Msanii wa
nyimbo za kizazi kipya, Joh Makini (Mwamba wa Kaskazini) akiwa kwenye mahojiano
ya Live Metro Fm Redio kuhusu fainali za Safari Higher Learning Pool
Competition 2014 katika Ukumbi wa Shooters Pub jioni ya leo kuanzia saa mbili
jiaoni.Kushoto kwake ni Mneja matukio Kanda ya ZiWA , Erick Mwayela na Katibu
wa chama cha Pool Mwanza.
Wakiwa
kwenye mahojiano ya Live Metro Fm.
On air Live Metro Fm
Sasa ni mahojiano katika kituo kingine cha Radio Passion Fm Mwanza, kuhusu burudani na fainali za Safari Higher Learning Pool Competition 2014 katika Ukumbi wa Shooters Pub jioni ya leo kuanzia saa mbili jiaoni kushoto ni mtangazaji Philbert Kabago na kulia ni Joh Makini.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment