Ebwana mimi naitwa Augustine Mgendi ni mwana habari na mtangazaji wa Victoria fm ya mjini Musoma,nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa blog yako lakini sasa nakueleza kuwa nami nimefungua yangu inaitwa www.mwanawaafrika.blogspot.com.Ningependa wadau wafahamu blog hii kupitia blog yako kaka
Kazi njema mwanaaaaaaaaaaa
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.