ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, February 8, 2014

UTEGI FC NDIYO MABINGWA WA LAKAIRO CUP 2014.

Mabingwa wa michuano ya Lakairo Cup, Utegi Fc wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mpambano wao na Nyanduga Fc ambapo walitwaa uchampioni kwa mikwaju ya penati 4-3, dakika 90 zilimalizika kwa timu hizo kutoka sare ya 1-1.
Nyanduga Fc katika picha ya pamoja kabla ya fainali ya michuano ya Lakairo Cup iliyoenda sambamba na Maadhimisho ya miaka 37 ya Chama cha mapinduzi (CCM), 
Mashabiki hawa wa liamua kuja na mwenge ambao inatajwa ulikuwa na kitu cha kamati ya ufundi siyo hivi hivi....
Tizama kwa umakini ni katikati ya uwanja njiwa mweupe alirushwa na wachezaji wa Utegi Fc kwaajili ya mamboz. ya neema.
Mashabiki wa Utegi Fc walikuwa wakishangilia mwanzo mwisho katika mchezo wa fainali baina ya timu yao na Nyanduga Fc ikiwa ni Fainali ya michuano ya Lakairo Cup iliyoenda sambamba na Maadhimisho ya miaka 37 ya Chama cha mapinduzi (CCM).
Akina mama dimbani. 
Mchezaji wa Nyanduga Fc (red) akiruka juu sambamba na mchezaji wa Utegi Fc katika mchezo wa fainali ya michuano ya Lakairo Cup, Utegi Fc walitwaa uchampioni kwa mikwaju ya penati 4-3, dakika 90 zilimalizika kwa timu hizo kutoka sare ya 1-1.
Vuta nikuvute.
Hapa waliketi mashabiki wa Nyanduga Fc. 
Mchezaji wa Nyanduga Fc akitolewa nje ya uwanja mara baada ya kufanyiwa madhambi katika mchezo wa fainali dhidi ya Utegi Fc.
Mashabiki wa Utegi Fc wakisherehekea ubingwa wao katika michuano ya Lakairo Cup, baada ya mchezo kuisha wakiibandua Nyanduga Fc katika penati 4-3, dakika 90 zilimalizika kwa timu hizo kutoka sare ya 1-1.
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Rorya Mhe. Samwel Kiboye maarufu kama Namba 3 akitoa akizungumza na wananchi wa Kata ya Utegi wilayani Rorya ikiwa ni sambamba na kumkaribisha mgeni rasmi wa michuano ya Lakairo Cup iliyoenda sambamba na Maadhimisho ya miaka 37 ya Chama cha mapinduzi (CCM), Mwenyekiti wa CCM mkoa mpya wa Geita Joseph Msukuma (katikati) huku mweyeji wa jimbo hili Mbunge wa Rorya Lameck Airo akisikiliza kwa makini kinachojiri.
Sehemu ya washiriki na wananchi na mashabiki walio hudhuria sherehe hizo.
Wachezaji wa timu ya Nyabikondo Fc wakisubiri zawadi zao mara baada ya kuikosa nafasi ya tatu nao kuambulia nafasi ya nne.
Kaptein wa timu ya Alonga Fc akiwa na zawadi ya shilingi milioni mbili aliyoipokea kwaniaba ya timu yake baada ya kuinyakua nafasi ya tatu michuano ya Lakairo Cup mchezo wa awali kusaka nafasi ya tatu katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Kogalo Utegi wilayani Rorya mkoani Mara ambapo hadi mwisho Alonga Fc walinyuka Nyabikondo Fc bao 2-1 na kutawazwa washind
Kapteni wa Nyanduga Fc akiwa na kitita cha shilingi milioni tatu zawadi mshindi wa pili . 
Wachezaji wa Utegi Fc wakiwa na zawadi zao za ubingwa, kitita cha shilingi milioni 5, na mipira miwili. 
Mashabiki wa Utegi Fc na shangwe zao. 
Mwisho wa kabisa Mbunge wa Jimbo la Rorya Mhe. Lameck Airo alizungumza na wanahabari kuhusu lengo la michuano ya Lakairo Cup.Michuano ya Lakairo Cup 2014 ilishirikisha jumla ya timu 140, ikifanyika ndani ya miezi mitatu ikwa na malengo ya kuwafanya vijana kuwa bize na shughuli za kufanya ili kuwaondoa vijiweni sambamba na kuwaepusha na matumizi ya madawa ya kulevya, bangi na uzinzi hatua ambazo kwa kiwango kikubwa zimefanikiwa.

