ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, March 16, 2026

MIAKA MITANO TANZANIA BILA JPM

 


Miaka Mitano Siku Zaidi ya Siku 1800 Tangu kifo cha Rais Wa Awamu ya Tano Hayati Dkt, John Pombe Magufuli 


#kazinangoma ya 93.7 Jembe Fm inaungana na Familia ya Dkt, John Pombe Magufuli na Watanzania wote katika kumbukizi hiyo 

Kuzifungua kurasa za kumbukumbu, mijadala na simulizi.

Kuanzia Leo.

📅 16–17 Machi 2026

📻 93.7 Mwanza


Usikose.  Kusikiliza vipindi mbalimbali kupitia Jembe Fm🔥📻 Na Kutufatilia kwenye mitandao ya kijamii @jembefmtz 


Follow Us On Social Media

‎Instagram - @jembefmtz

‎Facebook - @jembefmtz

‎X(Twitter) - @jembefmtz

‎TikTok - @jembefmtz

‎Thread - @jembefmtz


#AhsanteKwaTime 

#Familiamoja

#10yrsjembefm 


#JembeFMKurasa1800LiveChato

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment