HABARI ZA KUREJESHWA ULINGONI KWA MGOMBEA WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA NYAMAGANA ZIMEONEKANA KUWAGUSA WATU WENGI NA KUWA GUMZO KATIKA KILA KONA YA JIJI LA MWANZA
SASA WAPIGA KURA WA JIMBO HILO NAO WATAKUWA NA SANDUKU LA UBUNGE VITUONI OCTOBA 31, BAADA YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUTENGUA UAMUZI WA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI WA JIMBO HILO BW. WILSON KABWE ULIOKUWA UMEMPA USHINDI WA MEZANI WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI BW LAWRENCE KEGO MASHA(40).
MASHA TOKA CCM ALIPATA USHINDI HUO BAADA YA KABWE KUKUBALI PINGAMIZI LAKE DHIDI YA MPINZANI WAKE PEKEE EZEKIEL DIBOGO WENJE (32) WA CHADEMA .
BAADA YA MUDA WA WAGOMBEA KUREJESHA FOMU KWA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI KUMALIZIKA NA MUDA WA KUWEKA PINGAMIZI KUWADIA BW MASHA AMBAYE WIZARA YAKE NDIYO YENYE DHAMANA YA MASUALA YA URAIA ALIMWEKEA PINGAMIZI WENJE AKIDAI KUWA HAKUWA RAIA WA TANZANIA KWA MUJIBU WA SHERIA ZA UHAMIAJI WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI NDIYE MWENYE UWEZO WA KUMPA AU KUMNYANG’ANYA MTU URAIA WA TANZANIA. HALI ILIYOTAFSIRIWA NA MGOMBEA HUYO WA CHADEMA KAMA KWAMBA MGOMBEA HUYO WA CCM ALIKUWA AMEAMUA KUTUMIA MAMLAKA YAKE YA UWAZIRI KUMVUA URAIA NA HIVYO KUMUONDOA KWENYE UGOMBEA, NDIPO BW. WENJE ALIPOAMUA KUKATA RUFAA KWENYE TUME YA UCHAGUZI KUDAI HAKI YAKE YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBONI NYAMAGANA .
BW. WENJE ALIZALIWA OCTOBER 2, 1978 WILAYANI ROLYA KATIKA MKOA WA MARA NA VIONGOZI NA WAZEE WA KATA YA MKOMA WILAYANI HUMO WALITHIBITISHA KUWA KIJANA HUYON NI MZAWA WA KATA HIYO NA NI RAIA HALISI WA TANZANIA.
ALIPOKUWA AKIHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI KWENYE UWANJA WA CCM KIRUMBA HIVI KARIBUNI DR. KIKWETE ALISEMA ALIMTAMBULISHA BW. MASHA ALIKUWA AMEPITA BILA KUPINGWA “BAADA YA MPINZANI WAKE KUJICHANGANYA MWENYEWE” HALI INAYOTAFSIRIWA NA WENGI KUWA RAIS HAKUWA AMEELEZWA VIZURI KUHUSU NAMNA HASA MGOMBEA HUYO WA CHADEMA ALIVYOKUWA AMEENGULIWA KWA KUTUMIA RUNGU LA URAIA.
KILA LA KHERI KWA WAGOMBEA WOTE WAWILI TUKUTANE OCTOBER 31 2010.
Kaka Sengo vp pole na mihangaiko katika maisha mwana,nimependa sana jinsi ulivyoweza kuchangia na kutetea njia za mawasiliano asubuhi ya leo Star TV.
Ebwana mimi naitwa Augustine Mgendi ni mwana habari na mtangazaji wa Victoria fm ya mjini Musoma,nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa blog yako lakini sasa nakueleza kuwa nami nimefungua yangu inaitwa www.mwanawaafrika.blogspot.com.Ningependa wadau wafahamu blog hii kupitia blog yako kaka Katika picha hiyo nipo na mwalimu wangu aliyenifundisha katika chuo cha habari ROYAL COLLEGE OF TANZANIA wiki iliyopita jijini Dar es Salaam na hivi sasa niko Musoma
KILE KISIKI CHA ULE MTI WENYE HISTORIA ULIOKUWA UKITUMIKA ENZI ZA UKOLONI KUNYONGEA WATU WALIOKUWA WAKIENDA KINYUME NA KANUNI NA SHERIA ZA UTAWALA WA ENZI HIZO, KISIKI HICHO KIKO KWENYE UKARABATI, KIKIPAKWA RANGI KUWA NA MUONEKANO WA KISANAA ZAIDI ILIKIPATE KUFANYWA SEHEMU YA KUMBUKUMBU YA HISTORIA HIYO NA KIVUTIO KWA UTALII.