KANUSHO LA Mh. LOWASSA KUHUSIANA NA UMILIKI WA KURASA ZA MITANDAO YA JAMII.

Kumekuwa na kurasa (accounts) mbalimbali zenye jina la Mh. Edward Lowassa Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mitandao ya kijamii Kama vile Facebook,Twitter,Instagram nk.

Zinazoonye kuwa mmiliki wake ni Mh. Edward Lowassa.

Ukweli ni kwamba hizo kurasa zote hazimilikiwi na Mh. Lowassa.

Kwa maana hiyo chochote kinachoandikwa au kuchapishwa kwenye kurasa hizo,hazihusiani kwa namna yoyote na Mh. Lowassa. 

Hata hivyo Mh. Lowassa anawashukuru wote wenye kumiliki account hizo bila ya ruhusa yake, kwani anaamini wamesukumwa na mapenzi yao kwake.

Imetolewa na 
Ofisi ya Mh. Edward Ngoyai Lowassa 
Mbunge wa Jimbo la Monduli.

HAWA HAPA VIONGOZI WAPYA WA TOTO AFRICANS.


Hatimaye Uchaguzi Mkuu wa Club ya Toto Africans ya jijini Mwanza yenye maskani yake mtaa wa Kishamapanda umefanyika hii leo na klabu hiyo kufanikiwa kupata safu mpya ya uongozi.

Uchaguzi huo umefanyika baada ya shinikizo toka TFF kuitaka klabu hiyo kufanya uchaguzi haraka kwa kufuata katiba kama inavyo elekeza ili kutowapa nafasi viongozi kukaa madarakani kwa muda mrefu bila kufanyika uchaguzi.

Sports Xtra imezungumza na msemaji wa uchaguzi huo Kahabuka S. Bijumula. (MSIKILIZE KWA KUBOFYA PLAY HAPO JUU)

Friday, February 7, 2014

HAYA HAPA MAJINA YA WAJUMBE WA BUNGE MAALUMU LA KATIBA 2014.

MAJINA YA WAJUMBE WA BUNGE MAALUMU LA KATIBA

TAASISI ZISIZOKUWA ZA KISERIKALI- (WAJUMBE 20)

TANZANIA BARA (13)

1.     Magdalena Rwebangira
2.        Kingunge Ngombale Mwiru
3.     Asha D. Mtwangi
4.        Maria Sarungi Tsehai
5.     Paul Kimiti
6.        Valerie N. Msoka
7.     Fortunate Moses Kabeja
8.        Sixtus Raphael Mapunda
9.     Elizabeth Maro Minde
10.   Happiness Samson Sengi
11. Evod Herman Mmanda
12.   Godfrey Simbeye
13. Mary Paul Daffa

TANZANIA ZANZIBAR (7)
1.     Idrissa Kitwana Mustafa
2.          Siti Abbas Ali
3.     Abdalla Abass Omar
4.          Salama Aboud Talib
5.     Juma Bakari Alawi
6.          Salma Hamoud Said
7.     Adila Hilali Vuai



TAASISI ZA KIDINI- (WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA (13)
1.   Tamrina Manzi
2.        Olive Damian Luwena
3.   Shamim Khan
4.        Mchg. Ernest Kadiva
5.   Sheikh Hamid Masoud Jongo
6.        Askofu Mkuu (Mstaafu) Donald Leo Mtetemela
7.   Magdalena Songora
8.        Hamisi Ally Togwa
9.   Askofu Amos J. Muhagachi
10.   Easter Msambazi
11.                                                           Mussa Yusuf Kundecha
12.   Respa Adam Miguma
13.                                                           Prof. Costa Ricky Mahalu

