KITU CHA BEGANIzz. Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA),Mama Salma Kikwete akimtambulisha mgombea Ubunge kupitia CCM Kondoa Mashariki Mkoa wa Singida,Bw.John Lwaji leo mjini humo.Mama Salma yupo mkoani Singida kuwahamasisha wanachama wa UWT kuhusu uchaguzi utakaofanyika hivi karibini mwaka huu.
KITU CHA BEGANIzz. Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM, Yusuph Nasir (kushoto) akiwa na mwenyekiti wa CCM wakati wa uzinduzi wa kampeni za CCM katika jimbo la Korogwe mji uliofanyika katika uwanja wa shule ya msingi Mazoezi Korogwe.
MHASIBU SUA AJITOSA UBUNGE JIMBO LA SAME MASHARIKI
-
*Kada wa Chama cha Mapinduzi, CPA (T) Ruth Hassani akisaini kitabu.Kada wa
Chama cha Mapinduzi, CPA (T) Ruth Hassani ametia nia ya kuwania kuteuliwa
na C...
MTATURU ACHUKUA FOMU JIMBO LA IKUNGI MASHARIKI.
-
*Mbunge wa Singida Mashariki,Miraji Mtaturu amechukua fomu ya kuomba ridhaa
ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia jimbo...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.