ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, April 25, 2014

JOE MAKINI KUPAMBA SHINDANO: TIMU ZA POOL VYUO VYA MWANZA WAKABIDHIWA JEZI NA SAFARI LAGER.








Msanii wa nyimbo za kizazi kipya, Joh Makini (Mwamba wa Kaskazini) akiwa kwenye mahojiano ya Live Metro Fm Redio kuhusu fainali za Safari Higher Learning Pool Competition 2014 katika Ukumbi wa Shooters Pub jioni ya leo kuanzia saa mbili jiaoni.Kushoto kwake ni Mneja matukio Kanda ya ZiWA , Erick Mwayela na Katibu wa chama cha Pool Mwanza.
Wakiwa kwenye mahojiano ya Live Metro Fm.
On air Live Metro Fm
Sasa ni mahojiano katika kituo kingine cha Radio Passion Fm Mwanza, kuhusu burudani na fainali za Safari Higher Learning Pool Competition 2014 katika Ukumbi wa Shooters Pub jioni ya leo kuanzia saa mbili jiaoni kushoto ni mtangazaji Philbert Kabago na kulia ni Joh Makini.

PSPF YAKABIDHI COMPUTER 10 KUTATUA KERO ZA UKOSEFU WA VIFAA VYA TAALUMA CHUO CHA BUTIMBA.

Mkurugenzi wa Mfuko wa Hifadhi ya jamii wa PSPF Adam Mayingu akizungumza na wahitimu wa Stashahada ya ualimu katika chuo cha ualimu Butimba (TTC) kilichopo mkoani Mwanza mkurugenzi huyo vilevile amewashauri wahitimu wa fani hiyo kujiunga na mifuko ya hidadhi ya jamii ili waweze kujiwekea akiba ya baadaye.
"Utendaji wa sasa unaohitajika kwa sasa ni ule unaozingatia utaalamu, mnatakiwa muwe wabunifu mfuate sheria na taratibu mbalimbali zinazo ongoza kada hii ya ualimu" alisema Mayingu.
Wahitimu wa chuo cha Ualimu Butimba jijini Mwanza wakiwa wamebeba Computer zipatazo kumi walizokabidhiwa na Mkurugenzi wa Mfuko wa Hifadhi ya jamii wa PSPF Adam Mayingu ikiwa ni mchango wa mfuko huo kwa kituo hicho cha elimu kukabiliana na changamoto ya vitendea kazi kwa mawasiliano.
Mkurugenzi wa Mfuko wa Hifadhi ya jamii wa PSPF Adam Mayingu (wanne kutoka kulia) akikabidhi Mkuu wa chuo cha ualimu Butimba John Moleli  Computer 10, zitumike kukabiliana na changamoto ya vitendea kazi kwa mawasiliano.
Mkuu wa chuo cha ualimu Butimba John Moleli akizungumza na umma uliofurika kwenye maafali ya 79 ya Chuo cha Ualimu Butimba mkoani  Mwanza, ambapo jumla ya wahitimu 350 wakiwa ni walimu wa sayansi, Michezo, sanaa na maigizo pamoja na Sayansi jamii wamehitimu katika chuo hiki. 
Risala ya wahitimu.
Wanafunzi wa moja ya shule za msingi katika la jirani wakishiriki kusherehesha kusanyiko la maafali ya 79 Chuo cha Ualimu Butimba.
Ndani ya Chuo cha Ualimu Butimba kuna fani mbalimbali na hapa sanaa ilikuwa ikionyeshwa kama sehemu ya burudani.
Uwasilishaji kama ada na tamaduni.
Waalimu wahitimu wa fani ya Sanaa, Michezona Maigizo waliketi hapa
Waalimu wahitimu wa Sayansi waliketi hapa.
Walimu wahitimu wa Sayansi jamii walimu wa Art waliketi hapa.
Ni msafara wa wahitimu.
Muonekano toka pande hii.
Parade la wahitimu.
Wanasa matukio tukioni.

IPATE PICHA YA EASTER BONANZA NDANI YA CLUB JEMBE MWANZA.

Mpango mzima wa shangwe za Easter Bonanza na Skylight Beach resort Mwanza.
Motto.
Le Guitar de Sololiste.
Mose Kinanda.
Meza ya Frendz.
Sam Mapenzi akituzwa na shabiki wake. 
Dj Frank na meza yake.
Wadau wa Skylight Mwanza Salvin (L) na Snake Fey (R). 
The colour from the stage.
Mafashonista...
Azonto thing.
AKA 47 Aneth Kushaba.
BomBombastic!!
DoktaZ!!
Smash...off.
Skelewu!!
'Kibega style'
Moss - Moss!
BrotherZ n' Sis!!
Nashiru!!
Only Champs.
We Brothers.
Wotsup!!
Area full of colour.