Bob Jurnior.
Roma
P Unity toka Kenya.
Fid Q
Suma Lee Hakunaga.
Mtangazaji wa Clouds Fm 88.4 katika kipindi cha Power Breakfast (wa pili kulia) akichangia furaha pamoja na wapiganaji wenzake mara baada ya kupata nondoz ya Mass Communication kutoka katika chuo cha Tumaini, Dar es Salaam. Mahafari yalifanyika ijumaa Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.
Kutoka kushoto ni Humphrey Maziba ambaye ni mratibu wa tamasha hilo, Mwimbaji muziki wa injili John lissu na Adolph Nzwala wa HHC Radio Mwanza.
Watoa mada Glory Mziray na Richard Ngaiza wakifuatilia hatua ya mwisho ya mafunzo hayo ya siku mbili inayohusu Kubainisha changamoto zinazo ikabili sekta ya upashaji habari kwa vipindi vya elimu ya Ukimwi kwa redio, kwenye semina hiyo inayotolewa na TACAIDS.
Kwa siku ya leo washiriki walijigawa kwa makundi kulingana na mikoa kukusanya changamoto zao na kuzipima ambapo baadaye waliziwasilisha zikiwa na either utatuzi au ushauri. Pichani washiriki kutoka mkoani Shinyanga.
Washiriki wa redio mbalimbali za kijamii kutoka jiji linalokuwa kwa kasi, uchumi wake ukiendeshwa na biashara kubwa ya samaki na spidi kali ya ongezeko la watu Mwanza, Uzoefu unaonyesha kuwa mwingiliano wa watu kutoka sehemu na sehemu ni chanzo cha ongezeko la maambukizi ya ukimwi.
Mara ni miongoni mwa mikoa yenye makabila mengi nchini Tanzania, mila inachukuwa nafasi kwenye maisha ya wakazi wa maeneo hayo na kuegemewa na wengi, takwimu zinaonyesha kuwa baadhi ya mila zilizopo zinahusika katika kuchangia maambukizi.
Mkoani Kagera ambako inasemekana kwa upande wa Tz ndipo ulipoanzia, takwimu zinaonyesha ugonjwa huo unazidi kupungua kiasi cha asilimia 3.4 lakini kuna tabia na mienendo inayoonyesha kuwa hali ya baadaye itakuwa mbaya iwapo hatua za dhati hazitochukuliwa.
Kwa mwingiliano wa kibiashara na wakimbizi mipakani mwa nchi nako hali si shwari maambukizi ni ya kasi watu wakiamini hadithi za mitaani zaidi kutokana na uhaba wa elimu stahiki kuhusu Ukwimwi, by washiriki toka Radio Ekwizera.
Uwasilishaji pia ulikuwa na kipengere cha Je! Tunapimaje Mwitikio wa wasikilizaji aka Je! Tunasikilizwa na Tutatambuaje kama vipindi vya ukimwi virushwavyo na kituo husika vinasikilizwa na vinamanufaa kwa jamii??
Produser maarufu hapa nchini Duke, alikuwa bize katika meza yake akikusanya sauti ya yote yaliyokuwa yakijiri kwenye mafunzo hayo toka Tume ya kuthibiti ukimwi nchini (TACAIDS) chini ya usimamizi thabiti wa Kampuni ya Masoko AGENCIES (T)Ltd.
Mafisa wa jeshi la polisi katika tukio.
Mtaa wa Liberty
Wananchi wakiwa wamekusanyika eneo la tukio.
Kama utapenda kununua au kuuza kitu chochote kutoka Swahili Fashion Week, unaweza kufanya hivyo kupitia eneo la manunuzi wakati na baada ya maonesho,
Anakumbukwa na watoto wake wapendwa Abel (mie), Paul, Pamela, Penina, Prisca na Hadia Saif, pamoja na wajukuu zake wapendwa Jane ,Carlos, Collin's, Carllen,Clara & Hope.
Rais wa Oganaizesheni ya ngumi za kulipwa Tanzania , Yasin Abdallah , amesema novemba 6 mwaka huu bondia machachali kutoka Tanga Allan Kamote atapambana na bondia Fredrick Nyakesa kutoka kenya katika mpambano wa kimataifa wa kirafiki utakaofanyika katika ukumbi wa Ridoch mkoa wa Tanga na mabondia hawo watapambana katika pambano la raundi 8 la uzito wa kilogram 61.2 light weigth yasin alisema kutakua na mapambano ya utangulizi mengine yatakayowakutanisha mabondia kutoka tanga na Dar es salaam
Washiriki mafunzo.
