Kitanda full na godoro lake, tuna hama mchana kweupeeee...!
Kunako barabara ya halmashauri ya jiji mjengo Umekamilika, wapangaji tayari wamekwisha anza kuhamia.
Mjengo unakwenda kwa jina la.....
Mara baada ya kupigwa marufuku kwa Express kusimamisha au kupakia abiria kwenye kituo cha Chai bora mataa, Kituo hiki cha daladala kilichopo karibu na soko kuu kilianza kutumika huku matengenezo yake yakifanyika kimtindo papo hapo..
Ofisi za Mamlaka ya maji safi na maji taka mkoa wa Mwanza (MWAUWASA).
Barabara yenye mishemishe ya Lumumba kama inavyoonekana leo..
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
mwanangu pls endelea kutuletea taswira kama hizi. thx
ReplyDelete