FUNDI AKITIA NAKSHI KATIKA KISIKI HICHO.
ENZI HIZO ENEO LA MTI HUU LILIKUWA LA KUOGOFYA SANA NA LILIKUWA LIKIHESHIMIWA NA WATU WOTE.
KISIKI CHA MTI HUU AINA YA MNIRA KINACHO PATIKANA KATIKATI YA JIJI LA MWANZA KATIKA KIPITA SHOTO CHA KARIBU NA ENEO LA BENKI KUU NA JENGO LA MAKAO MAKUU YA CCM MJINI HAPA, SIFA ZAKE MTI HUU ENZI ZA UHAI WAKE ULIKUWA MPANA NA WENYE MATAWI YALIYO IMARA, YASIYO RAHISI KUKATIKA YENYE UWEZO WA KUNING'INIZA KITU CHOCHOTE CHA UZITO WOWOTE. KUTOKANA NA USHIRIKI WAKE KATIKA KUMWAGA DAMU ZA NDUGU ZETU NA KUTOA ROHO ZA WATU WENGI, ENEO HILI LINASADIKIKA KUWA NA MAMBO YA KIMAZINGIRA.
SASA WAWEZA KUPATA UHONDO MWINGINE KWENYE LUNINGA YAKO MARA BADA YA KIPINDI KINGINE KUTUMBUKIZWA RASMI KATIKA RATIBA YA VIPINDI NDANI YA CLOUDS TV KIPINDI CHAITWA 'KAMBI POPOTE' KIPINDI AMBACHO RASMI KUANZIA JANA USIKU KIMEANZA KWENDA HEWANI, CHUNGUZA MJOMBA UTABAINI.
MTANGAZAJI WA KIPINDI CHA KAMBI POPOTE, ANTONIO NUGAZ AKIWASHUKURU WAGENI WAALIKWA MBALIMBALI WALIOFIKA USIKU HUO KWENYE UZINDUZI WA KIPINDI HICHO, NA KWAMBA SHUGHULI HIYO NDO INAKOMEA HAPO USIKU HUO... AKSANTENI NA TUONANE LUNINGANI'
WAGENI WAALIKWA PAMOJA NA BAADHI YA WAFANYAKAZI WA CLOUDS MEDIA GROUP WAKIWA TAYARI KUANZA KUUSHUHUDIA UZINDUZI HUO ULIOFANA USIKU WA JANA. HAPA NDIPO MAHALA PA SHUGHULI.
KWA YALIYOJIRI TEMBELEA www.michuzijr.blogspot.com
TWALIITA SANDUKU LA MAONI. WE UNATUMBUKIZA TU!!! HIVI UMESHAWAHI KUJIULIZA KUWA NI NANI ANAYE FUNGUA MASANDUKU HAYA KATIKA VITUO MBALIMBALI VYA HUDUMA MARA BAADA YA SIE WADAU KUTUMBUKIZA MAONI YETU? MAANA KAMA NI MAONI, KERO NYINGI TUNAZIWASILISHA HUMU LAKINI MAMBO NI YALE YALE. AU TUUNDE TUME?
KUNA KIPINDI MIFEREJI YA SOKO KUU LA MWANZA ILIZIBA, DHAHMA YA HARUFU KALI IKAWAGEUKIA WATEJA NA WAMILIKI WENYE MADUKA YANAYO ZUNGUKA SOKO HILO. KWA UCHAFU HUU! ETI TWAILAUMU HALMASHAURI YETU WAKATI WACHAWI NI SIE WENYEWE!!
