MARA BAADA YA SHUGHULI PEVU YA KUTABIRI VYEMA USHINDI WA MICHEZO NANE YA KOMBE LA DUNIA PAMOJA NA ILE YA FAINALI. PWEZA PAUL MWENYE MIAKA MIWILI NI WAKATI KWAKE KUTENGENEZA FEDHA KWANI LICHA YA KUGOMBEWA NA NCHI KADHAA JUU YA URAIA WAKE, PWEZA HUYO AMEKUWA AKIHITAJIKA KUDHURU KASRI ZA NCHI MBALIMBALI KWA KIWANGO CHOCHOTE CHA PESA.
WATU WENGI HUSUSANI WACHEZA KAMALI WALIKUWA WAKIWEKA FEDHA KATIKA KAMALI MARA BAADA YA KUSIKIA UTABIRI WA PWEZA HUYO WA UJERUMANI ANASEMA NINI ILI NAO WATABIRI NAYE. NI AJABU LAKINI AMEKUWA AKIPATIA KILA SIKU.
Diwani awawashia moto wanaomtukana Rais Samia
-
Na Woinde Shizza ,moshi
Diwani wa kata ya boma mbuzi Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, Juma Rahibu,
amewajia juu baadhi ya Watanzania wanaomkashifu na kum...
RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA
-
*Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ametoa muda wa wiki
mbili kwa uongozi wa wafanyabiashara wadogo maarufu kama machinga eneo la
kariako...
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO CHA NEC
-
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya
CCM Ta...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.