ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, August 18, 2011

HAPA NA PALE PANDE ZA ARUSHA

Mtaani kwetu.

Bar ya Ngiwaranecha inayopatikana levolosi jijini Arusha moja kati ya maeneo maarufu kwa firigisi.

Stendi ndogo ya Vifodi arachuga.

Huduma zinazopatikana ndiyo hizi.. Stendi ya Vifodi.

Mitaa ya magoro' Kambi ya Fisi.

Tupe maoni yako

2 comments:

  1. hoyaaa Sengo!

    Unakumbushia mitaa ya home tu? Mbona ujapiga picha shule ya Ngarenaro na Levolosi? na Kanisa la Babu je?

    Hata NHC nyuma ya kanisa la Babu pls, na Pale maeneo ya kwa washa magari idara ya maji

    Shukrani kwa kutukumbushia AR tumeimiss sio mchezo!

    ReplyDelete
  2. asante sana kaka kwakutuwekea picha za Arusha na vitongoji vyake maeneo hayo nilikuwa natembelea sana kipindi naishi TZ endelea kutuwekea picha zaidi za maeneo ya Arusha nimefurahi sana kuona hizi picha zimenikumbusha nyumbani sana ubarikiwe sana kaka gsengo

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.