MARA BAADA YA SHUGHULI PEVU YA KUTABIRI VYEMA USHINDI WA MICHEZO NANE YA KOMBE LA DUNIA PAMOJA NA ILE YA FAINALI. PWEZA PAUL MWENYE MIAKA MIWILI NI WAKATI KWAKE KUTENGENEZA FEDHA KWANI LICHA YA KUGOMBEWA NA NCHI KADHAA JUU YA URAIA WAKE, PWEZA HUYO AMEKUWA AKIHITAJIKA KUDHURU KASRI ZA NCHI MBALIMBALI KWA KIWANGO CHOCHOTE CHA PESA.
WATU WENGI HUSUSANI WACHEZA KAMALI WALIKUWA WAKIWEKA FEDHA KATIKA KAMALI MARA BAADA YA KUSIKIA UTABIRI WA PWEZA HUYO WA UJERUMANI ANASEMA NINI ILI NAO WATABIRI NAYE. NI AJABU LAKINI AMEKUWA AKIPATIA KILA SIKU.
SERIKALI YAAHIDI KUBORESHA MIUNDOMBINU KING LION
-
Prof.Mkumbo katikati akisikiliza maelekezo kutoka kwa Meneja wa King Lion
Arnold Lyimo.
Waziri Mkumbo akiwa kwenye picha ya pamoja na wawekezaji wa ...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.