Hawa ni wasanii wa Arusha ambao wameonekana kufanya vizuri sana katika tamasha la Serengeti Fiesta 2011 ndani ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha LEO.
Wakazi wa jijini Arusha ambao wamejitokeza katika tamasha Serengeti Fiesta 2011.
Mchizan Diamond kufunika jadi yake...!!
Mkali mpya kwenye sanaa mwanada-da-da Recho..
Tamasha hili la Serengeti Fiesta 2011 lilifanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid, ni mara ya kwanza kwa tamasha hilo kufanyika uwanjani na kuhudhuriwa na watu kibao kutoka pande za mji wa Arusha.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.