Jumla ya warembo 45 wanaotaraji kushiriki katika kinyang'anyiro cha kumsaka miss utalii Tanzania mwishoni mwa wiki ijayo tarehe 5 march 2011,wakiwa katika picha ya pamoja leo jijini Dar es salaam baada ya kutambulishwa mbele ya waandishi wa habari na Rais wa Miss Utalii Tanzania Gideon Chipungahelo. Mshindi wa shindano hilo anataraji kuondoka na mkataba wenye thamani ya shilingi milioni 150 ambao utajumuisha kusomeshwa chuo kikuu, gari, fedha za kujikimu na naulishindano hilo litafanyika wilayani Bagamoyo jumamosi ijayo.
WATANZANIA WATAKIWA KUULINDA MUUNGANO
-
*Na Oscar Assenga,TANGA*
*WATANZANIA wametakiwa kuendelea kuenzi na kuulinda Muungano uliopo hapa
nchini ambayo ni tunu kubwa ilioachiwa na Waasisi wa Tai...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.