06/03 - 06/10 (39)
  • 05/27 - 06/03 (34)
  • 05/20 - 05/27 (34)
  • 05/13 - 05/20 (40)
  • 05/06 - 05/13 (24)
  • 04/29 - 05/06 (33)
  • 04/22 - 04/29 (34)
  • 04/15 - 04/22 (32)
  • 04/08 - 04/15 (24)
  • 04/01 - 04/08 (29)
  • 03/25 - 04/01 (21)
  • 03/18 - 03/25 (39)
  • 03/11 - 03/18 (40)
  • 03/04 - 03/11 (29)
  • 02/25 - 03/04 (40)
  • 02/18 - 02/25 (35)
  • 02/11 - 02/18 (34)
  • 02/04 - 02/11 (33)
  • 01/28 - 02/04 (45)
  • 01/21 - 01/28 (39)
  • 01/14 - 01/21 (25)
  • 01/07 - 01/14 (26)
  • 12/31 - 01/07 (34)
  • 12/24 - 12/31 (16)
  • 12/17 - 12/24 (28)
  • 12/10 - 12/17 (32)
  • 12/03 - 12/10 (37)
  • 11/26 - 12/03 (31)
  • 11/19 - 11/26 (28)
  • 11/12 - 11/19 (32)
  • 11/05 - 11/12 (30)
  • 10/29 - 11/05 (36)
  • 10/22 - 10/29 (24)
  • 10/15 - 10/22 (47)
  • 10/08 - 10/15 (42)
  • 10/01 - 10/08 (32)
  • 09/24 - 10/01 (36)
  • 09/17 - 09/24 (32)
  • 09/10 - 09/17 (40)
  • 09/03 - 09/10 (26)
  • 08/27 - 09/03 (39)
  • 08/20 - 08/27 (35)
  • 08/13 - 08/20 (39)
  • 08/06 - 08/13 (24)
  • 07/30 - 08/06 (24)
  • 07/23 - 07/30 (45)
  • 07/16 - 07/23 (60)
  • 07/09 - 07/16 (50)
  • 07/02 - 07/09 (32)
  • 06/25 - 07/02 (39)
  • 06/18 - 06/25 (49)
  • 06/11 - 06/18 (47)
  • 06/04 - 06/11 (48)
  • 05/28 - 06/04 (34)
  • 05/21 - 05/28 (37)
  • 05/14 - 05/21 (36)
  • 05/07 - 05/14 (30)
  • 04/30 - 05/07 (43)
  • 04/23 - 04/30 (39)
  • 04/16 - 04/23 (30)
  • 04/09 - 04/16 (38)
  • 04/02 - 04/09 (41)
  • 03/26 - 04/02 (42)
  • 03/19 - 03/26 (37)
  • 03/12 - 03/19 (40)
  • 03/05 - 03/12 (48)
  • 02/26 - 03/05 (50)
  • 02/19 - 02/26 (43)
  • 02/12 - 02/19 (33)
  • 02/05 - 02/12 (30)
  • 01/29 - 02/05 (38)
  • 01/22 - 01/29 (41)
  • 01/15 - 01/22 (46)
  • 01/08 - 01/15 (47)
  • 01/01 - 01/08 (37)
  • 12/25 - 01/01 (40)
  • 12/18 - 12/25 (42)
  • 12/11 - 12/18 (38)
  • 12/04 - 12/11 (39)
  • 11/27 - 12/04 (36)
  • 11/20 - 11/27 (44)
  • 11/13 - 11/20 (42)
  • 11/06 - 11/13 (46)
  • 10/30 - 11/06 (34)
  • 10/23 - 10/30 (40)
  • 10/16 - 10/23 (51)
  • 10/09 - 10/16 (39)
  • 10/02 - 10/09 (55)
  • 09/25 - 10/02 (52)
  • 09/18 - 09/25 (36)
  • 09/11 - 09/18 (42)
  • 09/04 - 09/11 (54)
  • 08/28 - 09/04 (35)
  • 08/21 - 08/28 (34)
