UNA FURAHA YAKO, KUNA USHINDI WAKO, UPONYAJI WAKO, MITO YA BARAKA ANDOF COUSE MATUMAINI NYUMBANI MWA BWANA. (ni maneno yanayopatikana katika wimbo ulio beba jina la album FURAHA YAKO).
NCHI YA KENYA IMEBARIKIWA KUWA NA WANAMUZIKI WENGI WA KIKE WENYE STYLE, WANAOJUA KUVAA NA WALIOBARIKIWA SAUTI ZA UKWELI WANAOVUMA NA KUTAMBA NDANI NA NJE YA MIPAKA YA NCHI HIYO. WAHU MAMAA WA SWEET LOVE, DADAYETU NAAZIZI, ASALI, NYOTA NDOGO NA AMANI NI MOJA YA WASANII WAKALI KUTOKA "KEI I"(KE). WAZALENDO WENZANGU JE MWAMFAHAMU HUYU PICHANI? well NI MOJA KATI YA WAKALI TOKA NCHINI KENYA SIFA YAKE KUU ANAPIGA MUZIKI WA LADHA ZOTE ANAITWA STELA NYAMBUI MWANGI MARA BAADA YA KIMYA KIREFU KANITONYA KUWA ANAREJEA KIKAMILIFU.
VIONGOZI WA CCM KATIKA PICHA Z’BAR
-
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, ambaye pia ni Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi,
aki...
Mchezo wa Kasino Mafia Clash Ushindi Mkononi
-
TUNAKULETEA mpambano wa mafia ambapo utakutana na bonasi za kasino
zisizoweza kushindwa. Ni wakati wa kuchagua upande utakaokupeleka kwenye
mizunguko ...
Mchezo wa Kasino Mafia Clash Ushindi Mkononi
-
TUNAKULETEA mpambano wa mafia ambapo utakutana na bonasi za kasino
zisizoweza kushindwa. Ni wakati wa kuchagua upande utakaokupeleka kwenye
mizunguko ...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...