African stars Entertainment Tanzania wanakuletea Bendi nzima ya Twanga Peteta ili iweze kufanya nao Makamuzi Live ndani ya Nchi ya Uingereza.Hii si yakukosa mazee kwani inatokea mara moja moja tuuuu!!! Safari hii ni Terehe 26.05.2011, Usikose mwanawane!!
TRA PWANI WAFANYA MATENDO YA HURUMA KWA WATOTO YATIMA KUPITIA TUKIO LA IFTAR
-
NA VICTOR MASANGU, PWANI
Mamlaka ya mapato (TRA) Mkoa wa Pwani katika kurudisha fadhila kwa jamii
imeamua kuandaa Iftar maalumu kwa ajili ya kufuturisha ma...
34 minutes ago














































