Msanii wa
nyimbo za kizazi kipya, Joh Makini (Mwamba wa Kaskazini) akiwa kwenye mahojiano
ya Live Metro Fm Redio kuhusu fainali za Safari Higher Learning Pool
Competition 2014 katika Ukumbi wa Shooters Pub jioni ya leo kuanzia saa mbili
jiaoni.Kushoto kwake ni Mneja matukio Kanda ya ZiWA , Erick Mwayela na Katibu
wa chama cha Pool Mwanza.
Wakiwa
kwenye mahojiano ya Live Metro Fm.
On air Live Metro Fm
Sasa ni mahojiano katika kituo kingine cha Radio Passion Fm Mwanza, kuhusu burudani na fainali za Safari Higher Learning Pool Competition 2014 katika Ukumbi wa Shooters Pub jioni ya leo kuanzia saa mbili jiaoni kushoto ni mtangazaji Philbert Kabago na kulia ni Joh Makini.
WAZIRI SANGU: MADEREVA 800 WAAJILIWA QATAR
-
Na. OWM-KAM, Dar es Salaam
Serikali ya Awamu ya Sita imesema inajivunia ushirikiano wa kidugu ulipo
kati yake na Taifa la Qatar ambao umesaidia kukuza dip...
WAZIRI SANGU: MADEREVA 800 WAAJILIWA QATAR
-
Na. OWM-KAM, Dar es Salaam
Serikali ya Awamu ya Sita imesema inajivunia ushirikiano wa kidugu ulipo
kati yake na Taifa la Qatar ambao umesaidia kukuza...
Benki ya Absa Tanzania yang'ara tuzo za NBAA
-
Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Laurent Luswetila ( kulia),
akikabidhi tuzo ya mshindi wa pili wa Uwasilishaji Bora wa Taarifa za Fedha...
0 comments:
Post a Comment