Mtangazaji wa Clouds Fm 88.4 katika kipindi cha Power Breakfast (wa pili kulia) akichangia furaha pamoja na wapiganaji wenzake mara baada ya kupata nondoz ya Mass Communication kutoka katika chuo cha Tumaini, Dar es Salaam. Mahafari yalifanyika ijumaa Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment