Picha zote na: http://www.mbeyayetublog.blogspot.com/
Dira Ya Dunia
-
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na
mbili unusu jioni Afrika Mashariki
1 hour ago
Watu Mbali Mbali wakiwa wanakimbia ili kujiokoa na Hatari katika eneo hilo.
Wamachinga wakiwa Tayali kwa ajili ya Kupambana na FFU wakati wa tukio hilo
Baadhi ya wananchi wakiwa wameokoka katika eneo hilo
Polisi wakijalibu Kuzuia Ghasia katika eneo hilo na kufukuza Wamachinga.
Waziri wa Utalii na Mali asili Mh Ezakiel Mahige na Naibu Balozi Chabaka wakipokea zawadi ya mpira.
Mchezaji maarufu wa kimataifa kutoka nchini Ghana Asamoah Gyan alipotembelea Banda la Tanzania.
Waheshimiwa Ephraim Kamuntu, Najib Balala na Victorie Ndikumana.
Bw Meena. Bw Issa. Mh A. Jihad Naibu Balozi Chabaka, Jonathan.
Frank, Bw Issa na Bi Jestina.
Mwenyekiti wa bodi ya utalii ya Uganda akiwa na Bw William Byeruhanga.
Asamoah na wapenzi wake kutoka Tanzania.
Mh Jihad akiwa na wafanyakazi wa Bodi ya utalii ya Zanzibar
SERIKALI ya Tanzania kupitia Wizara yake ya Afya na Ustawi wa Jamii inao mkakati kabambe wa kutokomeza ugonjwa wa SURUA na POLIO kwa watoto wenye umri chini ya miaka 5.
<-Ngozi ya mtoto anayeelekea kupona surua.
Waziri wa Kazi na Ajira Bi. Gaudensia Kabaka akimkabidhi kaimu Mkurugenzi wa PSPF .Bw.Adam Mayingu tuzo ya kutambua juhudi za PSPF katika kutoa mkopo wa nyumba kwa wanachama wake wanaokaribia kustaafu wakati wa ufunguzi rasmi wa maadhimisho ya wiki ya hifadhi ya jamii iliyoanza katika viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es salaam jana.
Mkurugenzi wa PSPF. Bw.Adam Mayingu akitoa maelezo kwa waziri wa kazi na Ajira Bi. Gaudensia Kabaka juu ya miradi inayofanywa na mfuko huo.
Wafanyakazi wa PSPF wakifurahia tuzo waliyoivuna wakati wa ufunguzi rasmi wa maadhimisho ya wiki ya hifadhi ya jamii iliyoanza katika viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es salaam jana tuzo hiyo ni kwa kutambua juhudi za mfuko huo katika kutoa mikopo ya nyumba kwa wanachama wake wanaokaribia kustaafu.
Waziri wa Kazi na Ajira Bi.. Gaudensia Kabaka akijaza fomu ya uhakiki wa wastaafu wakati alipotembelea banda la PSPF katika maonesho ya Wiki ya hifadhi ya Jamii Mnazi Mmoja Dar es salaam jana Kabaka ni mmoja wapo wa wastaafu wa PSPF na kushoto ni Ofisa wa Fedha Mwandamizi Bw. Victor Luvena.
'Jamani eeh! tulizo vuna ndiyo hizi...!!' (picha na Mpigapicha wetu)
Ni moja kati ya shule kongwe jijini Mwanza iliyokuwa ikisifika kuwa na mazingira mazuri, vyumba vya madarasa, madawati, ufundishaji mzuri na vitabu vya kufundishia, wafanyabiashara watz wenye asili ya kiasia na wazawa wenye uwezo walikuwa wakileta watoto wao kusoma hapa....lakini leo ukiitembelea mmmmmmh...
Pamoja na kwamba ni shule ambayo iko katikati ya jiji la Mwanza baadhi ya wanafunzi wa shule hiyo wanakalia mawe na matofali, hali ambayo imekuwa ikichangia kuporomoka kwa kiwango cha elimu.
Vyoo ndiyo kabisaaaa 'chokesti' Pamoja na kwamba matatizo haya ni la muda mrefu, lakini viongozi hasa wanasiasa wanatoa ahadi tu wasizozitekelezeka, ni mfanyabiashara mmoja tu aitwaye Aritaf Mansoor aka Dogo kwa pesa zake ndiye aliye ameamua kujenga madarasa mengine shuleni hapo.
Mlio soma hapa enzi za Mwalimu mupooo? Jeh! mwayaona haya?
Mtu mmoja ambaye hajatambulika jina lake amenaswa na umeme wa transfoma usiku wa kuamkia leo katika eneo la Hospitali ya Bugando jijini Mwanza na kufariki dunia papo hapo.
Mafundi wa umeme kutoka Tanesco wakipanda kuunasua mwili wa jamaa huyo.
Kutokana wizi huo baadhi ya maeneo ya jiji la Mwanza hususani eneo la Hospitali ya Bugando na maeneo yake ya jirani yamekosa umeme usiku mzima hadi leo na baadhi ya shughuli kusimama kwa kukosa nishati ya umeme.
Asubuhi ya leo mashuhuda kutoka sehemu mbalimbali walimiminika kwenye tukio hilo la kutisha na kuona hatua kwa hatua za ushushaji wa mwili wa mwizi huyo wa mafuta ya transfoma.
TANESCO kupitia kitengo chake cha usalama, kimekuwa kikifuatilia kwa ukaribu hali hiyo, ili kupambana na wizi huo na licha ya kuwakamata baadhi ya wahalifu ambao baadhi yao walifikishwa mahakamani na kesi zao bado zinaendelea kusikilizwa kwenye mahakama mbalimbali hapa nchini bado wizi unafumuka kwa kasi tena ya ajabu chanzo kikuu kikitajwa kuwa ongezeko la mahitaji.
Kila kukicha TANESCO imekuwa ikingia gharama katika kununulia vifaa vilivyoibwa badala ya kuendeleza maendeleo ya miradi ya umeme nchini.
Mwili wa mtu huyo ukipelekwa kuhifadhiwa hospitali ya Rufaa Bugando kwa ajili ya uchunguzi zaidi.
Meneja wa TANESCO mkoa wa Mwanza bw. Makoye Nyerere amesema kuwa Shirika lake pekee halitaweza kulikabiliana na tatizo hilo, hivyo jamii inatakiwa itambue kuwa tatizo hilo ni kubwa linahitaji ushirikiano wa pamoja, kuanzia wananchi, viongozi pamoja na serikali yenyewe.
Waumini wa dini ya Sikh wakiazimisha siku hii..
Muasisi wa Dini ya Sikh Guru Nanak.