  • 08/14 - 08/21 (33)
  • 08/07 - 08/14 (32)
  • 07/31 - 08/07 (47)
  • 07/24 - 07/31 (46)
  • 07/17 - 07/24 (41)
  • 07/10 - 07/17 (37)
  • 07/03 - 07/10 (46)
  • 06/26 - 07/03 (37)
  • 06/19 - 06/26 (35)
  • 06/12 - 06/19 (27)
  • 06/05 - 06/12 (24)
  • 05/29 - 06/05 (30)
  • 05/22 - 05/29 (21)
  • 05/15 - 05/22 (39)
  • 05/08 - 05/15 (45)
  • 05/01 - 05/08 (33)
  • 04/24 - 05/01 (44)
  • 04/17 - 04/24 (51)
  • 04/10 - 04/17 (46)
  • 04/03 - 04/10 (32)
  • 03/27 - 04/03 (39)
  • 03/20 - 03/27 (51)
  • 03/13 - 03/20 (48)
  • 03/06 - 03/13 (39)
  • 02/28 - 03/06 (50)
  • 02/21 - 02/28 (29)
  • 02/14 - 02/21 (46)
  • 02/07 - 02/14 (47)
  • 01/31 - 02/07 (41)
  • 01/24 - 01/31 (43)
  • 01/17 - 01/24 (38)
  • 01/10 - 01/17 (40)
  • 01/03 - 01/10 (35)
  • 12/27 - 01/03 (38)
  • 12/20 - 12/27 (41)
  • 12/13 - 12/20 (30)
  • 12/06 - 12/13 (39)
  • 11/29 - 12/06 (28)
  • 11/22 - 11/29 (35)
  • 11/15 - 11/22 (33)
  • 11/08 - 11/15 (39)
  • 11/01 - 11/08 (34)
  • 10/25 - 11/01 (40)
  • 10/18 - 10/25 (32)
  • 10/11 - 10/18 (45)
  • 10/04 - 10/11 (48)
  • 09/27 - 10/04 (45)
  • 09/20 - 09/27 (49)
  • 09/13 - 09/20 (39)
  • 09/06 - 09/13 (37)
  • 08/30 - 09/06 (24)
  • 08/23 - 08/30 (43)
  • 08/16 - 08/23 (47)
  • 08/09 - 08/16 (28)
  • 08/02 - 08/09 (37)
  • 07/26 - 08/02 (45)
  • 07/19 - 07/26 (18)
  • 07/12 - 07/19 (48)
  • 07/05 - 07/12 (39)
  • 06/28 - 07/05 (19)
  • 06/21 - 06/28 (34)
  • 06/14 - 06/21 (37)
  • 06/07 - 06/14 (37)
  • 05/31 - 06/07 (38)
  • 05/24 - 05/31 (30)
  • 05/17 - 05/24 (26)
  • 05/10 - 05/17 (23)
  • 05/03 - 05/10 (27)
  • 04/26 - 05/03 (29)
  • 04/19 - 04/26 (21)
  • 04/12 - 04/19 (23)
  • 04/05 - 04/12 (25)
  • 03/29 - 04/05 (23)
  • 03/22 - 03/29 (39)
  • 03/15 - 03/22 (22)
  • 03/08 - 03/15 (34)
  • 03/01 - 03/08 (28)
  • 02/22 - 03/01 (26)
  • 02/15 - 02/22 (24)
  • 02/08 - 02/15 (26)
  • 02/01 - 02/08 (20)
  • 01/25 - 02/01 (23)
  • 01/18 - 01/25 (25)
  • 01/11 - 01/18 (25)
  • 01/04 - 01/11 (21)
  • 12/28 - 01/04 (24)
  • 12/21 - 12/28 (19)
  • 12/14 - 12/21 (31)
  • 12/07 - 12/14 (26)
  • 11/30 - 12/07 (21)
  • 11/23 - 11/30 (23)
  • 11/16 - 11/23 (20)
  • 11/09 - 11/16 (23)
