African stars Entertainment Tanzania wanakuletea Bendi nzima ya Twanga Peteta ili iweze kufanya nao Makamuzi Live ndani ya Nchi ya Uingereza.Hii si yakukosa mazee kwani inatokea mara moja moja tuuuu!!! Safari hii ni Terehe 26.05.2011, Usikose mwanawane!!
Chuo cha CATC kupata Majengo ya kisasa miaka mitatu ya Rais Samia madarakani
-
Mkuu wa Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC) Aristid Kanje amesema CATC
ni moja ya vyuo vinavyotoa kozi ya Usalama wa Usafiri wa Anga (ASTC) na ni
mo...
40 minutes ago