Wakufunzi wawili wa soka toka Club ya Arsenal ya London nchini Uingereza wamewasili jana jioni majira ya saa 1:30 jijini Mwanza kwaajili ya kutoa mafunzo kwa timu za soka za vijana wadogo wenye umri wa miaka 17 kwenda chini.
Wakijiandaa kwaajili ya mahojianao mafupi uwanja wa ndege Mwanza.
Wakufunzi hao Harry Webb na Francesca Miles wameitonya bogu hii kuwa wamekuja kutoa mafunzo ya sok yatakayodumu kwa muda wa wiki sita kwenye kituo kilichotoa mualiko cha Tanzania street children academy.
Mkurugenzi wa TSC ya jijini Mwanza Mutani Yangwe katikati katika picha ya pamoja na wakufunzi hao ambao watajigawa kufundisha soka upande wa wanaume na wanawake kituo hicho cha watoto wa mitaani.
Kutoka kushoto mkurugenzi wa TSC Mutani Yangwe, kocha Harry Webb, Albert G. Sengo na kocha Francesca Miles.
Kutoka shoto Benard, G.Sengo, Harry Webb, Magasha na Francesca.
KILI FAIR 2025 YAJIPAMBANUA KIMATAIFA.
-
* Na Jane Edward, Arusha *
*Maandalizi ya Maonyesho ya Kimataifa ya Utalii (KILIFAIR 2025) yanaendelea
kwa kasi, huku tukio hilo kubwa likitarajiwa ku...
KOICA Yajenga Maabara ya Kisasa ya 3D ATC
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya
Kimataifa la Korea (KOICA), kimezindua rasmi maabara...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.