African stars Entertainment Tanzania wanakuletea Bendi nzima ya Twanga Peteta ili iweze kufanya nao Makamuzi Live ndani ya Nchi ya Uingereza.Hii si yakukosa mazee kwani inatokea mara moja moja tuuuu!!! Safari hii ni Terehe 26.05.2011, Usikose mwanawane!!
[07/12, 08:36] Bukuku: CHITALE AHUBIRI UMOJA MKUTANO MKUU WA WADAU MADALE
GROUP [07/12, 08:37] Bukuku: Kaka nisaidie hiyo mkutano wa umoja wetu home
Madale
-
*Na John Bukuku – Dar es Salaam*
*Kaimu DAS wa Wilaya ya Kinondoni, Bw. Salumu Chitale, aliyemwakilisha Mkuu
wa Wilaya, ametumia Mkutano wa Umoja wa W...
20 minutes ago














































