African stars Entertainment Tanzania wanakuletea Bendi nzima ya Twanga Peteta ili iweze kufanya nao Makamuzi Live ndani ya Nchi ya Uingereza.Hii si yakukosa mazee kwani inatokea mara moja moja tuuuu!!! Safari hii ni Terehe 26.05.2011, Usikose mwanawane!!
TANZANIA YASHIRIKI MAONESHO YA UTALII NCHINI FINLAND
-
Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi akielezea vivutio
vya utalii vya Tanzania pamoja na filamu ya Tanzania: The Royal Tour,
wakati w...
2 hours ago














