KITU CHA BEGANIzz. Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA),Mama Salma Kikwete akimtambulisha mgombea Ubunge kupitia CCM Kondoa Mashariki Mkoa wa Singida,Bw.John Lwaji leo mjini humo.Mama Salma yupo mkoani Singida kuwahamasisha wanachama wa UWT kuhusu uchaguzi utakaofanyika hivi karibini mwaka huu.
KITU CHA BEGANIzz. Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM, Yusuph Nasir (kushoto) akiwa na mwenyekiti wa CCM wakati wa uzinduzi wa kampeni za CCM katika jimbo la Korogwe mji uliofanyika katika uwanja wa shule ya msingi Mazoezi Korogwe.
YU PRESENTER MAHIRI NDANI YA CLOUDS MEDIA, DJ PEKEE WA KIKE ANAYEKIMBIZA BONGO, MPOLE, ANAPENDA KUJIFUNZA, HANA MAJIVUNO ILA UKIMZINGUA HAKOPESHI KUKUPA TRUE! WANAMWITA FENHE! MIE NAMWITA:::- 'SWAG ON SMART SIS' TAREHE YA LEO AUGUST 31 2010 ANASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA NA FOOTBALLER KALI REMMY ONGALLA MWINGINE NI ACTOR AMBAYE VILE VILE YU COMEDIAN CHRIS TUCKER RAIA WA MAREKANI, ALIYEZALIWA 1972 MKALI WA FILAMU KAMA MONEY TALKS, FRIDAY, RUSH HOUR NA NYINGINE KIBAO.
"HAPPYBORZDEI TU YU FATMA HASSAN!!!" !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!-WAWIWO-!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
MAONESHO YA 5 YA BIASHARA YA AFRIKA MASHARIKI NDIYO HIVYOO YAMEKWISHAANZA TAREHE 27/8/2010 KTK VIWANJA VYA 7/7 ILEMELA YANATAZAMIWA KUMALIZIKA TRH 5/9. KAMA BADO HUJATEMBELEA, HUJACHELEWA.
TOFAUTI NA MIAKA ILIYOPITA, SAFARI HII UKITEMBELEA VIWANJA HIVYO UTAJIONEA MPANGILIO MZURI ULIO MADHUBUTI WA MABANDA YA MAONESHO YALIYOSHEHENI BIDHAA NA HUDUMA MBALIMBALI ZA WAJASILIAMALI TOKA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI, HATA MATAIFA YA MBALI.
BANDA LA COLGATE NA WADAU WAKE.
MTEJA ALIYEJISHINDIA ZAWADI YA T SHIRT BAADA YA KUNUNUA BIDHAA AKIPEWA MAELEKEZO YA UTUMIAJI.
KATIKATI NI MKURUGENZI WA CHUO BW. MAJDI IGANGULA. TEMBELEA BANDA LA CHUO CHA IGANS COMPUTING CENTRE UJIONEE HARAKATI ZA CHUO HIKI KATIKA KUPIKA WANATECHNOHAMA NA TARATIBU ZOTE JINSI YA KUJIUNGA.
MOJA KATI YA WATOA MAELEZO WA BANDA LA IGANS COMPUTING CENTRE.
BANDA LA IGANS LIKO KATIKATI YA BANDA LA KBC BANK NA MONTE JUICE TEMBELEA UPATE MAARIFA.
DAWA ZA KINGA NA UTUNZAJI WA MENO NI KATIKA BANDA LA DFP VIWANJANI HUMO.
MICHEZO YA WATOTO NA BIDHAA TOKA CHINA, MISRI, ZIMBABWE, RWANDA NA BURUNDI NAZO ZINAPATIKANA.
WALE WATAALAM WA UJENZI WA BARABARA NA NYUMBA NYANZA ROAD WORKS LTD BANDA LAO HILI HAPA.
MAMBO YA SOFAz NAYO NDANI!
BIDHAA KWA AJILI YA AKINA DADA NA AKINA MAMA KUJIWEKA FRESH, UREMBO, BIDHAA KWA SALUNI JUMLA NA REJA REJA NA HATA HUDUMA YA KUREMBESHWA VYOTE VYAPATIKANA KWANI SALUNI IPO HAPA HAPA KATIKA BANDA LA MOVIT.
