Saturday, July 23, 2011
MWANZA MPOOOooo!!!
Friday, July 22, 2011
TAMKO LA VIONGOZI WA DINI NA MADHEHEBU MBALIMBALI NCHINI LAFUKUNYUA MADHAIFU MENGI SEKTA YA MADINI.
Amesema katika ziara ya kamati hiyo ambayo inajumuisha wajumbe kutoka Afrika ya Kusini, Botswana, Zambia, Canada na Norway iligundua mapungufu mbalimbali yanayofanywa na wawekezaji katika sekta hiyo ukiwemo uchafuzi wa mazingira, unyanyasasi wa wananchi, ukiukwaji wa haki za binadamu na matumizi ya sheria za ardhi na kutokuwepo kwa mpangilio mzuri wa ulipaji fidia.
Amesema kamati hiyo ilibaini kuwepo kwa baadhi ya wananchi na waathirika waliopisha shughuli za uchimbaji za mgodi wa madini ya dhahabu wa kampuni ya Geita Gold Mine hadi sasa hawajalipwa fidia baada ya kuondolewa katika makazi yao hadi sasa hawana makazi maalum ya kuishi wala hawajui nini hatma yao.
Askofu Luzoka amesema kwa upande wa Mgondi wa Nyamongo ulioko mkoani Mara, kamati hiyo imebaini kuwepo kwa uchafuzi mkubwa wa mazingira na wananchi ambao wanazunguka mgodi huo hawapati maji safi na salama licha ya uongozi wa mgodi huo kuweka magari ya matanki ya kusomba maji safi kwa ajili ya wananchi hao jambo ambalo waliitaka serikali kwa kushirikiana na uongozi wa mgodi huo kutafuta ufumbuzi wa kudumu.
Aidha kamati hiyo imetoa ushauri kwa serikali kupitia wakuu wa wilaya na mikoa ambapo migodi hiyo inapatikana kuhakikisha kuwa shughuli zinazofanywa na migodi hiyo haziathiri mazingira ya mahali husika, sheria iliyotungwa hivi karibuni ya fidia ya ardhi pia iwaguse wale ambao walihusika na zoezi la uhamishaji wananchi ili nao waweze kupata fidia pamoja na serikali kuhakikisha kuwa fidia wanaolipwa wananchi husika inawanufaisha wananchi kwa kujenga nyumba bora za kisasa.
Pia kamati hiyo imeyaomba mashirika ya kimataifa ambayo yanahusika na haki za binadamu kuhakikisha kuwa wananchi ambao wanaishi karibu na migodi wanahakikishiwa usalama wa afya, maisha na mali zao na kuhakikisha kuwa haki inatendeka.
Kamati hiyo inaundwa na wajumbe kutoka Baraza la Maaskofu wa katoliki Tanzania (TEC), Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) na Baraza la Kikiristo Tanzania (CCT) na wajumbe wake ni kutoka nchi za Afrika Kusini, Botswana, Zambia, Canada na Norway.
Thursday, July 21, 2011
MA-MISS LAKE ZONE NA LUNCH YAO MELINI LEO
MRISHO NGASA V/S MANCHESTER UNITED.

The last time we saw him scoring was in the Champions League Final at Wembley against Barcelona before 87,695 fans. This time it was in the less familiar surroundings of Seattle Seahawks NFL stadium CenturyLink Field in front a crowd of 67,052.
But Rooney would not mind if it was a park back in Croxteth before a man and his dog.
He just loves playing football and loves scoring goals — no matter where he is. Rooney came on as a substitute at half-time and within six minutes he was on target.
Nani was the supplier, sliding a ball across the box for Rooney to side-foot into the roof of the net.
Wednesday, July 20, 2011
AIRTEL YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI 50 SHULE YA SEKONDARI KANGAYE
Tuesday, July 19, 2011
RAIS WA GUINEA ANUSURIKA KUUAWA.

Ni kiongozi wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia nchini Guinea, yenye historia ya kufanya mapinduzi na mapigano ya kikabila naye alichukua madaraka mwaka 2010 baada ya nchi hiyo kuongozwa kijeshi kwa muda mrefu.
Waandishi wanasema, shambulio kwa rais huyo inaonyesha ukubwa wa changamoto zinazoikabili serikali mpya ya kiraia. Ijapokuwa harakati hizo zimepungua, Conakry bado iko katika hali ya wasiwasi, na watu wengi wanabaki nyumbani.
Majeshi ya usalama yameweka vizuizi karibu na makazi ya rais huyo, huku wakikagua magari.
Hisani ya BBC Swahili.
MISS LAKE ZONE KIKAZI NA KIJAMII ZAIDI.
Jumamosi ya tarehe 23 july 2011 nani kulinyakuwa taji?
Picha na THE BIG TOP TEN.
UKATILI GANI HUU? MWANAMKE AKATWA KIGANJA CHA MKONO AKATWA MAGOTI YOTE MAWILI NA MUMEWE.
Akizungumza kwa uchungu na kulia kwa maumivu makali ya majera Bi Agnes amesema kuwa juzi majira ya saa mbili mume wake aitwaye Chacha Hamis alimkata kigaja chake na kutoroka kusiko julikana mara baada ya mwananke huyo kuchelewa kurejea nyumbani.
Bi. Agnes amesema kuwa alifika nyumbani hapo saa mbili usiku akitokea kwenye biashara yao ya duka ambayo iko katika senta kijijini hapo na alichelewa kwa sababu juzi ilikuwa ni siku ya soko hivyo wateja huwa wengi ambapo mara nyingi huwa wanachelewa hata wakati mwingine wakiwa na mume wake.

