- Hatimaye mwanamuziki maarufu wa muziki wa Dansi na Bongofleva yenye ladha ya R&B na Afro-pop Christian Bella amepewa uraia wa Tanzania.
Hayo yamesemwa leo disembs 18 mwska huu jijini Dar es Salaam na Waziri wa Mambo ya Ndani George Simbachawene ikiwa ni siku ya wahamaji duniani.
Aidha Simbachawene amesema kuwa Tanzania kuna idadi kubwa ya wasanii maarufu wa muziki wa Dansi na Bongofleva wenye na sasa anaongezeka mwingine mwenye vigezo hivyo na ladha ya R&B na Afro-pop, anaitwa Christian Bella na sasa amepewa uraia wa Tanzania.
Hata hivyo ameelaza kuwa msanii huyo anafanya kazi vizuri hana makosa, amefuata utaratibu na muda wote alioishi hapa amelipa malipo stahiki, siyo wengine wanaolanda landa tu,” amesema Simbachawene.
Amesema mtu anaweza kupewa uraia na ukafutwa kama hatafuata utaratibu: “Hatuwezi kumpa uraia mtu ambaye ni hatari ama anayegeuka kuwa hatari, kwa hiyo kuna ‘vetting’ imefanyika kabla ya mtu kupewa uraia.”
Awali, Bella alikuwa raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambaye ameishi Tanzania kwa muda mrefu akifanya shughuli za kisanii.a wahamiaji na baadhi yao wamekuwa wakipewa .
Anafanya kazi vizuri, hana makosa, amefuata utaratibu na muda wote alioishi hapa amelipa malipo stahiki, siyo wengine wanaolanda landa tu,” amesema Simbachawene.
Amesema mtu anaweza kupewa uraia na ukafutwa kama hatafuata utaratibu: “Hatuwezi kumpa uraia mtu ambaye ni hatari ama anayegeuka kuwa hatari, kwa hiyo kuna ‘vetting’ imefanyika kabla ya mtu kupewa uraia.”
Itakumbukwa kuwa awali Bella alikuwa raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambaye ameishi Tanzania kwa muda mrefu akifanya shughuli za kisanii.
















