ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, October 3, 2019

DC Misungwi kuratibu zoezi la kufufua kiwanda cha Pamba Manawa

Naibu Waziri wa Kilimo, Husseis Bashe (wa pili kulia) akiwa pamoja na viongozi mbalimbali akiwemo Mkuu wa Wilaya Misungwi mkoani Mwanza, Juma Sweda (kulia) kukagua sehemu ya mitambo ya kiwanda cha kuchakata pamba Manawa kilichopo Kata ya Misasi wilayani Misungwi.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
 Septemba 27, 2019 Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe alitembelea kiwanda hiki 
 Mwonekano wa baadhi ya mitambo katika kiwanda cha kuchakata pamba Manawa kilichopo wilayani Misungwi ambacho tangu mwaka 2014 kilisitisha shughuli zake.
Tazama BMG Online TV hapa chini

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.