Mwanamke aliyeishi hospitalini kwa miaka 45 kimakosa
-
Ni raia wa Sierra Leone anyedaiwa pia katika muda huo alifungiwa kwenye
chumba cha peke kwa miaka 25
1 hour ago
![]() |
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiwa katika picha ya pamoja yam zee Thomas Wambura Kyangombe (miaka 99) na mtoto mdogo kuliko wote walioshiriki matembezi hayo. Picha na OMR |
![]() |
BONDIA IBRAHIMU CLASS ;King Class Mawe' mwenye rekodi ya namba moja nchini Tanzania na ni namba 216 kwa Dunia amepoteza mpambano wake wa kwanza nchini namibia kwa kupigwa kwa pointi na bondia Julius Indongomwenye rekodi ya Namibia na namba moja na duiani ni namba 76 kwa ubora. |
![]() |
Weeee....!! |
![]() |
Safu ya mbele mabibi na mabwana. |
![]() |
Sistaz. |
![]() |
Sutumukaa. |
![]() |
Ngadu kwa ngudu....!! |
![]() |
Shika kamata. |
![]() |
Bass guitar. |
![]() |
Keyboardiste. |
![]() |
Vwaala |
![]() |
Kamata shikaaa. |
![]() |
Wow..na Super Kamanyola. |
![]() |
Kamatisha. |
![]() |
Burudani inaendelea toka stage la Villa Park Mwanza. Meneja Rama UpoOOoo!! |
![]() |
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Distilleries LTD,David Mgwassa (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza kuchangia kiasi cha shilingi milioni 10 kwa Mfuko wa Imetosha Foundation.Kushoto ni Balozi wa Harakati ya Imetosha,Henry Mdimu na kulia ni Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network,Joachim Mushi. |
![]() |
Balozi wa Harakati ya Imetosha,Henry Mdimu akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kwenye ukumbi wa Idara ya habari MAELEZO jijini Dar es salaam leo,wakati wa kutangaza matembezi ya hisani yatakayofanyika Machi 29 kwenye Viwanja vya Leaders Club,jijini Dar es salaam na kuongozwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mh. Mathius Chikawe.Wengine pichani toka kulia ni Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network,Joachim Mushi,Katibu wa Harakati ya Imetosha,Salome Gregory pamoja na Mwanamuziki Mkongwe nchini,Jhiko Manyika "Jhikoman". |
![]() |
Sehemu ya Wajumbe wa Harakati ya Imetosha waliofika kwenye Mkutano na Waandishi wa habari kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es salaam,wakiwa kwenye picha ya pamoja. |