JAPO KWA ENGO NA FAIDA ZAKE KARIBU, UVINJARI ENEO PATAKAPOPIGWA FIESTA USIKU 2010.
LUGHA YA KWANZA YA MTANZANIA ALIYEJUA KINGEREZA JE! UMEEELEWA AU UMETOKA KAPA? CHUNGUZA MJOMBA UTABAINI.
KABATI LILILOSHEHENI MEDALI MBALIMBALI ZA HESHIMA KTK MICHEZO WALIZOTUNUKIWA WANACHAMA WA YATCH MWANZA.
SAMBAMBA NA MWONEKANO MZURI NYAKATI ZA USIKU, WATU HUPENDA HUKETI MAHALA HAPA KUPATA KIBARIDI TULIIIIVU TOKA ZIWANI.
UWAPO YATCH CLUB MWANZA NI UTALII TOSHA, MACHO YAKO YANA RUKSA KUVINJARI NA KUJIONEA SHUGHULI MBALIMBALI ZIFANYIKAZO NDANI YA SEHEMU YA ZIWA VICTORIA, IWE USIKU IWE MCHANA SHUGHULI ZA UVUVI HUCHUKUA NAFASI.
MWISHO WA SIKU KULEEEE! PEMBENI HIVI KWA WAVUVI, NIKAJICHUKULIA DAGAA FRESH KWA AJILI YA MLO MURRA! JIPANGUSEEEEE-Rrrrraaaaa!
Hivi jamani ninyi watu wa clouds lini mtakuwa wastaarabu ??? hakuna pengine pakufanyia mafiesta yenu mpaka muje kutubugudhi kwa makelele ya sauti nzito zisizo na maana? mbona morogoro imefana na mulifanyia uwanjani? ama ni katika hali ya kutaka kumuipress Joe na wapambe wake? lazima tutachukuwa hatua musiendelee kutupigia makelele watu wa eneo hili. nendeni CCM kirumba si panawatoshaaaa
SERIKALI YAAHIDI KUBORESHA MIUNDOMBINU KING LION
-
Prof.Mkumbo katikati akisikiliza maelekezo kutoka kwa Meneja wa King Lion
Arnold Lyimo.
Waziri Mkumbo akiwa kwenye picha ya pamoja na wawekezaji wa ...
SERIKALI YAAHIDI KUBORESHA MIUNDOMBINU KING LION
-
Prof.Mkumbo katikati akisikiliza maelekezo kutoka kwa Meneja wa King Lion
Arnold Lyimo.
Waziri Mkumbo akiwa kwenye picha ya pamoja na wawekezaji wa ...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
Hivi jamani ninyi watu wa clouds lini mtakuwa wastaarabu ??? hakuna pengine pakufanyia mafiesta yenu mpaka muje kutubugudhi kwa makelele ya sauti nzito zisizo na maana? mbona morogoro imefana na mulifanyia uwanjani? ama ni katika hali ya kutaka kumuipress Joe na wapambe wake? lazima tutachukuwa hatua musiendelee kutupigia makelele watu wa eneo hili. nendeni CCM kirumba si panawatoshaaaa
ReplyDelete