African stars Entertainment Tanzania wanakuletea Bendi nzima ya Twanga Peteta ili iweze kufanya nao Makamuzi Live ndani ya Nchi ya Uingereza.Hii si yakukosa mazee kwani inatokea mara moja moja tuuuu!!! Safari hii ni Terehe 26.05.2011, Usikose mwanawane!!
Je, ni umri gani sahihi wa kuwa mama na madaktari wanasema nini kuhusu hili?
-
Baadhi ya maswali hayana majibu ya uhakika. Yana majibu mengi. Hutofautiana
kutoka kwa mtu hadi mtu. Hata hivyo, maswali hayaishi na hivyo kufanya
majibu y...
21 minutes ago