Goli la kichwa katika dakika za lala salama limeipeleka Liverpool katika ngazi ya timu 16 katika michuano ya Kombe la Europa dhidi ya Sparta Prague.Bao hilo limefungwa na Dirk Kuyt katika dakika ya 86, kufuatia mpira wa kona uliopigwa na Raul Meireles. Katika mchezo wa mwanzo timu hizo mbili zilitoka sare. Huu ni Ushindi wa kwanza Ulaya kwa kocha Daglish.
Rangers nayo ya Scotland ilisonga mbele kwa goli la ugenini baada ya kutoka sare ya 3-3 na Sporting. Katika mchezo wa kwanza timu hizo zilitoka sare ya 2-2 kwenye uwanja wa Rangers.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.