Usimchukulie powa!! Ni Mwanahabari mahiri katika uandishi wa makala na habari, long time katika gemu anaitwa Selemani Bitala, katoka ki-kadzyo aka simple kwaajili ya wekeend, anaronga kuwa aamevaa kizungu kuikaribisha wikiendi.
Wakibariz mdogo-mdogo pichani ni Mr. Vodacom Fred Fidelis aka 'Freduor' (fredwaaa) akiwa na Mr. Big Brother wa Radio Free Afrika Mwanza. Swali: Jeh! hapo mezani ni maji tu na vyoda au mixa?
BALOZI NCHIMBI AFUNGA KAZI RUVUMA
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John
Nchimbi, amehitimisha ziara yake ya siku tano mkoani Ruvuma, akisisitiza
kuwa CCM itaen...
BALOZI NCHIMBI AFUNGA KAZI RUVUMA
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John
Nchimbi, amehitimisha ziara yake ya siku tano mkoani Ruvuma, akisisitiza
kuwa CCM itaen...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.