  • 11/02 - 11/09 (27)
  • 10/26 - 11/02 (22)
  • 10/19 - 10/26 (24)
  • 10/12 - 10/19 (20)
  • 10/05 - 10/12 (32)
  • 09/28 - 10/05 (22)
  • 09/21 - 09/28 (26)
  • 09/14 - 09/21 (24)
  • 09/07 - 09/14 (31)
  • 08/31 - 09/07 (22)
  • 08/24 - 08/31 (21)
  • 08/17 - 08/24 (27)
  • 08/10 - 08/17 (22)
  • 08/03 - 08/10 (27)
  • 07/27 - 08/03 (21)
  • 07/20 - 07/27 (24)
  • 07/13 - 07/20 (25)
  • 07/06 - 07/13 (30)
  • 06/29 - 07/06 (27)
  • 06/22 - 06/29 (27)
  • 06/15 - 06/22 (22)
  • 06/08 - 06/15 (16)
  • 06/01 - 06/08 (28)
  • 05/25 - 06/01 (25)
  • 05/18 - 05/25 (26)
  • 05/11 - 05/18 (28)
  • 05/04 - 05/11 (24)
  • 04/27 - 05/04 (23)
  • 04/20 - 04/27 (18)
  • 04/13 - 04/20 (21)
  • 04/06 - 04/13 (22)
  • 03/30 - 04/06 (31)
  • 03/23 - 03/30 (25)
  • 03/16 - 03/23 (30)
  • 03/09 - 03/16 (19)
  • 03/02 - 03/09 (24)
  • 02/23 - 03/02 (15)
  • 02/16 - 02/23 (20)
  • 02/09 - 02/16 (26)
  • 02/02 - 02/09 (23)
  • 01/26 - 02/02 (35)
  • 01/19 - 01/26 (20)
  • 01/12 - 01/19 (28)
  • 01/05 - 01/12 (25)
  • 12/29 - 01/05 (26)
  • 12/22 - 12/29 (23)
  • 12/15 - 12/22 (29)
  • 12/08 - 12/15 (21)
  • 12/01 - 12/08 (20)
  • 11/24 - 12/01 (25)
  • 11/17 - 11/24 (27)
  • 11/10 - 11/17 (21)
  • 11/03 - 11/10 (32)
  • 10/27 - 11/03 (30)
  • 10/20 - 10/27 (22)
  • 10/13 - 10/20 (24)
  • 10/06 - 10/13 (19)
  • 09/29 - 10/06 (21)
  • 09/22 - 09/29 (23)
  • 09/15 - 09/22 (20)
  • 09/08 - 09/15 (26)
  • 09/01 - 09/08 (27)
  • 08/25 - 09/01 (24)
  • 08/18 - 08/25 (24)
  • 08/11 - 08/18 (19)
  • 08/04 - 08/11 (21)
  • 07/28 - 08/04 (23)
  • 07/21 - 07/28 (23)
  • 07/14 - 07/21 (22)
  • 07/07 - 07/14 (24)
  • 06/30 - 07/07 (28)
  • 06/23 - 06/30 (29)
  • 06/16 - 06/23 (28)
  • 06/09 - 06/16 (30)
  • 06/02 - 06/09 (27)
  • 05/26 - 06/02 (26)
  • 05/19 - 05/26 (14)
  • 05/12 - 05/19 (25)
  • 05/05 - 05/12 (26)
  • 04/28 - 05/05 (27)
  • 04/21 - 04/28 (17)
  • 04/14 - 04/21 (16)
  • 04/07 - 04/14 (22)
  • 03/31 - 04/07 (12)
  • 03/24 - 03/31 (23)
  • 03/17 - 03/24 (24)
  • 03/10 - 03/17 (21)
  • 03/03 - 03/10 (19)
  • 02/24 - 03/03 (24)
  • 02/17 - 02/24 (22)
  • 02/10 - 02/17 (20)
  • 02/03 - 02/10 (21)
  • 01/27 - 02/03 (26)
  • 01/20 - 01/27 (24)