TANZANIA ZANZIBAR (7)
1.     Sheikh Thabit Nouman Jongo
2.     Suzana Peter Kunambi
3.     Sheikh Nassoro Mohammed Ibrahimu
4.     Fatma Mohammed Hassan
5.     Louis Majaliwa
6.     Yasmin Yusufali E. H alloo
7.     Thuwein Issa Thuwein






VYAMA VYOTE VYA SIASA
VYENYE USAJILI WA KUDUMU – (WAJUMBE 42)
TANZANIA BARA (28)
1.        Hashim Rungwe Spunda
2.           Thomas Magnus Mgoli
3.        Rashid Hashim Mtuta
4.           Shamsa Mwangunga
5.        Yusuf  S. Manyanga
6.           Christopher Mtikila
7.        Bertha Ng’angompata
8.           Suzan Marwa
9.        Dominick Abraham Lyamchai
10.      Mbwana Salum Kibanda
11.   Peter Kuga Mziray
12.      Isaac Manjoba Cheyo
13.   Dr. Emmanuel John Makaidi
14.      Prof. Ibrahim Haruna Lipumba
15.   Modesta Kizito Ponera
16.      Prof. Abdallah Safari
17.   Salumu Seleman Ally
18.      James Kabalo Mapalala
19.   Mary Oswald Mpangala
20.      Mwaka Lameck Mgimwa
21.   Nancy  S. Mrikaria
22.      Nakazael Lukio Tenga
23.   Fahmi Nasoro Dovutwa
24.      Costantine  Benjamini Akitanda
25.   Mary Moses Daudi
26.      Magdalena Likwina
27.   John Dustan Lifa Chipaka
28.      Rashid Mohamed Ligania Rai
TANZANIA ZANZIBAR (14)
1.     Ally Omar Juma
2.     Vuai Ali Vuai
3.     Mwanaidi Othman Twahir
4.     Jamila Abeid Saleh
5.     Mwanamrisho Juma Ahmed
6.     Juma Hamis Faki
7.     Tatu Mabrouk Haji
8.     Fat –Hiya Zahran Salum
9.     Hussein Juma
10.     Zeudi Mvano Abdullahi
11.     Juma Ally Khatibu
12.     Haji Ambar Khamis
13.     Khadija Abdallah Ahmed
14.     Rashid Yussuf Mchenga




TAASISI ZA ELIMU- (WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA
1.     Dr. Suzan Kolimba
2.     Prof. Esther Daniel Mwaikambo
3.     Dr. Natujwa Mvungi
4.     Prof. Romuald Haule
5.     Dr. Domitila A.R. Bashemera
6.     Dr. Jasmine Bendantunguka Tiisekwa
7.     Prof. Bernadeta Kilian
8.     Teddy Ladislaus Patrick
9.     Dr. Francis Michael
10.    Prof. Remmy J. Assey
11.               Dr. Tulia Ackson
12.               Dr. Ave Maria Emilius Semakafu
13.               Hamza Mustafa Njozi

TANZANIA ZANZIBAR (7)
1.     Makame Omar Makame
2.     Fatma Hamid Saleh
3.     Dr. Aley Soud Nassor
4.     Layla Ali Salum
5.     Dkt. Mwinyi Talib Haji
6.     Zeyana Mohamed Haji
7.     Ali Ahmed Uki



WATU WENYE ULEMAVU-(WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA (13)
1.        Zuhura Musa Lusonge
2.     Frederick Msigala
3.        Amon Anastaz Mpanju
4.     Bure Zahran
5.        Edith Aron Dosha
6.     Vincent Venance Mzena
7.        Shida Salum Mohamed
8.     Dr. Henry Mwizengwa Nyamubi.
9.        Elias Msiba Masamaki
10.                   Faustina Jonathan Urassa
11.   Doroth Stephano Malelela
12.                   John Josephat Ndumbaro
13.   Ernest Njama Kimaya

