
Taarifa za uchunguzi zinamtaja mtu huyo ambaye inasemekana kuwa alikuwa katika mchakato wa kuiba mafuta ya transfoma hilo, wakati akifanya hujuma hiyo alipigwa shoti na kunasa mara baada ya kuegemea bila kujua moja ya nyaya zilizokuwa na umeme.







"Ni muhimu basi, mtu yeyote anayejua juu ya wizi huo, atoe taarifa ya siri, ili kunusuru mamilioni ya fedha kutumika kurekebisha badala ya kuendeleza miundombinu ya umeme na kuletea watu maendeleo" alisema Makoye.
Tupe maoni yako
Bado wengine.... za mwizi huwa hazichelewi
ReplyDelete