Akiendelea kuzungumza kwa majonzi ya maumivu makali amesema kuwa baada ya kufika nyumbani aliwaagiza watoto wake kumfatia unga wa muhogo kwa wifi yake ambapo watoto walimwambia kwamba wanaogopa kwani ulikuwa usiku hivyo akalazimika kubandika maji jikoni na kwenda mwenyewe.
Baada ya kutoka kwa wifi yake akiwa na unga wake alimkuta mume wake akiwa amekaa nje na panga lake mkononi ambapo alimwuliza sababu za yeye kufikia nje akiwa na panga na kuongeza kuwa mume wake alimwuliza kuwa alikuwa wapi naye akajieleza vizuri.
“ mimi nina mamba ya mwezi mmoja imenisababishia kuuchukia ugari wa mahindi ndio maana linifata mwenyewe licha ya kwamba ulikuwa usiku lakini mume wangu hakutaka kunisikiliza japo nilikuwa na unga akaanza
kunilazimisha niseme nilikuwa wapi na na nilikuwa na nani” alisema.
Akiendelea kusimulia amesema mumewe huyo aliendelea kumlazimisha kusema aliyekuwa naye ndipo atamsamehe naye bila hiyana mwanamke huyo akaamua kumtaja bwana Muhiri kijana ambaye mume huyo amekuwa akimlazimisha kuwa ni mpenzi wake baada ya kupata maneno ya watu.
Akifafanua amesema kuwa mume wake huyo aliwahi kufungwa kipindi cha vita ya koo na aliporudi uraiani watu walimwambia kwamba mke wake Bi Agnes alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na Muriri hivyo mume wake tangu hapo akamwekea kinyongo jamaa huyo ingawa anadai walikuwa wanakiiishi vizuri.
Amesema kuwa baada ya watoto wake kuona amekatwa kiganja na kiganja hicho kuruka mbali walipiga yowe hivyo watu wakakusanyika ambapo baada ya kuwa amepata fahamu alimkuta shemeji yake, wifi yake pamoja na mke mwenzake wakifanya jitihada za kupata gari kwajiri ya kumpeleka hosptali.
Licha ya Bi.Agnes kufanyiwa ulemavu wa maisha amesema kuwa akipona atarudi kwa mume wake kwa sababu akiolewa mke mwingine atanyanyasa watoto na kuongeza kuwa hawezi kupokelewa na mtu mwingine akiwa na mkono mmoja ikiwa ni pamoja na kukosa ajira yoyote akiwa katika hali hiyo.
Muuguzi wa zamu ambaye hakupenda kutajwa jina lake amesema waliokuwepo katika zamu usiku waligoma kumtibu wakitaka barua toka polisi ambapo na jana asubuhi baada ya kuona wauguzi wamembana sana
kusema ukweli alisimulia kisa kizima ambapo polisi walifika wodini hapo na kumchukuwa maelezo.
“ wifi yake alikuwa hapa alikuwa anaficha sana na ana mdomo sana lakini na sisi tukajua ni mume wake amemkata na kweli ni mume yaani matukio kama haya ni mengi sana hapa hivi ulkuwaga wapi jamani kufatilia watu wamekatwa mikono, miguu, hata wengine wawili walikuwa hapa ungewahi kidogo tu ungewakuta” alisema muuguzi huyo.
Baadhi ya wanawake walio kumbwa na sekeseke kama hili ni pamoja na Nyangi Wansama Ryoba mkazi wa Nyamongo (31) aliyekatwa mgongo na mume wake ambaye ameruhusiwa kuondoka jana na mwingine ni Deborah Lucas Jockson(38) mkazi wa Buhemba wilayani Trime ambaye amepigwa na kuumizwa vibaya maeneo ya nyonga na mbavu zake kiasi cha kutembelea upande mmoja.
Monday, July 18, 2011
ICT (Information Communication Technology) AWARENESS CAMPAIGN IN PAMBA SECONDARY SCHOOL IN MWANZA CITY.
Inter zepha Tanzania limited located in Mwanza city offers free ICT awareness in secondary schools .Inter zepha Tanzania limited dealing with ICT Solution, computer sales, Repair, maintenance, and admission (application)to study Abroad, started ICT campaign awareness in schools in Mwanza .
NDOA YA J LO NA MARC ANTHONY SASA VIPANDE VIPANDE

"We have decided to end our marriage. This was a very difficult decision. We have come to amicable conclusion on all matters," they said in a statement. "It is a painful time for all involved, and we appreciate the respect of our privacy at this time."

The couple are parents to three-year-old twins Max and Emme.
Crooner Anthony, 42, was conspicuously absent at Saturday's star-packed BAFTA Brits to Watch bash in L.A., where wife Lopez, 40, met Prince William and Duchess Kate with mom Guadalupe as her date.
Anthony and first wife Torres share sons Cristin, 10, and Ryan, 7. Lopez (who famously dated Sean Combs in addition to Affleck), had been married twice before: to restauranteur Ojani Noa (they split in 1998) and former backup dancer Cris Judd, to whom she was married from 2001 to 2003.

And as recently as January, singer, actress and American Idol judge Lopez gushed on the Ellen DeGeneres Show about being a parent with Anthony. "As soon as I had the babies, I thought to myself, 'I want to do this a thousand more times...I love this. This is life."
Sunday, July 17, 2011
ARUSHA SERENGETI FIESTA NI KUCHA & KUCHWA

picha zote na blogu ya KAJUNA