Mchezaji wa Simba, Uhuru Selemani akinyanyua juu ngao ya hisani mara baada ya kukabidhiwa rasmi katika mchezo wa ngao ya hisani, uliofanyika kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es salaam jana usiku.
Hapa ni raha ya ushindi wakisakata mayenu kutoka kulia tena ni Victor Costa, Uhuru Selemani, Felix Sunzu na Juma K. Juma. Mmmmmh!... FULLSHANGWE
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.