MABINGWA watetezi, Yanga SC wamelazimishwa sare ya bila mabao na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku wa Jumapili ya tarehe 15 Machi 2026, Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Kwa matokeo hayo, Yanga SC inafikisha pointi 36 na kuendelea kuongoza Ligi Kuu ikifuatiwa na Azam FC yenye pointi 28 baada ya timu zote kucheza mechi 14.
Tupe maoni yako

0 comments:
Post a Comment