African stars Entertainment Tanzania wanakuletea Bendi nzima ya Twanga Peteta ili iweze kufanya nao Makamuzi Live ndani ya Nchi ya Uingereza.Hii si yakukosa mazee kwani inatokea mara moja moja tuuuu!!! Safari hii ni Terehe 26.05.2011, Usikose mwanawane!!
Matumaini mavuno ya mahindi yapotea kutokana na ukame Chemba, Kondoa
-
Aziza Hussein, mkulima wa kijiji cha Sambwa, wilayani Kondoa, akiwaonesha
wataalamu wa kilimo (hawapo pichani) hali ya shamba lake lililokauka
kutokana...
44 minutes ago