  • 01/13 - 01/20 (27)
  • 01/06 - 01/13 (24)
  • 12/30 - 01/06 (22)
  • 12/23 - 12/30 (31)
  • 12/16 - 12/23 (9)
  • 12/09 - 12/16 (29)
  • 12/02 - 12/09 (24)
  • 11/25 - 12/02 (28)
  • 11/18 - 11/25 (19)
  • 11/11 - 11/18 (26)
  • 11/04 - 11/11 (32)
  • 10/28 - 11/04 (22)
  • 10/21 - 10/28 (25)
  • 10/14 - 10/21 (22)
  • 10/07 - 10/14 (28)
  • 09/30 - 10/07 (31)
  • 09/23 - 09/30 (22)
  • 09/16 - 09/23 (20)
  • 09/09 - 09/16 (27)
  • 09/02 - 09/09 (18)
  • 08/26 - 09/02 (19)
  • 08/19 - 08/26 (31)
  • 08/12 - 08/19 (27)
  • 08/05 - 08/12 (28)
  • 07/29 - 08/05 (28)
  • 07/22 - 07/29 (29)
  • 07/15 - 07/22 (35)
  • 07/08 - 07/15 (30)
  • 07/01 - 07/08 (42)
  • 06/24 - 07/01 (29)
  • 06/17 - 06/24 (35)
  • 06/10 - 06/17 (30)
  • 06/03 - 06/10 (21)
  • 05/27 - 06/03 (25)
  • 05/20 - 05/27 (21)
  • 05/13 - 05/20 (19)
  • 05/06 - 05/13 (22)
  • 04/29 - 05/06 (23)
  • 04/22 - 04/29 (24)
  • 04/15 - 04/22 (26)
  • 04/08 - 04/15 (22)
  • 04/01 - 04/08 (20)
  • 03/25 - 04/01 (25)
  • 03/18 - 03/25 (16)
  • 03/11 - 03/18 (19)
  • 03/04 - 03/11 (17)
  • 02/26 - 03/04 (13)
  • 02/19 - 02/26 (18)
  • 02/12 - 02/19 (17)
  • 02/05 - 02/12 (11)
  • 01/29 - 02/05 (18)
  • 01/22 - 01/29 (11)
  • 01/15 - 01/22 (17)
  • 01/08 - 01/15 (20)
  • 01/01 - 01/08 (17)
  • 12/25 - 01/01 (14)
  • 12/18 - 12/25 (15)
  • 12/11 - 12/18 (12)
  • 12/04 - 12/11 (14)
  • 11/27 - 12/04 (21)
  • 11/20 - 11/27 (25)
  • 11/13 - 11/20 (21)
  • 11/06 - 11/13 (14)
  • 10/30 - 11/06 (17)
  • 10/23 - 10/30 (18)
  • 10/16 - 10/23 (17)
  • 10/09 - 10/16 (18)
  • 10/02 - 10/09 (8)
  • 09/25 - 10/02 (13)
  • 09/18 - 09/25 (10)
  • 09/11 - 09/18 (13)
  • 09/04 - 09/11 (14)
  • 08/28 - 09/04 (11)
  • 08/21 - 08/28 (17)
  • 08/14 - 08/21 (9)
  • 08/07 - 08/14 (19)
  • 07/31 - 08/07 (14)
  • 07/24 - 07/31 (17)
  • 07/17 - 07/24 (12)
  • 07/10 - 07/17 (23)
  • 07/03 - 07/10 (14)
  • 06/26 - 07/03 (16)
  • 06/19 - 06/26 (15)
  • 06/12 - 06/19 (19)
  • 06/05 - 06/12 (16)
  • 05/29 - 06/05 (20)
  • 05/22 - 05/29 (20)
  • 05/15 - 05/22 (20)
  • 05/08 - 05/15 (17)
  • 05/01 - 05/08 (25)
  • 04/24 - 05/01 (15)
  • 04/17 - 04/24 (13)
  • 04/10 - 04/17 (17)