"Ngono za wapenzi wengi na ngono za biashara zinazidi kubarikiwa na jamii kwa kupewa majina mengi mazuri kama kuhalalishwa, kama Shuga Dadi, Shuga Mami, Kibustani...." Glory Mziray:-public Relations Officer TACAIDS.
"Redio za jamii zikitumika vyema zina nguvu kufanikisha vita dhidi ya maambukizi ya Ukimwi" Richard Ngaiza:- Communication and Media Expert, Lecturer in New Media Technologies (Tumaini university Dar es Salaam College)
Washiriki wa mafunzo hayo yaliyoanza leo na kutarajiwa kumalizika kesho, wa kwanza kabisa kushoto ni Ester Tindos Kusekwa toka Living Water Fm Mwanza.
Washiriki Emanuel Chibasa wa Victoria Fm, John D. Mponeja Victoria Fm na Ally Mwafrika wa Kahama Fm.
"Ubunifu na Lugha kwa mtayarishaji na mtangazaji ni muhimu katika ufikishaji wa ujumbe na elimu kuhusu suala zima la kujilinda na kupambana na maambukizi ya Ukimwi" Richard Ngaiza.
Ndani ya mafunzo kushoto ni Maganga J. Gwesanga(Living Water Fm), Caroryne Mwaipungu (HHC Alive Fm) na Helen (Living Water Fm).
Edwin Sokwe, Cecilia Ndabigize na wengine...
Samaki hao ambao uzito wao haukufahamika mara moja wamekamatwa muda mfupi nbaada ya boti ya wakala anayesambazia kiwanda hicho samaki kutia nanga kwenye gati hilo.
Lukanga amesema kuwa samaki hao wamekamatwa kutokana na taarifa kutoka kwa raia wema kwamba kulikuwa na boti ambayo ilikuwa ikitoka kwenye moja wapo ya visiwa vilivyopo katika Ziwa Victoria kwa upande wa Tanzania ambayo ilikuwa imebeba shehena ya sangara wachanga kwa ajili ya kwenda kuwauza katika Kiwanda cha Vicfish jijini Mwanza usiku.
Nyavu haramu chanzo cha uvuvi samaki wasio na viwango.
Mara baada ya blogu hii sambamba na kituo cha Clouds Fm, Chanel Ten pamoja na magazeti mbalimbali nchini kuripoti juu ya kadhia inayosababishwa na mawasiliano duni wanayoipata wananchi vijiji vya Mwandoya makao makuu ya jimbo la Kisesa wilayani Meatu, ikisababisha wananchi hao kutafutana shati kwa shati, wakilazimika kusafiri umbali wa kilometa kadhaa kusaka huduma za utumaji na upokeaji fedha au zile za kibenki.
Yu mmoja wa wananchi wa Mwandoya wanaoamini kuwa Vodacom inapotua mahali ni zaidi ya mawasiliano kwani inauwezo wa kutatua hata suala lao la kibenki. Kupitia huduma ya M-PESA, wanapokuwa mbali itarahisisha suala la kuwatumia pesa za matumizi wazazi, ada ya shule kwa wanafunzi hata kuhifadhi pesa zao mara baada ya mauzo kwa zao lao kuu la pamba, nao wafanyabiashara kuagiza bidhaa mijini hasa ukizingatia kuwa hakuna benki iliyojitokeza kutoa huduma kijijini hapo watapata fursa kuagiza mizigo na kutuma fedha pasina kusafiri.
Katibu wa CCM wilaya ya Maswa Omary Kalolo (kushoto) naye alikuwepo katika eneo la tukio kutoa sapoti kwa tukio zima la uzinduzi wa mawasiliano ya Vodacom lililofanywa na Mh. Luhaga Mpina Mbunge wa jimbo la Kisesa wilaya ya Meatu (mwenye suti nyeusi katika).
