asante sana kaka kwakutuwekea picha za Arusha na vitongoji vyake maeneo hayo nilikuwa natembelea sana kipindi naishi TZ endelea kutuwekea picha zaidi za maeneo ya Arusha nimefurahi sana kuona hizi picha zimenikumbusha nyumbani sana ubarikiwe sana kaka gsengo
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
hoyaaa Sengo!
ReplyDeleteUnakumbushia mitaa ya home tu? Mbona ujapiga picha shule ya Ngarenaro na Levolosi? na Kanisa la Babu je?
Hata NHC nyuma ya kanisa la Babu pls, na Pale maeneo ya kwa washa magari idara ya maji
Shukrani kwa kutukumbushia AR tumeimiss sio mchezo!
asante sana kaka kwakutuwekea picha za Arusha na vitongoji vyake maeneo hayo nilikuwa natembelea sana kipindi naishi TZ endelea kutuwekea picha zaidi za maeneo ya Arusha nimefurahi sana kuona hizi picha zimenikumbusha nyumbani sana ubarikiwe sana kaka gsengo
ReplyDelete