  • 04/03 - 04/10 (15)
  • 03/27 - 04/03 (14)
  • 03/20 - 03/27 (17)
  • 03/13 - 03/20 (23)
  • 03/06 - 03/13 (14)
  • 02/27 - 03/06 (15)
  • 02/20 - 02/27 (17)
  • 02/13 - 02/20 (14)
  • 02/06 - 02/13 (19)
  • 01/30 - 02/06 (17)
  • 01/23 - 01/30 (17)
  • 01/16 - 01/23 (14)
  • 01/09 - 01/16 (12)
  • 01/02 - 01/09 (13)
  • 12/26 - 01/02 (13)
  • 12/19 - 12/26 (12)
  • 12/12 - 12/19 (16)
  • 12/05 - 12/12 (15)
  • 11/28 - 12/05 (17)
  • 11/21 - 11/28 (13)
  • 11/14 - 11/21 (15)
  • 11/07 - 11/14 (13)
  • 10/31 - 11/07 (7)
  • 10/24 - 10/31 (12)
  • 10/17 - 10/24 (4)
  • 10/10 - 10/17 (6)
  • 10/03 - 10/10 (14)
  • 09/26 - 10/03 (10)
  • 09/19 - 09/26 (6)
  • 09/12 - 09/19 (8)
  • 09/05 - 09/12 (13)
  • 08/29 - 09/05 (14)
  • 08/22 - 08/29 (13)
  • 08/15 - 08/22 (12)
  • 08/08 - 08/15 (7)
  • 08/01 - 08/08 (13)
  • 07/25 - 08/01 (5)
  • 07/18 - 07/25 (8)
  • 07/11 - 07/18 (10)
  • 07/04 - 07/11 (10)
  • 06/27 - 07/04 (16)
  • 06/20 - 06/27 (12)
  • 06/13 - 06/20 (10)
  • 06/06 - 06/13 (7)
  • 05/30 - 06/06 (12)
  • 05/23 - 05/30 (11)
  • 05/16 - 05/23 (17)
  • 05/09 - 05/16 (15)
  • 05/02 - 05/09 (13)
  • 04/25 - 05/02 (11)
  • 04/18 - 04/25 (11)
  • 04/11 - 04/18 (6)
  • 04/04 - 04/11 (5)
  • 03/28 - 04/04 (9)
  • 03/21 - 03/28 (6)
  • 03/14 - 03/21 (4)
  • 03/07 - 03/14 (5)
  • 02/28 - 03/07 (5)
  • 02/21 - 02/28 (4)
  • 02/14 - 02/21 (3)
  • 02/07 - 02/14 (4)
  • 01/31 - 02/07 (1)
  • 01/24 - 01/31 (4)
  • 01/17 - 01/24 (4)
  • 01/10 - 01/17 (3)
  • 01/03 - 01/10 (5)
  • 12/27 - 01/03 (5)
  • 12/20 - 12/27 (7)
  • 12/13 - 12/20 (4)
  • 12/06 - 12/13 (5)
  • 11/29 - 12/06 (3)
  • 11/22 - 11/29 (6)
  • 11/15 - 11/22 (3)
  • 11/08 - 11/15 (2)
  • 11/01 - 11/08 (1)
  • 10/25 - 11/01 (5)
  • 10/18 - 10/25 (11)
  • 10/11 - 10/18 (1)
  • 10/04 - 10/11 (3)
  • 09/27 - 10/04 (7)
  • 09/20 - 09/27 (10)
  • 09/13 - 09/20 (11)
  • 09/06 - 09/13 (15)
  • 08/30 - 09/06 (17)
  • 08/23 - 08/30 (5)
  • 08/09 - 08/16 (10)
  • 08/02 - 08/09 (7)
  • 07/26 - 08/02 (25)
  • 07/19 - 07/26 (6)
  • 07/12 - 07/19 (1)
  • 07/05 - 07/12 (1)
  • 06/28 - 07/05 (2)
  • 06/21 - 06/28 (5)
  • 06/07 - 06/14 (4)

DIRECTORY AD

 
Copyright © g sengo