>Katika hali isiyotarajiwa, ghafla mazingira ya mahakama ya mwanzo iliyoko karibu na ofisi za idara ya maji safi na maji taka jijini Mwanza, eneo la Kemondo na maeneo ya Ghandh hall, Polisi wamelazimika kulipua mabomu ya machozi majira ya saa nne asubuhi ili kuwatawanya waandamanaji waliofurika kwa wingi nje ya mahakama ya Wilaya ya Nyamagana wakifanya vurugu kushinikiza maamuzi yafanyike dhidi ya watuhumiwa wa kesi hiyo….
Hali tete ilianza kwa waandamanaji hao kufanya vurugu kwa madai ya kutaka waliopewa dhamana wasipewe dhamana, huku wengine wakisema hawataondoka mahakamani hapo pale tu watakapo kabidhiwa watuhumiwa hao...
Mzozo wa waandamanaji na askari wa jeshi la polisi.
Makundi ya watu nje ya mahakama.
Hali si shwari..
Hali tete nje ya mahakama polisi wakiendelea kurusha mabomu ya machozi.
Toka angani eneo la mahakama ya wilaya Nyamagana.
Vurugu hizo zimesababisha barabara kadhaa kufungwa kwa muda kwaajili ya usalama wa mahabusu wengine na kuruhusu kesi nyingine kuendelea kusikilizwa mahakamani hapo.
Si biashara tena bali msaada kukosha macho kwa maji ya kahawa.
Askari wa jeshi la polisi wakifanya doria eneo la mahakama.
Kutokana na hatua ya kufunga barabara watu wamelazimika kutembea kwa miguu nao polisi wakipiga marufuku kusanyiko la aina yoyote kwenye eneo husika.
Ni Kundi jipya linaloitwa BABATAN likiwa na maana ya 'Shikamana baada ya kukandamizwa' (cheki na kamusi ya kiswahili), kundi likiwa na wasanii idadi kubwa ya wale waliopigwa stopu' wakiunda kundi la awali la FUTUHI.
Kutoka kushoto ni Mansoor Jalaludin (kamera man), Lwiza Rwechungura aka Kafuku Kaulananga, Mwashum Ismail aka Brandy Muswaili, Hashim Abeid aka Itagata na Robinson Daudi aka Mchele Chubu Mwanashidondofilo, nyuma wanaonekana John Mlinga aka Babu Mkombe na Ibrahim Mussa aka Chicochengambili.
Mbunge wa Jimbo la Kisesa wilayani Meatu Mh.Luhaga Joelson Mpina (CCM) mwishoni mwa wiki amefanya mkutano wa hadhara kijiji cha Mwandoya ambako ndiko makao makuu ya Jimbo, lengo kuu likiwa kuainisha na kubainisha mikakati ya maendeleo iliyopo na inayotarajiwa kufanyika jimboni humo.
Kwa mujibu wa Mpina Tayari jimbo la Kisesa limepata mwekezaji wa kujenga kiwanda cha kuchambua pamba ambacho ujenzi wake utaanza rasmi pindi umeme utakapoingia Mwandoya mnamo mwezi desemba mwaka huu.
Faida zinazotajwa kupatikana pindi kiwanda hicho kitakapojengwa na kuanza kufanya kazi ni pamoja na vijana wa jimbo la Kisesa kupata ajira, wakulima watapata fursa ya kuuza pamba yao kwa bei nzuri zaidi kwani wanunuzi wengi hupunguza bei ya zao hilo kwa kisingizio cha gharama za usafirishaji kwenda kwenye vinu vya kuchambua pamba.
Burudani nayo haikukauka hapa ni kwaya ya Mwandoya ikitumbuiza.
Raha ilipozidi kiongozi wa kundi aliimba begani mwa mwananchi.
Kijiji hiki cha Mwandoya kinaonekana kukuwa kwa kasi katika suala zima la maendeleo kutokana na juhudi za dhati za mbunge Joelson Mpina sambamba na ushirikiano anaoupata kutoka kwa wananchi wa jimbo lake kwani ndani ya kipindi cha miaka miwili kupitia changizi mbalimbali tayari wamefanikiwa kujenga Zahanati moja pamoja na nyumba nane za walimu wa shule zinazozunguka eneo hilo.
Wazee wa wakimsikiliza mbunge wao.
Kwa lengo la kukuza vipaji vya soka Mh. Joelson Mpina, alikabidhi jezi seti moja moja kwa timu za Mwandoya Shooting na Maskani Football Club.
Kakaaaa nawe upo-po hapa....!!!