MTEJA AKI ISIKILIZIA LADHA YA PEPTANG JUICE, KUONJA NI BURE.
KAMA TUSIPOCHUKUWA HATUA WALAH TUTAKUJA KULAUMIWA NA WAJUKUU ZETU!
WANASIASA SIASA ZIMEKUWA MINGI. SIHITAJI KUONGEA MAMBO MENGI ILA HABARI NDIYO HIYO! NAONA KAMA WAMESHATUELEMEA NA HATUJUI TUFANYEJE, SANDUKU LA KURA LIMESHATENGENEZWA, KARATASI TAYARI ZIMEANDALIWA, TULIKUWA TUNAZUNGUMZIA MIAKA HATIMAYE MWAKA NA SASA ZIMESALIA SIKU KADHAA MJOMBA:- TAMATI UCHAGUZI HUO! NA SI MBALI SANA (hesabu siku).
TUKISHINDWA KUPANGA SAFU NZURI SASA, NAAPA TUTAKUJA KUJUTA NA WAJUKUU ZETU WATAALAM KIZAZI HIKI KWA MAOMBI. Watatuona mandondocha! TUNA UWEZO WA KUAMUA MAPEMA, KAZI KWENU WADAU.... SOME DAYS TO GO! WANANCHI WAKIKAGUA VICHWA MBALIMBALI VYA HABARI MAGAZETINI KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI.
DJ Steve kicked off his set with an introductory set dedicated to the Housemates. They all ran towards the Glass House to see who would be DJ'ing tonight. Sheila was excited when she realised it was a DJ from close to her home country and started dancing in time to the tunes blaring over the speakers.
Jen and Meryl soon joined her on the dance floor and soon, everyone had made their way to the front and were dancing up a storm to DJ Steve's Hip-Hop tunes. Paloma also danced a tad but then decided to watch the action from the sidelines, but was soon back as soon as she heard her favourite Ragga tune.
In the Barn, the excitement was tangible with Hannington and Tatiana perched on what seems to be their favourite spot, on top of each other on the dining room table. Lerato and Yacob also looked like they were getting along famously and found a corner where they got their groove on.
Yacob, famed for not having any rhythm, seemed to forget about this fact and moved to the beat and almost pushed Lerato off the table. He took off his jacket and revealed a tattoo on each arm. Back in the house, the Housemates, led by Sheila wrote down some of their requests using lipstick on the Glass House window.
Jen and Meryl, who had very little on, led the troupe and wiggled and gyrated in time to the sounds. This week you could vote to keep either Munya or Sheila in the BB All Stars House! How? You can vote in four different ways to save your favourite Housemate.
MGENI RASMI AKIZINDUA TOLEO LA KWANZA ALBUM NKOMOJI YAKE MAGRETH SHAPPY SHITUNGULU KATIKA VIWANJA VYA COCA COLA IGOMA JIJINI MWANZA. UZINDUZI ULIO FANYIKA JANA NAKUFANA SANA.
WANA WA MUNGU HAWA WANAITWA MWANZA SINGERS NAO WALIKUWEPO KSINDIKIZA UZINDUZI HUO.
WAIMBAJI MUUNGANO CHOIR.
MUUNGANO IGOMA CHOIR PATY 2.
SEHEMU YA UMATI WA WATU WALIOFURIKA VIWANJANI HAPO KUSHUHUDIA UZINDUZI HUO.
MEZA KUU YA WADAU WA INJILI.
AIC IGOMA NAO WALING'AA HASWAA!!!
MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI AMBAYE VILEVILE YU MTANGAZAJI WA LIVING WATER FM KIJANA MAHIRI FABIAN FANUEL NA KUNDI LAKE WAKISISIMUA UMATI. MWIMBAJI HUYU AMENIHABARISHA KUWA HIVI KARIBUNI ATA KUZINDUA ALBUM YAKE. LINI? WAPI? PLIz ENDELEA KUFUATILIA.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...