SASA WAWEZA KUPATA UHONDO MWINGINE KWENYE LUNINGA YAKO MARA BADA YA KIPINDI KINGINE KUTUMBUKIZWA RASMI KATIKA RATIBA YA VIPINDI NDANI YA CLOUDS TV KIPINDI CHAITWA 'KAMBI POPOTE' KIPINDI AMBACHO RASMI KUANZIA JANA USIKU KIMEANZA KWENDA HEWANI, CHUNGUZA MJOMBA UTABAINI.
MTANGAZAJI WA KIPINDI CHA KAMBI POPOTE, ANTONIO NUGAZ AKIWASHUKURU WAGENI WAALIKWA MBALIMBALI WALIOFIKA USIKU HUO KWENYE UZINDUZI WA KIPINDI HICHO, NA KWAMBA SHUGHULI HIYO NDO INAKOMEA HAPO USIKU HUO... AKSANTENI NA TUONANE LUNINGANI'
WAGENI WAALIKWA PAMOJA NA BAADHI YA WAFANYAKAZI WA CLOUDS MEDIA GROUP WAKIWA TAYARI KUANZA KUUSHUHUDIA UZINDUZI HUO ULIOFANA USIKU WA JANA. HAPA NDIPO MAHALA PA SHUGHULI.
KWA YALIYOJIRI TEMBELEA www.michuzijr.blogspot.com
RAIS SAMIA AZINDUA JENGO LA TRA MKOA WA SIMIYU
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dk. Samia Suluhu Hassan leo
tarehe 16.06.2025 amezindua jengo la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa
wa Simiy...
WAACHENI WATOTO WAENDE SHULE- RAIS SAMIA
-
Na John Mapepele -OR TAMISEMI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt. Samia Suluhu Hassan
amewataka wazazi nchini kuwaachia watoto wa kike kus...
Mahakama yabariki Lissu kujitetea kesi ya uhaini
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.*
*MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemruhusu Mwenyekiti wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ku...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.