TANZANIA ZANZIBAR (7)
1.     Haidar Hashim Madeweyya
2.     Alli Omar Makame
3.     Adil Mohammed Ali
4.     Mwandawa Khamis Mohammed
5.     Salim Abdalla Salim
6.     Salma Haji Saadat
7.     Mwantatu Mbarak Khamis



VYAMA VYA WAFANYAKAZI-(WAJUMBE 19)
TANZANIA BARA (13)
1.     Honorata Chitanda
2.     Dr. Angelika Semike
3.     Ezekiah Tom Oluoch
4.     Adelgunda Michael Mgaya
5.     Dotto M. Biteko
6.     Mary Gaspar Makondo
7.     Halfani Shabani Muhogo
8.     Yusufu Omari Singo
9.     Joyce Mwasha
10.                   Amina Mweta
11.                   Mbaraka Hussein Igangula
12.                   Aina Shadrack Massawe
13.                   Lucas Charles Malunde

TANZANIA ZANZIBAR (6)
1.   Khamis Mwinyi Mohamed
2. Jina Hassan Silima
3.   Makame Launi Makame
4. Asmahany Juma Ali
5.   Mwatoum Khamis Othman
6. Rihi Haji Ali


VYAMA VINAVYOWAKILISHAWAFUGAJI-(WAJUMBE 10)
TANZANIA BARA (7)
1.     William Tate Olenasha
2.     Makeresia Pawa
3.     Mabagda Gesura Mwataghu
4.     Doreen Maro
5.     Magret Nyaga
6.     Hamis Mnondwa
7.     Ester Milimba Juma

TANZANIA ZANZIBAR (3)
1.     Said Abdalla Bakari
2.     Mashavu Yahya
3.     Zubeir Sufiani Mkanga



VYAMA VINAVYOWAKILISHAWAVUVI –(WAJUMBE 10)
TANZANIA BARA (7)
1.     Hawa A. Mchafu
2.     Rebecca Masato
3.     Thomas Juma Minyaro
4.     Timtoza Bagambise
5.     Tedy Malulu
6.     Rebecca Bugingo
7.     Omary S. Husseni

TANZANIA ZANZIBAR (3)
1.     Waziri Rajab
2.     Issa Ameir Suleiman
3.     Mohamed Abdallah Ahmed




VYAMA VYAWAKULIMA-(WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA (13)
1.     Agatha  Harun Senyagwa
2.     Veronica Sophu
3.     Shaban Suleman Muyombo
4.     Catherine Gabriel Sisuti
5.     Hamisi Hassani Dambaya
6.     Suzy Samson Laizer
7.     Dr. Maselle Zingura Maziku
8.     Abdallah Mashausi
9.     Hadijah Milawo Kondo
10.                                                   Rehema Madusa
11.                  Reuben R. Matango
12.                                                   Happy Suma
13.                  Zainab Bakari Dihenga

TANZANIA ZANZIBAR (7)
1.     Saleh Moh’d Saleh
2.     Biubwa Yahya Othman
3.     Khamis Mohammed Salum
4.     Khadija Nassor Abdi
5.     Fatma Haji Khamis
6.     Asha Makungu Othman
7.     Asya Filfil Thani



WATU WENYE MALENGO YANAYOFANANA – (WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA (14)
1.        Dr. Christina Mnzava
2.     Paulo Christian Makonda
3.        Jesca Msambatavangu
4.     Julius Mtatiro
5.        Katherin Saruni
6.     Abdallah Majura Bulembo
7.        Hemedi Abdallah Panzi
8.     Dr. Zainab Amir Gama
9.        Hassan Mohamed Wakasuvi
10.               Paulynus Raymond Mtendah
11.   Almasi Athuman Maige
12.               Pamela Simon Massay
13.   Kajubi Diocres Mukajangwa
14.               Kadari Singo
TANZANIA ZANZIBAR (6)
1.     Yussuf Omar Chunda
2.     Fatma Mussa Juma
3.     Prof. Abdul Sheriff
4.     Amina Abdulkadir Ali
5.     Shaka Hamdu Shaka
6.     Rehema Said Shamte

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.

7 Februari, 2014