Kitanda full na godoro lake, tuna hama mchana kweupeeee...!
Kunako barabara ya halmashauri ya jiji mjengo Umekamilika, wapangaji tayari wamekwisha anza kuhamia.
Mjengo unakwenda kwa jina la.....
Mara baada ya kupigwa marufuku kwa Express kusimamisha au kupakia abiria kwenye kituo cha Chai bora mataa, Kituo hiki cha daladala kilichopo karibu na soko kuu kilianza kutumika huku matengenezo yake yakifanyika kimtindo papo hapo..
Ofisi za Mamlaka ya maji safi na maji taka mkoa wa Mwanza (MWAUWASA).
Barabara yenye mishemishe ya Lumumba kama inavyoonekana leo..
Waziri wa Fedha awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali
-
*Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiwasilisha
bungeni mapendekezo ya Serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa
mwaka 2025...
TAZAMA USIKU WA BI FELISIA KYAMANI ULIVYO FANA
-
Wanafamilia na Waalikwa wakicheza kwaifuraha na shangwe kwenye siku hii
muhimu ya SendOff ya Bi Felias Kyamani .
Watu walivaa na kupendeza Ukumbi ulipambw...
mwanangu pls endelea kutuletea taswira kama hizi. thx
ReplyDelete